fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 3,042
- 2,221
kuhamia kwangu ilikuwa 'feelings" ya ajabu kabisa,ilikaribia kbs ya wakati napata mtoto wangu wa kwanza. Kwa gari,kiasi tu..full tank mda wote,mshale ukishuka hata kidogo najazia,mda wote safiii na AC full time..Pia nilikuwa nikuta mawe makubwa mbele,nashuka kuyatoa gari isiumie 😀