[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanzo wakat fulan alimfata mdada pm kutafutiwa mtu wa kumpalasa, akampata huyo jamaa, baada ya kuliwa wakatibuana, sasa yule mlaji akamuambia atamtangaza, ndo jamaa akajiwahi kujionesha km rijali majukwaani, ili skendo ikivuma watu waone ni uongo.
Kweli wengi wanamuona wa maana, ila sisi wajanja tunamjua km engine ya nyuma haifanyi kazi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Had text kwa mdada wa kumtafutia bwana zipo, text za kwa mlaji zipooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tunaishia kusemaaaa hiiiii
Sent using
Jamii Forums mobile app