Sikujua kuwa jina langu humu JF lina ukakasi nasikitika sana

Sikujua kuwa jina langu humu JF lina ukakasi nasikitika sana

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,612
Reaction score
4,721
Ndugu zangu sikujua kuwa jina langu lina ukakasi humu

Kuna wakati nilikua napata mashambulizi ya maneno humu na shutuma za uwongo uwongo.

Nikajiuliza kulikoni?Leo ndo nimejua ukweli

Maana sababu ya kujiita hili jina niliwaza nitatumia jina gani JF nikawa naumiza kichwa lakini kipindi hicho bidhaa iliyokua inatrend sana sokoni ni kipodozi cha Toplemon sasa nikiwa nawaza nitumie ID gani humu?

Nakumbuka nilikua dukani kwa anko nauza vipodozi kila muda watu walikua wakija wanaulizia vipodozi kuna dada mmoja alikua anachukua vipodozi vya toplemon kiasi kwamba ikawa akiniona ataniita toplemon kama lugha ya utani mwishowe yule mama akawa ni mteja wetu na ikazoeleka hivyo

Na mimi nikasema ngoja hilo jina la toplemon nilitumie humu jf mwanzo sikupata shida nilishangaa siku za karibuni watu wananishambulia na hili jina sikua naelewa mwishoni nikashangaa baadhi ya watu wanakuja pm kunitongoza

Sikujua jina langu linarelate na maana na maudhui ya jinsia moja nimesikitika sana, ujinga mtupu mtu anakuja pm kabisa anadhani na wewe ni wale wale

Imefika mahali nashindwa hata kupost jambo humu jf maana wapo wanaonishambulia kwa maneno

Nimesikitika sana
 
Ndugu zangu sikujua kuwa jina langu lina ukakasi humu

Kuna wakati nilikua napata mashambulizi ya maneno humu na shutuma za uwongo uwongo.

Nikajiuliza kulikoni?Leo ndo nimejua ukweli

Maana sababu ya kujiita hili jina niliwaza nitatumia jina gani JF nikawa naumiza kichwa lakini kipindi hicho bidhaa iliyokua inatrend sana sokoni ni kipodozi cha Toplemon sasa nikiwa nawaza nitumie ID gani humu?

Nakumbuka nilikua dukani kwa anko nauza vipodozi kila muda watu walikua wakija wanaulizia vipodozi kuna dada mmoja alikua anachukua vipodozi vya toplemon kiasi kwamba ikawa akiniona ataniita toplemon kama lugha ya utani mwishowe yule mama akawa ni mteja wetu na ikazoeleka hivyo

Na mimi nikasema ngoja hilo jina la toplemon nilitumie humu jf mwanzo sikupata shida nilishangaa siku za karibuni watu wananishambulia na hili jina sikua naelewa mwishoni nikashangaa baadhi ya watu wanakuja pm kunitongoza

Sikujua jina langu linarelate na maana na maudhui ya jinsia moja nimesikitika sana, ujinga mtupu mtu anakuja pm kabisa anadhani na wewe ni wale wale

Imefika mahali nashindwa hata kupost jambo humu jf maana wapo wanaonishambulia kwa maneno

Nimesikitika sana
Kama.unajisikia un-confy na jina lako Tuma.request kwa Mods ubadili jina
 
Badili ID mkuu ili uishi kwa amani, lakini km hutaki kubadili wacha waendelee kukutongoza vizuri tuu.
 
Ndugu zangu sikujua kuwa jina langu lina ukakasi humu

Kuna wakati nilikua napata mashambulizi ya maneno humu na shutuma za uwongo uwongo.

Nikajiuliza kulikoni?Leo ndo nimejua ukweli

Maana sababu ya kujiita hili jina niliwaza nitatumia jina gani JF nikawa naumiza kichwa lakini kipindi hicho bidhaa iliyokua inatrend sana sokoni ni kipodozi cha Toplemon sasa nikiwa nawaza nitumie ID gani humu?

Nakumbuka nilikua dukani kwa anko nauza vipodozi kila muda watu walikua wakija wanaulizia vipodozi kuna dada mmoja alikua anachukua vipodozi vya toplemon kiasi kwamba ikawa akiniona ataniita toplemon kama lugha ya utani mwishowe yule mama akawa ni mteja wetu na ikazoeleka hivyo

Na mimi nikasema ngoja hilo jina la toplemon nilitumie humu jf mwanzo sikupata shida nilishangaa siku za karibuni watu wananishambulia na hili jina sikua naelewa mwishoni nikashangaa baadhi ya watu wanakuja pm kunitongoza

Sikujua jina langu linarelate na maana na maudhui ya jinsia moja nimesikitika sana, ujinga mtupu mtu anakuja pm kabisa anadhani na wewe ni wale wale

Imefika mahali nashindwa hata kupost jambo humu jf maana wapo wanaonishambulia kwa maneno

Nimesikitika sana



View attachment 2456089View attachment 2456090
Biashara matangazo naona umeamua kufungulia Sasa sisi tushakuelewa .maana umeforce iwe ndo Mana yake kumbe una lako jambo
 
Hata mimi zamani nilikua najua wewe ni choko.

Kuna majina hua yana connection na baadhi ya mambo, tabia nk.
 
Hata mimi zamani nilikua najua wewe ni choko.

Kuna majina hua yana connection na baadhi ya mambo, tabia nk.
Kuna vitu vya ajabu kweli Kuna kajamaa humu nikabigwa kakudanganya watu kanajua sjui kufikisha mlima Kilimanjaro jinsia ya pili ila ukigeuka upande wa pili ni choko kabisa tuweni makini na Binadamu wa humu
 
Kuna vitu vya ajabu kweli Kuna kajamaa humu nikabigwa kakudanganya watu kanajua sjui kufikisha mlima Kilimanjaro jinsia ya pili ila ukigeuka upande wa pili ni choko kabisa tuweni makini na Binadamu wa humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kanavunga kujulikana, mbaya zaidi aliyemla ndo ana mtangaza kwa wana, ni versatile afu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom