Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Jamani wana JF,Japo mtasema ni umbea ila ndo hvo tena.
Jana Jumatatu majira ya saa 9 alasiri,nimemshuhudia baba wa rafiki yangu kipenzi,ameshikwa kiuno na dume mwenzie wanaingia The A***UM Hotel,kwa kuwa me nilikuwa kaunta nakunywa hakuniona.
Najiuliza nimpashe best wangu au niuchune!
Jana Jumatatu majira ya saa 9 alasiri,nimemshuhudia baba wa rafiki yangu kipenzi,ameshikwa kiuno na dume mwenzie wanaingia The A***UM Hotel,kwa kuwa me nilikuwa kaunta nakunywa hakuniona.
Najiuliza nimpashe best wangu au niuchune!