Siku za Humphrey Polepole na wenzake ndani ya CCM zinahesabika

Siku za Humphrey Polepole na wenzake ndani ya CCM zinahesabika

Walivyoandika na alichokisema kimepotoshwa saana, nenda katafute mahojiano aliyofanya...kazungumzia Ilani na Chama ndicho kilichoiweka Serikali hii, ameondoka JPM kama mtu mmoja lakini Ilani inayotekelezwa ni ile ile
 
Mungu kweli ni mkubwa na mwingi wa mipango! leo ma CCM yanalana yenyewe kwa yenyewe kama mazombe, na huu ni mwanzo tu... tutaona mengi! Dhulma haina mwisho mwema!
.
IMG-20191216-WA0001.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Sijaona mgogoro wa kumfukuza mtu uanachama hapo!

Labda kama wewe ni mgeni wa siasa za ccm!

Kingine, ccm haiwezi kumfukuza uanachama mtu ambae ni mbunge maana wakifanya hivyo na ubunge unakoma na hiyo itabatilisha hata uwepo wa kina Mdee kule bungeni!

Na ccm haitaki kuinekana ina double standard kwa kipindi hiki cha awamu ya mama
Unaakili ndogo wapi katiba ya ccm imesema kuwa kuna kuangalia kina mdee kwanza kabla ya kufukuza mtu?
 
Polepole hata akifukuzwa Uanachama, hawezi kupoteza ubunge. Ubunge wake hautokani na nafasi za chama. Bali ni zile nafasi kumi za Rais, ambazo anaweza kuteua mtu yeyote hata asiye na chama au kutoka chama Cha upinzani (rejea Mbatia). Hivo ubunge ni wa miaka Mitano full, mpaka bunge litakapovunjwa au mazingira mengine kabisa.

Mzee wa Asasi za Kiraia, hana cha kupoteza katika ubunge wake. Labda Gwajima, huyo sababu hiyo inaweza kumuondoa Bungeni but siyo Polepole. He is there to stay!
Rais anayo mamlaka ya kuondoa ubunge wake kumbuka barozi wa ujerumani aliondolewa ubunge na uwaziri na kupelekwa ubarozi
 
Mwanachama machachali sana ndani ya CCM ndugu Humphrey Polepole a.k.a Comred Polepole pamoja na genge lake lipo hatiani kuondoka ndani ya Chama cha mapinduzi kutokana na kwenda sawa na mfumo wa awamu ya sita.

Walifanikiwa kuwakonyeza Watanzania kuwa tupo fiti na tukitaka kupindua tunaweza; hayo walionesha kupitia gazeti la Uhuru la tarehe 11/8/2021.

Humphrey na genge lake ni watu waliopata umaarufu na kuaminiwa sana nyakati za hayati mwendazake JPM, lakini kutoka na mabadiliko ya ghafla yaliyotokea hawa jamaa bado hawaamini kama CCM sio mlengwa wao tena na kwa sababu hiyo basi wanafanya mikakati mingi sana kuna inayoonekana na ile isiyoonekana.

Kutokana na upepo uliopo ndani ya chama cha mapinduzi hata sasa ni dhahiri kuwa wana siku chache sana za kuvumiliwa.
SOPINTO sasa hivi Disemba. Zimebaki siku ngapi?
 
Sijaona mgogoro wa kumfukuza mtu uanachama hapo!

Labda kama wewe ni mgeni wa siasa za ccm!

Kingine, ccm haiwezi kumfukuza uanachama mtu ambae ni mbunge maana wakifanya hivyo na ubunge unakoma na hiyo itabatilisha hata uwepo wa kina Mdee kule bungeni!

Na ccm haitaki kuinekana ina double standard kwa kipindi hiki cha awamu ya mama
Hivi wewe unafwatillia kweli Sias ati unasema CCM haiwezi mfuta mtu iwanachama kwa sababu tu ni mbunge tena wakuteuliwa....
 
Mwanachama machachali sana ndani ya CCM ndugu Humphrey Polepole a.k.a Comred Polepole pamoja na genge lake lipo hatiani kuondoka ndani ya Chama cha mapinduzi kutokana na kwenda sawa na mfumo wa awamu ya sita.

Walifanikiwa kuwakonyeza Watanzania kuwa tupo fiti na tukitaka kupindua tunaweza; hayo walionesha kupitia gazeti la Uhuru la tarehe 11/8/2021.

Humphrey na genge lake ni watu waliopata umaarufu na kuaminiwa sana nyakati za hayati mwendazake JPM, lakini kutoka na mabadiliko ya ghafla yaliyotokea hawa jamaa bado hawaamini kama CCM sio mlengwa wao tena na kwa sababu hiyo basi wanafanya mikakati mingi sana kuna inayoonekana na ile isiyoonekana.

Kutokana na upepo uliopo ndani ya chama cha mapinduzi hata sasa ni dhahiri kuwa wana siku chache sana za kuvumiliwa.
Mimi binafsi huwa naishangaa sana chadema. Kwa huu mpasuko uliyopo CCM inatakiwa CDM watumie kila mbinu wamchukue komredi polepole. Wapiga kura wengi ambao walibatizwa Jima la Wanyonge kwa 100% bado wana imani sana na mfumo wa utawala wa JPM. Hivyo akipatikana mfuasi Mzuri wa JPM 2025 CDM ikulu ni yao.

Lakini utawashangaa CDM wanamchukua mwana CCM wa ajabu ajabu. Lakini pia Tundu amechafuliwa na amechafuka. Hivyo waachane nae. Goli lipo wazi CDM tafuteni striker mzuri mfunge goli
 
Adui wa ndani ni hatari zaidi kuliko Adui wa nje ya Chama.

Hawa team Sukuma Gang kuna haja ya kuwaweka kando.
Mkuu hili jambo likishughulikiwa kikabila kama unavyochukulia wewe basi CCM itakuwa inajichimbia kuburi. Kwa Tanzania wasukuma ndiyo kabila lenye watu wengi sana lina mikoa mi4 ambayo ni Mwanza, Simiyu, Shinyanga na Tabora. Na pia wametapakaa mikoa yote ya Tanzania bara na visiwani.
 
Back
Top Bottom