BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Kabisa harafu ukitaka upate Hela zenyewe aende ccmTafuta hela utakufa kwa stress za nchi hii.
Tujadili hili la siasa achana na mambo ya Nigeria,Nigeria imeleta shida sana kwenye kamati za ufundi
but hii ni too muchCCM Wameshagundua asilimia kubwa ya watanzania ni wajinga na kwakuwa wanapenda mpira wameamua kutumia udhaifu huo pamaja na kuwapa elimu duni ili kuendelea kutawala akili zao na kuwaendesha kama n'gombe
Nazungumzia maada ya mpira na siasa, kama vipi anzisha maada ya kutafuta pesa then niite nije tujadili jinsi ya kupata pesaTafuta hela utakufa kwa stress za nchi hii.
Acha uhuru wa watu binafsi utamalaki. Walivaa magwanda yenu ya simba na yanga? Mara bookMpira ni Siasa na Siasa ni Mpira. Mbona haukupinga zile Mil 5 na 10 kwa kila goli la CAF?