Una matatizo ya kuelewa wewe.Nimekujibu hao hawasomwi wanatajwa kwa sehemu ndogo sana.Alafu hata utoe povu hapa utobadilisha chochote na mwanao atasoma.Kama hutaki hama nchi.tatizo lako ni uelewa, nimekuuliza uniambia umepata faida gani kuwasoma hao ili kujustify kelele zenu kuwa kuwafundisha watoto historia ya tanzania ndio kuwafanya wawe wazalendo
Kuna mdau alisema mfalme aliyepungukiwa akili huwapnea sana watu
Uzalendo haufundishwi darasani mkuuMkuu paragraph ya kwanza si kweli kwamba Historia haimfanyi mtu kuwa Mzalendo,moja ya faida ya Historia ni kuwafanya watu wawe wazalendo na nchi yao.Mtu hawezi kuwa Mzalendo hasipojua ilikopitia nchi yake Mpaka pale ilipofikia.
Mengine hutajua mwenyewe.
Miaka 100 ijayo kuna jamaa ataingizwa kwenye list ya madikteta maana kila kitu kipo waz ni swala la mda tuLengo kubwa la somo la historia ni kumfanya mwanadamu ajifunze yaliyopita ulimwenguni kote (siyo Tanzania tu) na hivyo kumwepusha kurudia makosa ya huko nyuma. Na wala siyo kufundisha uzalendo.
BTW, nani kamdanganya JPM kuwa uzalendo unafundishwa darasani? Uzalendo maana yake ni upendo wa raia yeyote kwa nchi yake?
Sasa nani amewahi kufundishwa kupenda kitu, mtu(mke/mume/dada/kaka/baba/mama) au nchi? Upendo kwa nchi ni zao la Uhuru, Haki na usawa kwa raia.
Sasa kama hata haki ya kuchagua na kuchaguliwa inaporwa nani ataipenda nchi hii? Kama watu wanalalamika kuhusu ajira, mishahara duni masoko ya mazao hakuna, biashara zinakufa, Uhuru wa kujieleza unabinywa nani ataipenda Tanzania?
Kwahiyo hapa ninaona JPM ana nia ya kutaka jina lake liandikwe kwenye vitabu vya historia, awe anasomwa kama msukuma wa kwanza kuwa rais.
Ndiyo hicho tu anachokitafuta JPM hakuna kingine. Kutafuta sifa tu ndiyo kuna msumbua. Ningemwelewa kama angeshauri uzalendo utiliwe mkazo kwenye somo la uraia.
Sawa mkuu!Ila historia inafundisha watu kuwa wazalendo.Pia Historia inabeba utamaduni wetu na ndio utu wetu.Tusipowafundisha watoto wetu Historia yao watajivunia ya wengine huko ndiko kujipeleka utumwani kifikra.Ila alichokosea hiyo Historia ya Tanzania kufanya somo linalojitegemea hii ni kuongeza mzigo kwa watoto wetu.Ingeunganishwa na Uraia au History inayofundishwa Sasa.Uzalendo haufundishwi darasani mkuu
Hata hivyo yeye mwenyewe Magufuli siyo mzalendo, unless BAKITA wawe wamebadili tafsiri ya neno Uzalendo kwenye kamusi. Angekuwa mzalendo asingerundika Taasisi za kimkoa na kikanda kijijijni kwake Chato.Lengo kubwa la somo la historia ni kumfanya mwanadamu ajifunze yaliyopita ulimwenguni kote (siyo Tanzania tu) na hivyo kumwepusha kurudia makosa ya huko nyuma. Na wala siyo kufundisha uzalendo.
BTW, nani kamdanganya JPM kuwa uzalendo unafundishwa darasani? Uzalendo maana yake ni upendo wa raia yeyote kwa nchi yake?
Sasa nani amewahi kufundishwa kupenda kitu, mtu(mke/mume/dada/kaka/baba/mama) au nchi? Upendo kwa nchi ni zao la Uhuru, Haki na usawa kwa raia.
Sasa kama hata haki ya kuchagua na kuchaguliwa inaporwa nani ataipenda nchi hii? Kama watu wanalalamika kuhusu ajira, mishahara duni masoko ya mazao hakuna, biashara zinakufa, Uhuru wa kujieleza unabinywa nani ataipenda Tanzania?
Kwahiyo hapa ninaona JPM ana nia ya kutaka jina lake liandikwe kwenye vitabu vya historia, awe anasomwa kama msukuma wa kwanza kuwa rais.
Ndiyo hicho tu anachokitafuta JPM hakuna kingine. Kutafuta sifa tu ndiyo kuna msumbua. Ningemwelewa kama angeshauri uzalendo utiliwe mkazo kwenye somo la uraia.
Swadaktaaaaaa! Yaani ndiyo nia yake huyu mpenda sifa.Hili somo litakua si somo la Historia ya Tanzania ni somo maalumu la kukaririsha watoto wa Tanzania kuhusu Magufuli na miradi yake iliyokufa...nothing else
Ni lipi uliwahi kumpinga Rais zaidi ya kutukuza, elewa kuwa hatuwez kuwa na mawazo sawa kwa nchi nzimaHapa naamua kuwa OBJECTIVE, somo la history ndilo linalompa mtu "sprit of Patriotism "
Hiyo ni moja ya OBJECTIVE ya somo la HISTORIA.
Mathalani Kitendo cha MKWAWA,BWANA HERI,ABUSHIRI ,YUSUPH BIN OMARY MAKUNGANYA,KINJEKETILE, Kuupinga utawala wakoloni kwa kuchukua silaha.
Wanafunzi wansposoma ,wanahamasika kabisa ,wanakuwa inspired kuipigania nchi, kuipenda wakitumia mfano mzuri wa hao mashujaa waafrikawaloishi miaka ya 1880's
Mh Rais kama kazungumzia kuwa somo la history linawajenga watu kuwa wazalendo YUPO SAHIHI asilimia 100%.
Kuhusu Civics somo la Uraia kiasi kikubwa linabase kwenye haki za Raia na wajibu.
MIMI NI MWALIMU MTAALAMU WA MASOMO HAYO MAWILI.
2018 nilifaulisha civics na darasa langu lilikiwa 20 kitaifa,2019 History tena 20 kitaifa.
Nimetoa maoni kama Mtaalamu mbobezi katika masomo hayo.
Katika kauli ya Rais yupo sahihi 100% tusiwe tunampinga kwa kila kitu,mambo mengine tuwe OBJECTIVE.
UKANA SHILUNGO.πππ
Tukifanya kosa la kishetani kabisa mwaka 20152015 tulifanya makosa makubwa sana!
Nitafurahi sana kama hata hiyo historia itaandika ukweli kuhusu udikteta wa huyu nduliMiaka 100 ijayo kuna jamaa ataingizwa kwenye list ya madikteta maana kila kitu kipo waz ni swala la mda tu
Kwani somo la historia si linafundishwa miaka yote? Why this unnecessary emphasise?Mkuu paragraph ya kwanza si kweli kwamba Historia haimfanyi mtu kuwa Mzalendo,moja ya faida ya Historia ni kuwafanya watu wawe wazalendo na nchi yao.Mtu hawezi kuwa Mzalendo hasipojua ilikopitia nchi yake Mpaka pale ilipofikia.
Mengine hutajua mwenyewe.
Na kingine itakuwa "mbuga ya Burigi ilianzishwa na ......mwaka.....Somo jipya la historia nadhani syllabus zake zitakuwa..
*Jinsi Mfalme Magufuli alipoikomboa Danganyika 2015
*Mfalme wa Chato alipoifanya danganyika kuwa 'donakantre' duniani.
Io ni must ni swala la mda kila kitu mbona kiko wazwa2 wamekausha tuNitafurahi sana kama hata hiyo historia itaandika ukweli kuhusu udikteta wa huyu nduli
Ndalichako amsema Historia ya Tanzania itafundishwa kwa shule zote sambamba na somo la historia linalofundishwa kwa sasa. Sasa kama somo husikatayari linafundishwa kuna haja gani ya ku-duplicate efforts na content? Ni wazi kuwa kufundishwa masomo mawili yanayofanana kwa wakati mmoja kuna kitu kinatafutwa, tena kwa udi na uvumba. Kukumbuwa kuwa Msumva wa Chato aliukwaa urais akafufua ATCL na menguneyo, basi. Anaingiza taifa kwenye ghara zisizokuwa za lazima kwa lengo la kujikweza na kujinufaisha binafsi!Hapa naamua kuwa OBJECTIVE, somo la history ndilo linalompa mtu "sprit of Patriotism "
Hiyo ni moja ya OBJECTIVE ya somo la HISTORIA.
Mathalani Kitendo cha MKWAWA,BWANA HERI,ABUSHIRI ,YUSUPH BIN OMARY MAKUNGANYA,KINJEKETILE, Kuupinga utawala wakoloni kwa kuchukua silaha.
Wanafunzi wansposoma ,wanahamasika kabisa ,wanakuwa inspired kuipigania nchi, kuipenda wakitumia mfano mzuri wa hao mashujaa waafrikawaloishi miaka ya 1880's
Mh Rais kama kazungumzia kuwa somo la history linawajenga watu kuwa wazalendo YUPO SAHIHI asilimia 100%.
Kuhusu Civics somo la Uraia kiasi kikubwa linabase kwenye haki za Raia na wajibu.
MIMI NI MWALIMU MTAALAMU WA MASOMO HAYO MAWILI.
2018 nilifaulisha civics na darasa langu lilikiwa 20 kitaifa,2019 History tena 20 kitaifa.
Nimetoa maoni kama Mtaalamu mbobezi katika masomo hayo.
Katika kauli ya Rais yupo sahihi 100% tusiwe tunampinga kwa kila kitu,mambo mengine tuwe OBJECTIVE.
UKANA SHILUNGO.πππ
Mm nimesoma arts. Unaweza ukaniambia hapa nistory paper 11 Advance inatufundisha lolote cc kama wata? Au ni yaleyale sheria zinafundishwa kwa kingereza af hukumu ziandikwe kwa kiswahili???Sawa mkuu!Ila historia inafundisha watu kuwa wazalendo.Pia Historia inabeba utamaduni wetu na ndio utu wetu.Tusipowafundisha watoto wetu Historia yao watajivunia ya wengine huko ndiko kujipeleka utumwani kifikra.Ila alichokosea hiyo Historia ya Tanzania kufanya somo linalojitegemea hii ni kuongeza mzigo kwa watoto wetu.Ingeunganishwa na Uraia au History inayofundishwa Sasa.