HALELUYA MOSHI
JF-Expert Member
- Aug 14, 2014
- 2,121
- 1,204
Asante sana mkuu! Ngoja tujaribu,Mkuu kabla ya hapo ni probability.
Mke wangu anataman sana wa kike!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu! Ngoja tujaribu,Mkuu kabla ya hapo ni probability.
Hospital gani wanafanya ivyo vipimo??Inawezekana tatizo lisiwe kwako cha msingi uende na mwezi wako naye afanyiwe kipimo cha spem analysis ili kufaham kama mbegu zake zko vizuri
Mbuyuni ipo wapi tafadhari??Mungu na akupe haja ya moyo wako.Kama uko DSM nenda pale mbuyuni katikati ya Mataa ya St. Peters na kituo cha mbuyuni kwenda posta/mwenge kuna clinic inaitwa Marie Clinic ya Prof. Dr. Mgaya. Atakupa ushauri mzuri na soon u wl b called a mam.Kila la kheri .Nina shuhuda nyingi kwa waliokwenda pale na kupata ujauzito ila katika yoooote mwamini Mungu Muweza wa Yooote.
Mbuyuni ipo wapi tafadhari??
Yes ni sawa kabisa.ila kwa sasa huyu Prof yuko kwenye msiba wa mwanae(Dr. Mgaya mfanyakazi wa UDSM) aliyefariki kwa ajali ya gari iliyoungua moto wiki iliyopita pale africana (mbezi).wanazika leo na hivyo labda kuanzia wiki ijayo ndiyo atalatikana.Mungu awatie nguvu na faraja Prof. Dr. Mgaya na familia.Kituo kinajulikana kama namanga pia kama sikosei. Ni katikati ya namanga na st peters, ally hassan mwingi road.