sikubahati kupata mkopo lakin nataka kuomba tena kupitia HLSSF kama kuna mtu anaijua hii anipe msaad

sikubahati kupata mkopo lakin nataka kuomba tena kupitia HLSSF kama kuna mtu anaijua hii anipe msaad

wanajiandikisha kwenye ofisi zao maeneo ya m/mmoja kama cjakosea kuna mtaa huko dar unaitwa lumumba cna hakika kama bado wanaandikisha
 
wanajiandikisha kwenye ofisi zao maeneo ya m/mmoja kama cjakosea kuna mtaa huko dar unaitwa lumumba cna hakika kama bado wanaandikisha
Dah poa kaka bt naogopa kukurupuka coz hizi ngo hazijipangi
 
ila nasikia wanatoa kwa walioajiriwa!!!
 
ckia kakangu mm ndo nakuambia mana mm mwnyw nko kwny process ya kurudsha fomu ingawa cjapata nafac ya kuongea na m2 ambaye amesha omba pale ila da thng ni kuwa apply 2 ni 20 elfu n pia ucwe na shaka mkopo utapata 2 naamin hvyo olxo ni kwa wote yan ni sawa na heslb hata fomu zao ila utofaut upo ktk kurudsha mkopo huo wkt unafanya kazi ni 10% yako ila heslb ni 8% ndo hcho 2
 
Mimi niliomba hapo hlssf,naona jamaa wako vizur maana walinipgia cmu na wakaniambia wameipokea fomu yangu ya maombi na majibu yatatoka mwezi huu mwishoni.
 
da nam wacha nijpange nikaombe coz mambo magumu bila mkopo c unajua tena wengne wazee watata ktk kulipa fees
 
Mimi niliomba hapo hlssf,naona jamaa wako vizur maana walinipgia cmu na wakaniambia wameipokea fomu yangu ya maombi na majibu yatatoka mwezi huu mwishoni.
mkuu kweye APPLICATIONS OF LOANS FOR UNDERGRADUATE STUDIES OF 2012/2013 nimesoma na mwisho wa kupokea maombi wameandika 30 october hapo vp?
 
mkuu kweye APPLICATIONS OF LOANS FOR UNDERGRADUATE STUDIES OF 2012/2013 nimesoma na mwisho wa kupokea maombi wameandika 30 october hapo vp?

nadhani watatoa majina kwa awamu,kulingana na wakati mtu uliotuma maombi yako,kwa yule aliyetuma maombi mapema nadhani atakua tayari ameisha shughulikiwa maombi yake mapema na ndo hao watakaotolewa majina yao mwezi huu mwishon,na kwa wale ambao watakua wamechelewa kuapply wao majina yao yatatoka awamu nyingne.
 
ckia kakangu mm ndo nakuambia mana mm mwnyw nko kwny process ya kurudsha fomu ingawa cjapata nafac ya kuongea na m2 ambaye amesha omba pale ila da thng ni kuwa apply 2 ni 20 elfu n pia ucwe na shaka mkopo utapata 2 naamin hvyo olxo ni kwa wote yan ni sawa na heslb hata fomu zao ila utofaut upo ktk kurudsha mkopo huo wkt unafanya kazi ni 10% yako ila heslb ni 8% ndo hcho 2
pia kuna utofauti katika ulipaji kwan wao wanaconsider mabadiliko ya thaman ya shilingi...kwahiyo unaweza lipa zaidi ya ulichopata
 
jamani mbona tu hii nembo yao tu inaonekana ni wasanii wanatafuta izo elfu 20000 za application........waweze kukaa mjini. kuna mtu anataarifa au uzoefu na hawa jamaa
 
Back
Top Bottom