Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni upuuzi mtupu Mkuu hili kamwe halitaboresha hii Elimu Mulugo iliyokuwepo nchini kwa miaka mingi sasa.
wana jf.kwa maoni yangu naona kushusha madaraja ya ufaulu kwa k4 na k6 si mpango mzuri kwa kuboresha elimu.ila ni juhudi ya kutafuta sifa na kuondoa aibu ya matokeo ya k4 na k6.kwa mpango huu mpaka watoto wanaopata wastani wa 20 watakuwa wamefaulu?.
wanawapata watoto false hope, hiyo div5 ukienda nayo chuo/kazini haiwasadii chochote. its completely meaningless!!Ni upuuzi mtupu Mkuu hili kamwe halitaboresha hii Elimu Mulugo iliyokuwepo nchini kwa miaka mingi sasa.