Boss ulipogusia issue ya Mbaazi umenigusa vibaya mno kama mie mwaka jana nilinunua mbegu elfu5 kwa Kg nimejaribu kulima tu 2acres nnakuja sokoni nnaambiwa 1kg Tshs 150-300 na tena kwa sasa hawazihitaji maana zimejaa telekutoa mzigo hapo mbea mpk Kilimanjaro unakutana na wakala wangap wa misitu huko barabarani na ni hela kiasi gani utawaachia
alafu pili refer wakulima wa mbaazi utajua kwa nn watu wengi wanalima kwa mitego mitego
Ameweka link....huyu dogo mpambanaji sanaMbona amekula BAN
Nadhani hiyo link aliyoifanyia promoMbona amekula BAN
pole mkuu shida ya Tanzania siasa za chuki na visasi ndo zinatangulizwa mbele angalia mambo mengi sana wanakurupuka angalia issues ya kupeleka maindi kenye.Boss ulipogusia issue ya Mbaazi umenigusa vibaya mno kama mie mwaka jana nilinunua mbegu elfu5 kwa Kg nimejaribu kulima tu 2acres nnakuja sokoni nnaambiwa 1kg Tshs 150-300 na tena kwa sasa hawazihitaji maana zimejaa tele
Na ndo huyo huyo. Anayeifanya Tanzania isiwe sehemu ya fursaJuzi Rais alisema, kuzaliwa Tanzania ni fursa. Watu wakaanza kumponda
Shida kapigwa pingu na modsMkuu yaan watu km nyie huwa mna ni motivate sana endelea kutueleza fursa zilizopo kwenye kilimo .
Kisha cha kumpiga ban n nini aisee mkuu waweza nidokeza ata kidgo.Shida kapigwa pingu na mods
Nazani hii ndio Sababu hawa mods bhanaAsante , pia Unaweza kuangalia , www.greenagricultureskills.com
Uone kazi zetu
Kisha cha kumpiga ban n nini aisee mkuu waweza nidokeza ata kidgo.
Shida kapigwa pingu na mods
Mbona amekula BAN
Mtoto wa Mzee Mmari, kila siku unani inspire ... Thanks bro ..Katika mizunguko yangu ya kazi nilitoka Morogoro nikaenda Mbeya kufanya shughuli zangu za kilimo hasa umwagiliaji, basi nikiwa Mbeya pale kwa kuwa mimi ni mdadisi nitampigia jamaa yangu mmoja ambae ni mwenyeji wa Mbeya pia ni Mkulima, duh jamaa mcheshi sana na ni mshikaji sana japokuwa ni msomi mkubwa na mfanyabiashara
Basi akanambia njoo huku Njombe,jioni ile nikapanda gari kuelekea huko, nilipofika nikakutana na jamaa ang mmoja niliesoma nae chuo akanipokea na akawa mwenyeji wangu.
Nilipompigia jamaa angu huyu Mkulima akanambia bado hajafika mjini ndio anatoka shamba, kumbuka hapo ni saa nne usiku.
Kesho yapo ikawa asubh , baridi ilikuwa kiasi japokuwa mwenyeji wangu alinambia ni wakati wa joto kwa sasa haaa haaaa Njombe kama ulaya vile
Kama saa moja hivi jamaa angu alikuja akanichukua , tukampitia na mshikaji wake mmoja , na safari ikaanza ya kuelekea nisikokujua kwenye nchi ya maziwa na Asali kama Mwendo wa 80km tukaanza kukwepana na milima ya Lupembe na baada ya muda mshikaji wangu akanambia hapa ndio tunaingia shamba, kwa kuwa lilikuwa shamba jipya lenye milima na milima , na lilikuwa Shamba kubwa kiasi , haaa haaa sio kubwa kama unavyofikiria ww ila ni zaidi ya hekari 400+ Virgin land , hapo hapo nikaanza udadisi wangu na kuanza kukumbuka nilivyokuwa nafundishwa na Maprofesa wangu enzi hizo nasoma pale SUA ,
Nilichoshangaa ni nn?
Katika udadisi wangu niligundua kuwa ile Ardhi haikuwahi kulimwa , mimea iliyoota maeneo Yale iliashiria rutuba ya ajabu iliyoko katika udongo ule , hali ya hewa na baadhi ya vitu vilionyesha kuwa eneo lile linapata mvua kubwa sana kwa mwaka tatribani 2300mm per yr
Organic matter layer ya Ardhi ile ni zaidi 40cm,
Nilichoshangaa zaidi ni pale nilipoenda ndani ya Shamba zaidi na kuona kuwa kuna chanzo kizuri cha maji , nilitamani niende kwetu Rombo niwachukue wale wazee niwalete pale kwa sababu kule sijawahi kuona kitu kama kile .
Bhasi nikaendelea na utafiti wangu nikagundua vitu vingi zaidi katika Ardhi ile na baada ya kukaa na kuangalia milima ikishangaa ujio wetu na muda ulikuwa umeenda , tukafanya baadhi ya kazi pale na kuanza kurudi
Ninachotaka kusema ni kwamba
Don't limit your mind to think
Seed and not diamond will make Africa great
Wekeza vzr kwenye kilimo
Uzi utakao fuata nitawaeleza katika hyo Ardhi ni nini kimepandwa na kinawezaje kumlipa Mkulima tena bila stress , najua utafikiri ni miti ya mbao lakini sio kweli ....stay tuned
Jumapili njema wana jamvi
Nimekaa sana madege pale kariakoo, huko kilolo ni pazuri piaMkuu Njombe cha mtoto sana mimi nafanya kilimo sehemu moja inaitwa Kidabaga iko Iringa huko. Ni balaa sana na hali ya hewa ni kama Ulaya, zamani Mahindi walikuwa hawapandii mbolea.
Sema tunapana vikumbo na makampuni makubwa kama New Forest na wale wa One Acre Fund. Wanamiliki maeneo makubwa sana na Raisi Kikwete aliwapa tu; Inafika kipindi wananyanyasa wazawa na kuchoma mashamba yao ya miti kwa maksudi pindi ukikataa kuwauzia.
Nawashauri vijana watembee na kuwekeza huko. It is a nice place to invest: jaribu kwenda kufanya utafiti mkuu
NB: Kuna vibarua wengi sana wa bei nafuu na Wahehe wengi ni watu waaminifu sana endapo utawapa stahiki zao kwa wakati.
Kuna pahala Mbeya panaitwa Rungwe broo, mwaka mzima ni kijani. Vyanzo vya maji kibaoBangi ya Njombe siyo kali sana kama ya Arusha maana huko baridi si kali sana!
Makinda anaielewa sana...