Siku Yanga ikipoteza mechi, mashabiki wa Yanga wataingia uwanjani

Yanga ubingwa wa Bara au Tanzania si changamoto kwakua kwenye rekodi yeye ndio Bingwa maranyingi zaidi kuliko timu yoyote apa nchini Ila kulikosa ilo kombe Heshma ya Yanga imepungua.
Msimu huu wamerudisha Heshma tayari kwakua walipo maliza usajili pale walisha chukua ubingwa kwa Sasa ni swala la muda tu kikabidhiwa. Kwa Sasa Yanga Inabidi kuzidi kuimarisha kikosi kwa ajili ya mechi za kimataifa.
 
Kwamba Yanga ikipoteza mechi hata moja ,itapoteza mwelekeo,na mashabiki watapaniki ,wachezaji watacheza kwa presha kubwa

Au nyie mnasemaje?View attachment 2065819
Wakakupime akili. Nyie mashabiki wa mikia mlioingia juzi kwa kufuata upepo,mupo wengi mna matatizo ya akili na wengine wengi utoto mwingi. Mpira umeanza leo mpaka leo waingie uwanjani?
 
Una umri wa miaka mingapi?
Mkuu nakwambia siyo Mihemko. Unakumbuka Simba tulipokosa Ubingwa Miaka 5 mfululizo ilikuwaje? Tulikuwa zaidi ya Nyati tukiwa Uwanjani. Pale Taifa Viti tuling'oa, ugomvi nje ya uwanja ilikuwa kawaida, Lawama za kila namna so tusiwabeze wenzetu msoto wanaopitia si mchezo na tukae nao kwa step hawako sawa kichwani.
 
Ukiona jambo linawekwa jf ujue lipo karibu kutokea.
 
hhahahaha ulivyomalizia bana!!eti makolo!hahahah
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mechi zipi za kimataifa? Kwa Sasa Yanga Inabidi kuzidi kuimarisha kikosi kwa ajili ya mechi za kombe la mapinduzi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…