Sikuamini nilipoambiwa kuwa Senzo aliondoka na ramani ya usajili, sasa nimeamini

Sikuamini nilipoambiwa kuwa Senzo aliondoka na ramani ya usajili, sasa nimeamini

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Hivi mashabiki wenzangu mnapendezwa na namna ya usajili wetu unavyoenenda hivi sasa.

Ona sasa vituko hivi, Kuna mshambuliaji kutoka Lusaka Dynamo Chrispine Mugalu (ambaye huenda akasaini ndani ya siku 2 zijazo klabuni kwetu). Huyu ni forward ambaye takwimu zake za ufungaji ni za kiduwanzi sana. sioni kama atakuja kuwa wa msaada kabuni kwetu maana takwimu zake zinaonyesha kadiri muda unavyozidi kwenda ufungaji wake unapingua. Ukizingatia ana umri wa miaka 30.

download.jpg

Zambia Super League in 2017 - 21
Zambia Super League in 2018 - 14
Zambia Super League in 2019/20 - 9

Huu ni uduwanzi wanao tufanyia viongozi. Yaani tumekuwa tukisajili kwa mihemko sana aisee. Sijui ni kwanini. pia nyuma ya pazia ninaona kuna madili ya upigaji pesa, maana tangu asepe Senzo tumekuwa tukishusha wachezaji utadhani nguruwe anayezaa.
 
Hii Nyani imekuwa inateseka sana na Simba wakati wao Wanasajili wachezaji wa Mchangani kutola Polisi.

Anasubiri Msimu uanze atandikwe Manne aje aseme Simba inabebwa.
Hata kama ni Yanaga, Ila ana hoja, Simba Usajili wanazingua. Wanasajili wachezaji wa aina moja, hawazingatii mapungufu. Wanaudhi sana, timu inasajili rundo. Ili iweje ?!
 
Hata kama ni Yanaga, Ila ana hoja, Simba Usajili wanazingua.
Wanasajili wachezaji wa aina moja, hawazingatii mapungufu. Wanaudhi sana, timu inasajili rundo. Ili iweje ?!
Taja mapungufu ya simba sio unaongea onngea
 
Hata kama ni Yanaga, Ila ana hoja, Simba Usajili wanazingua. Wanasajili wachezaji wa aina moja, hawazingatii mapungufu. Wanaudhi sana, timu inasajili rundo. Ili iweje ?!

Mkuu huu usajili unakuzingua wewe! Sisi Mashabiki wa Simba SC kindakindaki huu usajili hautukeri bali tunaufurahia.
 
Hata kama ni Yanaga, Ila ana hoja, Simba Usajili wanazingua.
Wanasajili wachezaji wa aina moja, hawazingatii mapungufu. Wanaudhi sana, timu inasajili rundo. Ili iweje ?!
Simba msimu uliopita ulikuwa na mapungufu gani?

Beki ya kati- Wamesajiliwa wawilli mmoja wa bongo mmoja wa Nje. Playmaker-Simba ilikuwa inapata tabu kutengeneza nafasi akikosekana chama amesajiliwa Bwalya.

Striker- Kagere Umri umeenda akipata injury ni mda mrefu nje. Boko anasumbuliwa na majeraha alipokosekana msimu uliopita tulistruggle sana.

Kasajiliwa kijana mdogo ilamfia na Mkongwe wa kimataifa Mugallu.

tatizo lipi lingine unazungumzia?
 
HAPA YANGA TUNATAKA KUJIHALALISHIA USAJILI WETU WA SENZO. SENZO HAKUWA KOCHA SIMBA WALA HAKUWA ANALIPIA USAJILI. SIMBA WANASAJILI WACHEZAJI WAZURI SISI TUNASAJILI AKINA SENZO. BWALYA TUMEMSHINDWA KACHUKULIWA NA SIMBA. LEO TUNAONA MCHEZAJI MWINGINE BORA ANATUA SIMBA....SISI TULIPISHANA NA BWALYA. Mimi sioni umuhimu wa kujifanya Simba kuiponda wakati hali yetu tunaifahamu wenywe ipo halijojo...


WEWE SIKU ZOTE YANGA MWENZANGU LEO UNAJIDAI NAWE ETI SIMBA.MWAKA HUU KILA MTU ANAJIDAI SIMBA...HUO NI UDWANZI NA UFALA.

Hivi mashabiki wenzangu mnapendezwa na namna ya usajili wetu unavyoenenda hivi sasa.

Ona sasa vituko hivi, Kuna mshambuliaji kutoka Lusaka Dynamo Chrispine Mugalu (ambaye huenda akasaini ndani ya siku 2 zijazo klabuni kwetu). Huyu ni forward ambaye takwimu zake za ufungaji ni za kiduwanzi sana. sioni kama atakuja kuwa wa msaada kabuni kwetu maana takwimu zake zinaonyesha kadiri muda unavyozidi kwenda ufungaji wake unapingua. Ukizingatia ana umri wa miaka 30.

View attachment 1539028

Zambia Super League in 2017 - 21
Zambia Super League in 2018 - 14
Zambia Super League in 2019/20 - 9

Huu ni uduwanzi wanao tufanyia viongozi. Yaani tumekuwa tukisajili kwa mihemko sana aisee. Sijui ni kwanini. pia nyuma ya pazia ninaona kuna madili ya upigaji pesa, maana tangu asepe Senzo tumekuwa tukishusha wachezaji utadhani nguruwe anayezaa.
 
1. Beki mmoja, asiwe aggressive . anaeweza kuchukua nafasi ya Nyoni.
2.Mshambuliaji wa kimataifa, mwenye uwezo wa kukokota na kukaba.

Afu usiwe unanikaripia, hunijui. Hoja hujibiwa na hojA.
Uyo baki kutoka Kenya unamchulia simple
 
1. Beki mmoja, asiwe aggressive . anaeweza kuchukua nafasi ya Nyoni.
2.Mshambuliaji wa kimataifa, mwenye uwezo wa kukokota na kukaba.

Afu usiwe unanikaripia, hunijui. Hoja hujibiwa na hojA.
Sasa ndugu yangu kama issue beki na forward mbona Ndicho kilicho fanywa?

Tena wame sajiri beki wawili mmoja kutoka Kenya joash

Mwingine bongo hapa hapa

Mshambuliaj ndio huyu magalu

Kati pia wame sajiri

Unataka nini kingine labda ndugu
 
Mm nadhani tunahitaji beki wa kulia....huwa tunapata shida Sana kapombe akiwa majeruhi.
 
Back
Top Bottom