😅😅Mungu kweli ni mkubwa na mwingi wa mipango! leo ma CCM yanalana yenyewe kwa yenyewe kama mazombe, na huu ni mwanzo tu... tutaona mengi! Dhulma haina mwisho mwema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Mungu kweli ni mkubwa na mwingi wa mipango! leo ma CCM yanalana yenyewe kwa yenyewe kama mazombe, na huu ni mwanzo tu... tutaona mengi! Dhulma haina mwisho mwema!
anang'ang'ania legasi ya jiwe ambayo haipo .Kwanini siku za Polepole zihesabike Sasa?
Yaah! Ni kweli. Anaonesha kisirani na awamu hii wazi wazianang'ang'ania legasi ya jiwe ambayo haipo .
CCM ni ukoo wa panya wote majizi tu wanatofaitiana viwango tu ndiyo maana wanalindana.Wanadhani CCM ni kama saccos ya Mbowe, hata ukigombania naye mwanamke kesho yake anaitisha Kamati Kuu ya dharula wanakuvua uanachama
Kamuulize Lazaro Mambosasa ndiye aliutangazia uma kuwa Mzee alilishwa sumu.Ulimwekea wewe hiyo sumu?
Ushahidi wa video upoKamuulize Lazaro Mambosasa ndiye aliutangazia uma kuwa Mzee alilishwa sumu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
.Mungu kweli ni mkubwa na mwingi wa mipango! leo ma CCM yanalana yenyewe kwa yenyewe kama mazombe, na huu ni mwanzo tu... tutaona mengi! Dhulma haina mwisho mwema!
Unaakili ndogo wapi katiba ya ccm imesema kuwa kuna kuangalia kina mdee kwanza kabla ya kufukuza mtu?Sijaona mgogoro wa kumfukuza mtu uanachama hapo!
Labda kama wewe ni mgeni wa siasa za ccm!
Kingine, ccm haiwezi kumfukuza uanachama mtu ambae ni mbunge maana wakifanya hivyo na ubunge unakoma na hiyo itabatilisha hata uwepo wa kina Mdee kule bungeni!
Na ccm haitaki kuinekana ina double standard kwa kipindi hiki cha awamu ya mama
Rais anayo mamlaka ya kuondoa ubunge wake kumbuka barozi wa ujerumani aliondolewa ubunge na uwaziri na kupelekwa ubaroziPolepole hata akifukuzwa Uanachama, hawezi kupoteza ubunge. Ubunge wake hautokani na nafasi za chama. Bali ni zile nafasi kumi za Rais, ambazo anaweza kuteua mtu yeyote hata asiye na chama au kutoka chama Cha upinzani (rejea Mbatia). Hivo ubunge ni wa miaka Mitano full, mpaka bunge litakapovunjwa au mazingira mengine kabisa.
Mzee wa Asasi za Kiraia, hana cha kupoteza katika ubunge wake. Labda Gwajima, huyo sababu hiyo inaweza kumuondoa Bungeni but siyo Polepole. He is there to stay!
Sasa maneno hayo Yana ubaya gani? Kuna shida gani hapo ya mtu kufukuzwa Chama? Bila Shaka ww utakuwa Mgeni au huna uelewa wa kutosha na siasa za Chama Cha Mapinduzi.
SOPINTO sasa hivi Disemba. Zimebaki siku ngapi?Mwanachama machachali sana ndani ya CCM ndugu Humphrey Polepole a.k.a Comred Polepole pamoja na genge lake lipo hatiani kuondoka ndani ya Chama cha mapinduzi kutokana na kwenda sawa na mfumo wa awamu ya sita.
Walifanikiwa kuwakonyeza Watanzania kuwa tupo fiti na tukitaka kupindua tunaweza; hayo walionesha kupitia gazeti la Uhuru la tarehe 11/8/2021.
Humphrey na genge lake ni watu waliopata umaarufu na kuaminiwa sana nyakati za hayati mwendazake JPM, lakini kutoka na mabadiliko ya ghafla yaliyotokea hawa jamaa bado hawaamini kama CCM sio mlengwa wao tena na kwa sababu hiyo basi wanafanya mikakati mingi sana kuna inayoonekana na ile isiyoonekana.
Kutokana na upepo uliopo ndani ya chama cha mapinduzi hata sasa ni dhahiri kuwa wana siku chache sana za kuvumiliwa.
Kamanda hizi ni pumba.anang'ang'ania legasi ya jiwe ambayo haipo .
Hivi wewe unafwatillia kweli Sias ati unasema CCM haiwezi mfuta mtu iwanachama kwa sababu tu ni mbunge tena wakuteuliwa....Sijaona mgogoro wa kumfukuza mtu uanachama hapo!
Labda kama wewe ni mgeni wa siasa za ccm!
Kingine, ccm haiwezi kumfukuza uanachama mtu ambae ni mbunge maana wakifanya hivyo na ubunge unakoma na hiyo itabatilisha hata uwepo wa kina Mdee kule bungeni!
Na ccm haitaki kuinekana ina double standard kwa kipindi hiki cha awamu ya mama
Mimi binafsi huwa naishangaa sana chadema. Kwa huu mpasuko uliyopo CCM inatakiwa CDM watumie kila mbinu wamchukue komredi polepole. Wapiga kura wengi ambao walibatizwa Jima la Wanyonge kwa 100% bado wana imani sana na mfumo wa utawala wa JPM. Hivyo akipatikana mfuasi Mzuri wa JPM 2025 CDM ikulu ni yao.Mwanachama machachali sana ndani ya CCM ndugu Humphrey Polepole a.k.a Comred Polepole pamoja na genge lake lipo hatiani kuondoka ndani ya Chama cha mapinduzi kutokana na kwenda sawa na mfumo wa awamu ya sita.
Walifanikiwa kuwakonyeza Watanzania kuwa tupo fiti na tukitaka kupindua tunaweza; hayo walionesha kupitia gazeti la Uhuru la tarehe 11/8/2021.
Humphrey na genge lake ni watu waliopata umaarufu na kuaminiwa sana nyakati za hayati mwendazake JPM, lakini kutoka na mabadiliko ya ghafla yaliyotokea hawa jamaa bado hawaamini kama CCM sio mlengwa wao tena na kwa sababu hiyo basi wanafanya mikakati mingi sana kuna inayoonekana na ile isiyoonekana.
Kutokana na upepo uliopo ndani ya chama cha mapinduzi hata sasa ni dhahiri kuwa wana siku chache sana za kuvumiliwa.
Mkuu hili jambo likishughulikiwa kikabila kama unavyochukulia wewe basi CCM itakuwa inajichimbia kuburi. Kwa Tanzania wasukuma ndiyo kabila lenye watu wengi sana lina mikoa mi4 ambayo ni Mwanza, Simiyu, Shinyanga na Tabora. Na pia wametapakaa mikoa yote ya Tanzania bara na visiwani.Adui wa ndani ni hatari zaidi kuliko Adui wa nje ya Chama.
Hawa team Sukuma Gang kuna haja ya kuwaweka kando.