Jamani wana JF,Japo mtasema ni umbea ila ndo hvo tena.
Jana Jumatatu majira ya saa 9 alasiri,nimemshuhudia baba wa rafiki yangu kipenzi,ameshikwa kiuno na dume mwenzie wanaingia The A***UM Hotel,kwa kuwa me nilikuwa kaunta nakunywa hakuniona.
Najiuliza nimpashe best wangu au niuchune!
Shocking; but pima faida ya kumwambia rafiki yako kwanza.
Ingekuwa mumewe, yes angeachana naye na kuolewa kungine; waweza achana na baba yako?????
Habari hiyo itamuumiza sana na hana kitu anachoweza fanya, so bora asijue unless you want to make her suffer, maana some friends nmh!!!!!!!!!!!1
kwa iyo mzee aachwe aendeleee kuhamia airtelshocking; but pima faida ya kumwambia rafiki yako kwanza.
Ingekuwa mumewe, yes angeachana naye na kuolewa kungine; waweza achana na baba yako?????
Habari hiyo itamuumiza sana na hana kitu anachoweza fanya, so bora asijue unless you want to make her suffer, maana some friends nmh!!!!!!!!!!!1
kwa iyo mzee aachwe aendeleee kuhamia airtel
lakini ni vema wanae wakajua kama kinatumika kihalali......jamani si kitundu chake, au??????
kashikwa kimalavidaviiiiiiiiiiiiiumemwona ameshikwa kiuno? Tanganyika jeki ama?
lakini ni vema wanae wakajua kama kinatumika kihalali......
umwambie for what exactly?i just dont get your point!