Siku za kujifungua zimepitiliza, msaada.

Mtapoteza mtoto akafanyiwe oparation fasta
 
Huyu naye ni mnafiki kabisa toka alipoanza kulipwa na kikundi cha chadema
Kwa taarifa yako huku chádema hatuna pesá zakuhonga istoshe tunashindia mlo mmoja kwa siku mda mwingine tusile huku ni harakat tu
Mungu yupo usijali
 
Mungu atakujalia mkuu,
 
Operation inahitajika kwa mke wako by a midwife


asanteni......amejifungua. tena salama kbs......hata hivyo sidhani kama unaweza sema nifanyieni operation?.....wao wanatafiti , kisha wanaamua...njia gn waaze nayo....ikifeli plan A ...BC plan B , HUTUMIKA.
 
kaka Mungu ni mwema atawasaidia
zaidi tu jitahidin kufuata ushaur wa dr
 
Pole sana mkuu. Usihofu ndg yangu hakuna jambo gumu la kumshinda Mungu na mkono wake siyo mfupi hata ushindwe kugusa. Usijiulize maswali mengi. Kama yuko hospital alika mtumishi mwenye upako wa kutosha na mwenye macho ya rohoni Bwana atamtumia na atamwombea Bwana atatenda. Hata kama hujaokoka au huamin habari za wokovu fanya tu hivyo me.gine yatafuata baadaye.
 
Mtapoteza mtoto akafanyiwe oparation fasta
ansante sana...amejifungua tayari... hat hivyo ......napenda utambue kuwa hata oparation , hujipangii.....hii ni njia ya mwisho kabisa baada ya njia za kawaida kufeli...wao ndio wanaoamua tufanye hivi au vile ,,,baada ya uchunguzi .
 
Hongereni sana na tunamshukuru Mungu pamoja nanyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…