ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Yaonekana pamoja yote UKWELI ni kuwa, pamoja na matakataka yote mnamwogopa sana Sir Humphrey Polepole, hakuna wa kumgusa. Mengine ni porojo zenu za kitoto kama za Ndugai, Sirro na wale vijana wenu wanaohangaika kuokoteza cha kusema kule mahakamani.Wanadhani CCM ni kama saccos ya Mbowe, hata ukigombania naye mwanamke kesho yake anaitisha Kamati Kuu ya dharula wanakuvua uanachama
Hivi umeishajaaliwa kupangwa zamu ya kufanya usafi malaloni Burigi tangu wamuhamishie jengo jipya?Mimi binafsi huwa naishangaa sana chadema. Kwa huu mpasuko uliyopo CCM inatakiwa CDM watumie kila mbinu wamchukue komredi polepole. Wapiga kura wengi ambao walibatizwa Jima la Wanyonge kwa 100% bado wana imani sana na mfumo wa utawala wa JPM. Hivyo akipatikana mfuasi Mzuri wa JPM 2025 CDM ikulu ni yao.
Lakini utawashangaa CDM wanamchukua mwana CCM wa ajabu ajabu. Lakini pia Tundu amechafuliwa na amechafuka. Hivyo waachane nae. Goli lipo wazi CDM tafuteni striker mzuri mfunge goli
Kwani Mh Lissu hakumgaragaza Jiwe??Mimi binafsi huwa naishangaa sana chadema. Kwa huu mpasuko uliyopo CCM inatakiwa CDM watumie kila mbinu wamchukue komredi polepole. Wapiga kura wengi ambao walibatizwa Jima la Wanyonge kwa 100% bado wana imani sana na mfumo wa utawala wa JPM. Hivyo akipatikana mfuasi Mzuri wa JPM 2025 CDM ikulu ni yao.
Lakini utawashangaa CDM wanamchukua mwana CCM wa ajabu ajabu. Lakini pia Tundu amechafuliwa na amechafuka. Hivyo waachane nae. Goli lipo wazi CDM tafuteni striker mzuri mfunge goli