amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Shida nini?hivi wewe zimo kweli? Au ni mmoja wa wala ARV?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida nini?hivi wewe zimo kweli? Au ni mmoja wa wala ARV?
SOMA COMMENT YAKO UPYAShida nini?
Ina tatizo gani?SOMA COMMENT YAKO UPYA
kwa comment hiyo, nyie ndio mnaousambaza kwa wengine kwa makusudi.Ina tatizo gani?
Hivi kupima UKIMWI ni big deal eti?
Watu wamekariri japo elimu hutolewa mashuleni na vyombo mbalimbali vya habari.Njia ya kuambukiza ukimwi ni moja tu? Hata nilipopima mara ya mwisho miaka mitatu iliyopita nilikuwa bado bikra ila hofu haiwezi kukosekana lazima itakuwepo walau kidogo
Sawa mkuu haina neno.kwa comment hiyo, nyie ndio mnaousambaza kwa wengine kwa makusudi.
PUMBAVU
Sijawahi kuogopa wala kutetemeka kupima.
Sjajua ulipoenda utaribu upoje ila Mara nyingi lazima kaushauri na maswali ya kuhoji yawepo kabla na baada ya kupimaHalafu siku hizi mbona hawatoi hata ushauri nasaha? Mimi mara ya mwisho kupima nilienda tu hospitali na ishu zangu tena sikuwa hata naumwa nilitaka tu kutega kazini. Kufika nikamwambia Dr naumwa kichwa... akaniuliza mara ya mwisho kupima VVU lini nikamwambia miaka 10 iliyopita, kaniandikia nikaenda kupima...hata wakati wa kutoa majibu wala hakuwa na maelezo yoyote.