Kuna Dk mmoja nilimsikiliza, anadai kitaalam mwanamke anapoanza brd ile cku ya kwanza kabisa inamaanisha kuna uwezekano Yai lingine likawa limeshuka,, na hiyo ni sababu kubwa wanaume wengi hukataa mimba kisa tu mwanamke alikuwa amemaliza jana
So, siku ya kwanza ya brd ndo cku ya kwanza ya mzunguko, kama bld ni cku 5 inamaana tayari una cku 5 ktk mzunguko wa cku 28,,kwa hiyo Yai linakuwa hot cku zote za bld na cku kadhaa baada ya bld kukamilisha siku saba. (Ni kwa mujibu wa Dk mmoja kutoka kituo cha tv)..
Niliamini kwa sababu kuna mtu namfaham alipata mimba Mara baada ya kusex siku moja baada ya bld. Mwanaume akakataa mimba ila mtoto sura yake na suport ya DNA vikamuumbua...kutokea hapo najua kila mdada ana siku zake na wengine hadi wanaingia kabulini hawatoweza kuzijua
Ushauri,, kama unatafuta mtoto jitahidi kumpikia mumeo vizuuri, akishiba unawaenzi chadema kwa kuweka alama Yao ile kwa miguu,, then una......habari za kufika kileleni unaweza weka pembeni kwanza , mana litakuwa ni zoezi la kila cku(23), lazima uchubuke