Pre GE2025 Sikujua kama mateso wanayopitia wana CHADEMA ni makubwa kiasi hiki

Pre GE2025 Sikujua kama mateso wanayopitia wana CHADEMA ni makubwa kiasi hiki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mlokole umezinduka? Nilifikiri msiba ulikumaliza nguvu kabisa ukaamua kuachana na siasa. Sasa ni wewe na chama tawala tu. Kwenye dhulma na mateso yanayofanywa na watawala Neno halisomi kabisa?
Warumi 13
1 Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.

2 Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.

3 Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema, bali kwa sababu ya matendo mabaya. Basi, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Fanya mema, nawe utapata sifa kwake;
 
Wapinzani makini na imara walitakiwa wawe na uwezo kuwashawishi hao Polisi, Magereza, Uhamiaji, Jeshi la ulinzi,
na vigogo kutoka BOT, TRA, TPA, TBS, wawaunge mkono na kuchukua dola maana Wote ni watanzania.


Acheni kudeka
Umeongea la maana Sana
Je,wana uwezo huo?
 
Na sisi wananchi ambao Kodi zetu zinazidi kutumika kama Ruzuku na Watawala wanazidi kulamba asali, tunalia wapi au nyumbani ni wapi ?

Na wewe unless ni mlambaji nakusihi hakuna faida ya kula jasho la wengi ila kama na wewe upo katika wale wanaopigwa / pigika na status quo na bado unachekelea hivi basi safari bado ni ndefu.


Waulize CHADEMA ruzuku wanafanyiaga nini😁😁
Una stress eeeh
 
Lakini mjue zanzibar panazidi kupendeza kuliko kawaida mpaka amalize mitano mingine mtanyooka watanganyika

Palikua pabovu shurti papendeze

Hata Bara panapendeza sana ila huoni sababu ya chuki na wivu🙂🙂
 
Warumi 13
1 Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu.

2 Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.

3 Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema, bali kwa sababu ya matendo mabaya. Basi, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Fanya mema, nawe utapata sifa kwake;
Excellent. Kweli unajua kulitumia Neno. Btw. Nimependa signature yako. Inakuthibitisha. I'm impressed.
 
Mmelogwa nyie mnaoshindana mbio ambazo kamwe hamtashinda😄😄😄
Akili hauna wewe hivi kwa fikra na mawazo yako kuna jambo linaloshindikana? Uwepo wa vyama vya upinzani ni kui challenge serikali lakini kwa kuwa una akili fupi umekuja na andiko la kijinga sana.

Serikalini kuna upumbavu na ujinga sana unaofanywa na watumishi wa u ma chini ya serikali inayoongozwa na CCM. Kwa kuwa wewe ni mpuuzi na usiyejitambua unaandika ujinga kama huu.

Upumbavu na ujinga kama wako unavyouandika mbele ya mamilioni ya watu uwe unaufikiria before posting your crappies.
 
Tukosema Tanzania kuna maigizo ya upinzani mtuelewe

Tukisema CHADEMA ni kampuni ya watu flani wachache msibishane na sisi


Ushauri wangu kwa wanachadema kuliko kuendelea kuteseka na kuumia rudini nyumbani kama mwana mpotevu

Luka 15:18
Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;


KUDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

MUNGU IBARIKI TANZANIA

MUNGU MBARIKI RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
Uharo tupu umeandika
 
Serikalini kuna upumbavu na ujinga sana unaofanywa na watumishi wa u ma chini ya serikali inayoongozwa na CCM. Kwa kuwa wewe ni mpuuzi na usiyejitambua unaandika ujinga kama huu.

Upumbavu na ujinga kama wako unavyouandika mbele ya mamilioni ya watu uwe unaufikiria before posting your crappies.

Hakuna upambavu na ujinga mkubwa unaoendelea chini ya jua kama upumbavu unaoendelea ndani ya CHADEMA

Halafu na wewe ulivyo mpumbavu na mpuuzi unaushangilia huo upumbavu

Yaani povu lote linalokutoka hapa ni sababu tuu ya kutetewa kwenye faragha ya ushoga


View: https://youtu.be/5pfu1eILfdw?si=A6IAQGEMlQsJNA-2


Mfyuuuu
 
Waulize CHADEMA ruzuku wanafanyiaga nini😁😁
Una stress eeeh
Again unaangalia haya mambo kwa miwani za Chadema au CCM mimi naangalia kwa miwani ya mwananchi mlipa kodi, yaani sina upande wowote na ukizingatia ideaologically hakuna tofauti between the two..., Na wewe kwa kusema kabisa kwamba watoke kule waje huku conclusively huoni hata faida ya uwepo wa the other..., that said ni kwamba mwananchi anakuwa shortchanged kwa haya maigizo...

 
Hakuna upambavu na ujinga mkubwa unaoendelea chini ya jua kama upumbavu unaoendelea ndani ya CHADEMA

Halafu na wewe ulivyo mpumbavu na mpuuzi unaushangilia huo upumbavu

Yaani povu lote linalokutoka hapa ni sababu tuu ya kutetewa kwenye faragha ya ushoga


View: https://youtu.be/5pfu1eILfdw?si=A6IAQGEMlQsJNA-2


Mfyuuuu

Whatever ni upumbavu lakini uwepo wa upinzani ni muhimu sana kwa.
Dada ushoga unatoka wapi hivi umeolewa wewe 🤣🤣🤣
 
Whatever ni upumbavu lakini uwepo wa upinzani ni muhimu sana kwa.
Dada ushoga unatoka wapi hivi umeolewa wewe 🤣🤣🤣

Ushoga na usagaji umetoka kwa tundu lisu mtetezi wao

Rudi kumsikiliza hapo juu

Nimeolewa ndio. Unataka uke wenza?
 
Ni mpumbavu pekee ndio atakayeamini ccm itatoka kwa kupiga kura kweye uchaguzi.
 
Ni mpumbavu pekee ndio atakayeamini ccm itatoka kwa kupiga kura kweye uchaguzi.

CCM itatoka madarakani kwa kuwa na chama pinzani kilicho bora kuliko CCM.

Kikiwepo chama bora kitaishinda CCM kabla hata ya sanduku la kura na bahati njema ni kwamba hicho chama bora hadi sasa ni CCM yenyewe.
 
Back
Top Bottom