Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
Ahaaa ,go direct to the argument. HUJUI HATA WAINGEREZA WANASUMBUKA NA GRAMMAR?Seriously? You donβt even know me haaf ww ulisema n teacher sasa mbona una errors kwenye grammar plz what are you [emoji28]
Kuna nyakati nawaza hivi baadhi ya Wana JF wanafikiri kwa makalio au vichwa vya chini kama walibarikiwa kuwa navyo.Lengo kubwa la somo la historia ni kumfanya mwanadamu ajifunze yaliyopita ulimwenguni kote (siyo Tanzania tu) na hivyo kumwepusha kurudia makosa ya huko nyuma. Na wala siyo kufundisha uzalendo.
BTW, nani kamdanganya JPM kuwa uzalendo unafundishwa darasani? Uzalendo maana yake ni upendo wa raia yeyote kwa nchi yake?
Sasa nani amewahi kufundishwa kupenda kitu, mtu(mke/mume/dada/kaka/baba/mama) au nchi? Upendo kwa nchi ni zao la Uhuru, Haki na usawa kwa raia.
Sasa kama hata haki ya kuchagua na kuchaguliwa inaporwa nani ataipenda nchi hii? Kama watu wanalalamika kuhusu ajira, mishahara duni masoko ya mazao hakuna, biashara zinakufa, Uhuru wa kujieleza unabinywa nani ataipenda Tanzania?
Kwahiyo hapa ninaona JPM ana nia ya kutaka jina lake liandikwe kwenye vitabu vya historia, awe anasomwa kama msukuma wa kwanza kuwa rais.
Ndiyo hicho tu anachokitafuta JPM hakuna kingine. Kutafuta sifa tu ndiyo kuna msumbua. Ningemwelewa kama angeshauri uzalendo utiliwe mkazo kwenye somo la uraia.
Akija maliza muda wake kila kitu kitakuwa shaghalabagalaLengo kubwa la somo la historia ni kumfanya mwanadamu ajifunze yaliyopita ulimwenguni kote (siyo Tanzania tu) na hivyo kumwepusha kurudia makosa ya huko nyuma. Na wala siyo kufundisha uzalendo.
BTW, nani kamdanganya JPM kuwa uzalendo unafundishwa darasani? Uzalendo maana yake ni upendo wa raia yeyote kwa nchi yake?
Sasa nani amewahi kufundishwa kupenda kitu, mtu(mke/mume/dada/kaka/baba/mama) au nchi? Upendo kwa nchi ni zao la Uhuru, Haki na usawa kwa raia.
Sasa kama hata haki ya kuchagua na kuchaguliwa inaporwa nani ataipenda nchi hii? Kama watu wanalalamika kuhusu ajira, mishahara duni masoko ya mazao hakuna, biashara zinakufa, Uhuru wa kujieleza unabinywa nani ataipenda Tanzania?
Kwahiyo hapa ninaona JPM ana nia ya kutaka jina lake liandikwe kwenye vitabu vya historia, awe anasomwa kama msukuma wa kwanza kuwa rais.
Ndiyo hicho tu anachokitafuta JPM hakuna kingine. Kutafuta sifa tu ndiyo kuna msumbua. Ningemwelewa kama angeshauri uzalendo utiliwe mkazo kwenye somo la uraia.
Hujui kitu kaa kimya.Mkuu paragraph ya kwanza si kweli kwamba Historia haimfanyi mtu kuwa Mzalendo, moja ya faida ya Historia ni kuwafanya watu wawe wazalendo na nchi yao. Mtu hawezi kuwa Mzalendo hasipojua ilikopitia nchi yake Mpaka pale ilipofikia.
Mengine hutajua mwenyewe.
Mkuu paragraph ya kwanza si kweli kwamba Historia haimfanyi mtu kuwa Mzalendo, moja ya faida ya Historia ni kuwafanya watu wawe wazalendo na nchi yao. Mtu hawezi kuwa Mzalendo hasipojua ilikopitia nchi yake Mpaka pale ilipofikia.
Mengine hutajua mwenyewe.
Ww ni mtaalamu wa history na civics na umebobea kwenye hayo masomo vp kuhusu wataalamu au wabobezi wa Historia ya Tanzania ama ndio watakuwa wale babu zetu waliozaliwa since 1900's?Hapa naamua kuwa OBJECTIVE, somo la history ndilo linalompa mtu "sprit of Patriotism "
Hiyo ni moja ya OBJECTIVE ya somo la HISTORIA.
Mathalani Kitendo cha MKWAWA, BWANA HERI, ABUSHIRI, YUSUPH BIN OMARY MAKUNGANYA, KINJEKETILE, Kuupinga utawala wakoloni kwa kuchukua silaha.
Wanafunzi wansposoma, wanahamasika kabisa, wanakuwa inspired kuipigania nchi, kuipenda wakitumia mfano mzuri wa hao mashujaa Waafrika waloishi miaka ya 1880's
Mh Rais kama kazungumzia kuwa somo la history linawajenga watu kuwa wazalendo YUPO SAHIHI asilimia 100%.
Kuhusu Civics somo la Uraia kiasi kikubwa linabase kwenye haki za Raia na wajibu.
MIMI NI MWALIMU MTAALAMU WA MASOMO HAYO MAWILI.
2018 nilifaulisha civics na darasa langu lilikiwa 20 kitaifa, 2019 History tena 20 kitaifa.
Nimetoa maoni kama Mtaalamu mbobezi katika masomo hayo.
Katika kauli ya Rais yupo sahihi 100% tusiwe tunampinga kwa kila kitu, mambo mengine tuwe OBJECTIVE.
UKANA SHILUNGO.[emoji120][emoji120]
[emoji23]Kwani anajua kama watoto tayari wanasoma somo la Uraia?
Maajabu hayaishi nchi hii. Form four mwaka jana 80% ya walipata F kweny somo la hesabu! Lakini hili hata halimsumbui kabisa.
Ngoni Migration imesaidia wapi kwenye maisha ya sasa ivi[emoji1][emoji1].Historia ya kinjekitile ngwalu na mangungo imekusaidiaje kuwa mzalendo?
It is about past ,Current social,economic,political changes took place about man,regardless duration.πππ€£π€£Ww ni mtaalamu wa history na civics na umebobea kwenye hayo masomo vp kuhusu wataalamu au wabobezi wa Historia ya Tanzania ama ndio watakuwa wale babu zetu waliozaliwa since 1900's?
LAZIMA UCHEKE,BECAUSE YOUR LEVEL OF UNDERSTANDING IS VERY NARROW COMPARED FORM ONE STUDENT! ππKama wewe ni Mwalimu basi....utakua unafundisha Tuition mkuu.
Yaani unasema Civics inaongelea Haki za Binadamu zaidi ...daah nimecheka kweli
CHILDISH QUESTION πππΆπΆπ€¨π€¨ππMathalani Kitendo cha MKWAWA, BWANA HERI, ABUSHIRI, YUSUPH BIN OMARY MAKUNGANYA, KINJEKETILE, Kuupinga utawala wakoloni kwa kuchukua silaha. Hawa uliowatumia kama mfano wao walijifunza uzalendo kupitia historia ipi.
LAZIMA UCHEKE,BECAUSE YOUR LEVEL OF UNDERSTANDING IS VERY NARROW COMPARED FORM ONE STUDENT! [emoji2][emoji2]
Shame on you! [emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2]
bila kupepesa macho uko sawa mkuu.Acha wahangaike. Hakuna mzalendo wakati hajui kesho yake. Uzalendo haujengwi kwa historia ya nchi.
Bali uzalendo hujengwa na haki ,usawa , furaha, na uhuru katika Taifa.
Mkuu ujinga hautakoma kwa mentality za kipuuzi kamaWewe na wajinga wenzio ni mizigo kwenye hii Nchi watu wenye akili wanawaza namna gani wagundue vitu visaidie dunia nyie mnaleta upumbafu wa historia jinga kabisa
Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
Shame shame on you ,narrow minded member! πππ€£π€£πππΆπΆπ€¨Kama ww ni mwalimu kama ulivyosema hebu jaribu ku re evaluate what went wrong in ur study life & career maana sio kwa maboko hayo unayoyatoa duh[emoji1787][emoji1787][emoji1787]