Sikuamini nilivyofika Njombe, kumbe Tanzania hii kuna sehemu kama hizi?

kutoa mzigo hapo mbea mpk Kilimanjaro unakutana na wakala wangap wa misitu huko barabarani na ni hela kiasi gani utawaachia
alafu pili refer wakulima wa mbaazi utajua kwa nn watu wengi wanalima kwa mitego mitego
Boss ulipogusia issue ya Mbaazi umenigusa vibaya mno kama mie mwaka jana nilinunua mbegu elfu5 kwa Kg nimejaribu kulima tu 2acres nnakuja sokoni nnaambiwa 1kg Tshs 150-300 na tena kwa sasa hawazihitaji maana zimejaa tele
 
Boss ulipogusia issue ya Mbaazi umenigusa vibaya mno kama mie mwaka jana nilinunua mbegu elfu5 kwa Kg nimejaribu kulima tu 2acres nnakuja sokoni nnaambiwa 1kg Tshs 150-300 na tena kwa sasa hawazihitaji maana zimejaa tele
pole mkuu shida ya Tanzania siasa za chuki na visasi ndo zinatangulizwa mbele angalia mambo mengi sana wanakurupuka angalia issues ya kupeleka maindi kenye.
Mkuu nikushauri kitu kama unauwezo wa kuyasafirisha bora utafute shele zilizopo mkoa mingine uwauzie wao wayatumie kama maarage
 
Mkuu yaan watu km nyie huwa mna ni motivate sana endelea kutueleza fursa zilizopo kwenye kilimo .
 
Mtoto wa Mzee Mmari, kila siku unani inspire ... Thanks bro ..
 
Mtoa mada yuko sawa, na wachangiaji wako vzr, kinachonikwaza ni soko kutokuwa huru, wakulima wengi wanamahindi maghalani bei bado iko chini mno, pesa ya kulimia wengine wamekopa na wanamahitaji mengine kama ada za watoto achilia mbali ununuzi wa pembejea kwa msimu utakaofuata, nini kifanyike? kwa maoni yangu serikali iruhusu kuuza mahindi nje hususani kenya ni soko zuri hii itapandisha bei ya mahindi na wakulima hususani kizazi kipya watahamasika kulima na itapunguza joto la ajira, wakubwa kumbukeni tuko ndani ya jumuiya ya Afrika mashariki na law of comperative advantage kwa hili iko upande wetu.
 
Sema tunapana vikumbo na makampuni makubwa kama New Forest na wale wa One Acre Fund. Wanamiliki maeneo makubwa sana na Raisi Kikwete aliwapa tu;


Wananchi waliuza mashamba yao wenyewe. Kama umemsikia mheshimiwa Mwamoto (mbunge) amebaini kasoro mbalimbali ikiwemo kutopitia Kituo cha uwekezaji (TIC) ukisema kikwete aliwapa tu, yawezekana hujafanya utafiti wakutosha.
 
Nimekaa sana madege pale kariakoo, huko kilolo ni pazuri pia
 
Bangi ya Njombe siyo kali sana kama ya Arusha maana huko baridi si kali sana!
Makinda anaielewa sana...
Kuna pahala Mbeya panaitwa Rungwe broo, mwaka mzima ni kijani. Vyanzo vya maji kibao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…