Siku zinakwenda kwa kasi sana. Mwonekano kama huu ulikuwa ni ndoto miezi michache iliyopita na watu ni wale wale

Siku zinakwenda kwa kasi sana. Mwonekano kama huu ulikuwa ni ndoto miezi michache iliyopita na watu ni wale wale

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
1623664469941.png
 
Kuna watu waliuliza ati nanihii ana nanihii
1623665285330.png
 
Hata makamanda wengi hivi sasa wameamua kuunga juhudi. Hakika mambo yanakwenda kwa kasi sana.
 
Raha kweli au nasema uongo ndugu zangu?
Si Hakuna tena hata intellegencia zionazo viashiria kwenye mikutano ya wapinzani pekee.
 
Kuna kundi la watu sehemu fulani ya sayari hii wakitutazama nahisi wanatudharau sana!! Wanajua kuwa tunafanya usanii ili mradi tu ..............!!!!!!!
 
Maisha ya mwanadamu ni mafupi Sana na upita kama upepo ni heri uyatumie kuwapa wengine furaha Ili kesho siku ya hukumu Mungu akuonee huruma
 
Back
Top Bottom