The Counseller.
Member
- Aug 13, 2015
- 94
- 75
Roma vipi Mlimshauri pia alipotoa ule uharo wake?
Mwanzo nilimuheshimu sana kutokana ukongwe wake na mashairi yake lakini kwa hili kajivunjia heshima kwa kitendo cha kutoa wimbo kwa minajiri ya kumjibu Roma, Viva Roma Viva!
Jamaa kaimba wimbo ambao hauna mantiki wala maana.. Jamani Juma Nature mshauri huyu jamaa!
Kazoea kujibu nyimbo za wenzake, alianza na FA, alipotoa bado niponipo sana.
Ninyi hamuijui njaa! Ushawahi jiuliza Juma Nature na Inspekta shows zao za mwisho walifanya wapi na shilingi ngapi walilipwa kabla ya hizi kampeni? Zama zao zimeshapita kwa hiyo wacha wale mafao. Ccm wanazo pesa za kugawa kwa hiyo wazichukue tu.
Mwanzo nilimuheshimu sana kutokana ukongwe wake na mashairi yake lakini kwa hili kajivunjia heshima kwa kitendo cha kutoa wimbo kwa minajiri ya kumjibu Roma, Viva Roma Viva!
Jamaa kaimba wimbo ambao hauna mantiki wala maana.. Jamani Juma Nature mshauri huyu jamaa!
Shida ni pale unapotaka jambo/mawazo yako kuwa ni mtazamo wa wote, na ingekuwa hivo dunia isingekuwa na maana yoyote.Mwanzo nilimuheshimu sana kutokana ukongwe wake na mashairi yake lakini kwa hili kajivunjia heshima kwa kitendo cha kutoa wimbo kwa minajiri ya kumjibu Roma, Viva Roma Viva!
Jamaa kaimba wimbo ambao hauna mantiki wala maana.. Jamani Juma Nature mshauri huyu jamaa!
Natumaini juma nature humjui vizuri ulikua bado mdogo na sio mtu wa matamasha ivi Nature asimame stejini na Roma nani atafunika???
Juma Nature anapendwa na masela wa uswazi show zake za uswazi uswazi za buku jero! Siwezi poteza mda wangu kwenye show ya buku jero! No haiwezekani
Acha mbwembwe dogo hivi alipokuwa anaijaza Diamond Jubilee pekeyake walikuwa wamejaa masela wa uswazi mule? Kuwa na adabu basi dogo, na toka lini Diamond Jubilee kiingilio kikawa bukugwala? Karibu mjini dogo
Mwanzo nilimuheshimu sana kutokana ukongwe wake na mashairi yake lakini kwa hili kajivunjia heshima kwa kitendo cha kutoa wimbo kwa minajiri ya kumjibu Roma, Viva Roma Viva!
Jamaa kaimba wimbo ambao hauna mantiki wala maana.. Jamani Juma Nature mshauri huyu jamaa!
Acha mbwembwe dogo hivi alipokuwa anaijaza Diamond Jubilee pekeyake walikuwa wamejaa masela wa uswazi mule? Kuwa na adabu basi dogo, na toka lini Diamond Jubilee kiingilio kikawa bukugwala? Karibu mjini dogo