BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Mimi ni Simba ila sikubaliani na huu uhuni wa kuchanganya Siasa na Mpira na tusipo piga kelele now mbele ya safari hali itakuwa mbaya zaidi.
Kwa nini kuwe na kiwango hiki cha juu cha kuchanganya Mpira na Siasa? au Burudani na siasa?
Sijapata ya Yanga ila hope na wao wako huko uwanjani wanafanya the same ujinga. Hii kwangu ni Big no kwakeli.
Kila siku nasema humu Yanga na Simba ni mtaji mkuu no moja wa CCM wameupiku mtaji wa umasikini.
Nimepata ya Simba na Azam
Kwa nini kuwe na kiwango hiki cha juu cha kuchanganya Mpira na Siasa? au Burudani na siasa?
Sijapata ya Yanga ila hope na wao wako huko uwanjani wanafanya the same ujinga. Hii kwangu ni Big no kwakeli.
Kila siku nasema humu Yanga na Simba ni mtaji mkuu no moja wa CCM wameupiku mtaji wa umasikini.
Nimepata ya Simba na Azam