Sikujua kwa nini vijana wengi wanaichukia ccm.

Sikujua kwa nini vijana wengi wanaichukia ccm.

naomba unisaidie jinsi ya kuandika barua ya kuahirisha mwaka

wewe unasoma nini? mbona kilaza hicyo, kwanini usiandike mwenyewe? madesa tuu! na haikosi unamkopo hapo ulipo.......... ANGUKO LA ELIMU, COLLEGE STUDENT HAWEZI ANDIKA BARUA!!

SP
 
naomba unisaidie jinsi ya kuandika barua ya kuahirisha mwaka
Badala ya kuomba uelekezwe namna ya kuandika barua ya kuahirisha mwaka, omba uelekezwe namna ya kuandika barua ya kukata rufaa. Una sifa zote za kupata mkopo. Kata rufaa, kwa hakika utafikiriwa.
 
Ndg zangu nilidhani ni hulka ya vijana tena wa elimu za juu kuichukia ccm,kumbe wengi wanahoja binafsi juu ya hatima ya maisha yao..nimesoma shule ya msingi nansio,secondary nsumba,high school minaki..chuo nilichopangiwa ni UDOM progrm ya Mining engeenering, Pia MIMI SINA WAZAZI WOTE WAWILI,Maisha ya nyumbani ni magumu sana,mimi ndo baba na mama wa wadogo zangu wanne ambao leo tumekesha nao tukilia na kukumbuka wazazi wetu,ni uchungu ule ule wa kuwapoteza wazazi ndo umenirudia tena,nilijua kupata mkopo basi wadogo zangu tungegawana boom na maisha yasonge,niliwaahidi mambo mengi na hamna siku imepita hatujapiga goti kumuomba Mungu akafanikishe maisha yetu,LEO NAONA GIZA NA WADOGO ZANGU WANAONESHA KUKATA TAMAA KABISA NA ELIMU. Nimekuwa nikiuza mbogamboga na matunda na pesa niliyonayo ni sh 200,000/= nilipanga kama ningepata mkopo basi hela hii ningewaachia wadogo zangu nusu nami niondoke na nusu nikijipanga kusubiri boom,lakini mambo yamekuja kivingine kabisa..Leo nimeamini Ng'ombe wa masikini hazai.. Yatima hana rafiki..maskini atabaki kuwa maskini tu.Ndg zangu nilijua serikali ndo ingekuja kuifuta chozi familia yangu lakini kumbe nilijidanganya..ndugu ndo hawajui hata mlango wa nyumba yetu.maisha yamegeuka kuwa mbogo na najuta kuzaliwa(MUNGU ANISAMEHE). Ndugu zangu vijana wenzangu sasa narudi kundiki,mimi na ccm tena basi. Niko tayari kufa kwa kupinga udhandiki wa ccm na serikali yake..niko tayari kuungana na wanyonge wenzangu kupigania taifa langu..na vijana mliopata mkopo msifurahi wakati kuna vijana wenzenu wenye sifa hata pengine zaidi yako wemechinjiwa baharini na serikali hii ya maccm,itakuwa ni dhambi kubwa kufurahi kupata mkopo wakati wenzako wengi wakiwa hawajapewa. Napenda niwahakikishieni kuwa mwaka huu niko tayari kupambana na mashetani hawa wa ccm mpaka kieleweke. Najua kuwa nacte kama wote wamekosa mkopo,2nd year na fresherers, ntarudi na mpango naomba ushirikiano wenu wadau wenzangu kwani sasa niko tayari kung'olewa kucha,bora nife kuliko kubembeleza kupata haki yangu..nukuu ya mh John Mnyika,godbless lema,mbowe,nk(HAKI HAIOMBWI HAKI INATAFUTWA) nimeamua kuitafuta haki yangu na watanzania wenzangu kama mimi waliotupwa kwenye dustbin majina yao..ntarudi tena hapa hapa.
Apex umekuja na maelezo mengi lakini hujasema ni kwa namna gani (kwa kutoa vigezo) wewe ulistahili kupewa mkopo ukanyimwa, ni mapema kusikitika na wewe kama hujaweka mambo sawa tujue kama kuna vijana wana sifa za kupewa mikopo lakini kwa unyonge wao wanavyimwa.

Mwisho kabisa, mimi nikiwa na tabia za kupenda kutokuwapa haki watu hii ni tabia yangu na sidhani kama inauhusiano na mrengo wangu wa itikadi ya kisiasa
 
Last edited by a moderator:
Kaka hii cccm acha tu na hapo kinana anasema kichwa chake hakina kwasababu ya matatizo ya watz.

By the way ushauri jaribu kufuatilia.usipanic utapata tu.
 
1: Ulitegemea fedha ya boom ndio iwalee wadogo zako? Masikini wa fikra. ungeishije udom?
2: Watanzania tunasaidiana, Ukerewe fursa kibao. samaki(kibao), ardhi rutuba safi( machungwa, maembe, ndizi, nanasi) mnauza kenya mnapata fedha. Huo umaskini umejitakia kwa kubweteka.
3:Ndugu wa baba au mama wanapaswa kuwasaidia ninyi mayatima na sio CCM kama unavyotaka watu waamini.
4:
Wazazi wako wamefariki wakiwa na umri wa kati miaka 40s wote. Kama walikuwa watumishi je mafao yao hamkupewa mjikimu? kama ni wakulima hicho kipande cha shamba mkitumie kuishi. Wageni wanahamia hapo nansio wanatajirika ninyi mnacheza pool. niishie hapa nikuache na riwaya yako. Fursa kijana zitumie.

Wewe Ndugu hujui shida na hujaelimika pia mtoa mada kasema amefanya mpaka uchuuzi katunza kiasi cha 200000tsh wewe unachotaka kusema hahitaji kupewa haki yake??? GAMBA KUBWA WEE...
 
Pole sana kijana,,, lakini nahisi na msimamo juu ya kuikacha ccm,
Kilicho kukimbiza hapo ni mkopo na si kitu kingine,,, inamaana ungepewa mkopo wewe na ccm damdam!
Kwa maana hiyo muda woooote ulikua hujajua ubaya wa ccm n mpaka pale tu walipo kunyima pesa,,,
 
Ndg zangu nilidhani ni hulka ya vijana tena wa elimu za juu kuichukia ccm,kumbe wengi wanahoja binafsi juu ya hatima ya maisha yao..nimesoma shule ya msingi nansio,secondary nsumba,high school minaki..chuo nilichopangiwa ni UDOM progrm ya Mining engeenering, Pia MIMI SINA WAZAZI WOTE WAWILI,Maisha ya nyumbani ni magumu sana,mimi ndo baba na mama wa wadogo zangu wanne ambao leo tumekesha nao tukilia na kukumbuka wazazi wetu,ni uchungu ule ule wa kuwapoteza wazazi ndo umenirudia tena,nilijua kupata mkopo basi wadogo zangu tungegawana boom na maisha yasonge,niliwaahidi mambo mengi na hamna siku imepita hatujapiga goti kumuomba Mungu akafanikishe maisha yetu,LEO NAONA GIZA NA WADOGO ZANGU WANAONESHA KUKATA TAMAA KABISA NA ELIMU. Nimekuwa nikiuza mbogamboga na matunda na pesa niliyonayo ni sh 200,000/= nilipanga kama ningepata mkopo basi hela hii ningewaachia wadogo zangu nusu nami niondoke na nusu nikijipanga kusubiri boom,lakini mambo yamekuja kivingine kabisa..Leo nimeamini Ng'ombe wa masikini hazai.. Yatima hana rafiki..maskini atabaki kuwa maskini tu.Ndg zangu nilijua serikali ndo ingekuja kuifuta chozi familia yangu lakini kumbe nilijidanganya..ndugu ndo hawajui hata mlango wa nyumba yetu.maisha yamegeuka kuwa mbogo na najuta kuzaliwa(MUNGU ANISAMEHE). Ndugu zangu vijana wenzangu sasa narudi kundiki,mimi na ccm tena basi. Niko tayari kufa kwa kupinga udhandiki wa ccm na serikali yake..niko tayari kuungana na wanyonge wenzangu kupigania taifa langu..na vijana mliopata mkopo msifurahi wakati kuna vijana wenzenu wenye sifa hata pengine zaidi yako wemechinjiwa baharini na serikali hii ya maccm,itakuwa ni dhambi kubwa kufurahi kupata mkopo wakati wenzako wengi wakiwa hawajapewa. Napenda niwahakikishieni kuwa mwaka huu niko tayari kupambana na mashetani hawa wa ccm mpaka kieleweke. Najua kuwa nacte kama wote wamekosa mkopo,2nd year na fresherers, ntarudi na mpango naomba ushirikiano wenu wadau wenzangu kwani sasa niko tayari kung'olewa kucha,bora nife kuliko kubembeleza kupata haki yangu..nukuu ya mh John Mnyika,godbless lema,mbowe,nk(HAKI HAIOMBWI HAKI INATAFUTWA) nimeamua kuitafuta haki yangu na watanzania wenzangu kama mimi waliotupwa kwenye dustbin majina yao..ntarudi tena hapa hapa.

Pole sana, yataisha tu ndugu yangu, bado lipo tumaini, magumu huja ili kutufanya tuwe strong, naomba chuo kikifunguliwa wahi chuo, nenda kwa Dean of students mueleze changamoto yako, andika barua ya appeal umwombe apige mhuri, upeleke loan board kanda ya dodoma(peleka mwenyewe). Utapata haki yako ila kwa kuchelewa.
 
Ndg zangu nilidhani ni hulka ya vijana tena wa elimu za juu kuichukia ccm,kumbe wengi wanahoja binafsi juu ya hatima ya maisha yao..nimesoma shule ya msingi nansio,secondary nsumba,high school minaki..chuo nilichopangiwa ni UDOM progrm ya Mining engeenering, Pia MIMI SINA WAZAZI WOTE WAWILI,Maisha ya nyumbani ni magumu sana,mimi ndo baba na mama wa wadogo zangu wanne ambao leo tumekesha nao tukilia na kukumbuka wazazi wetu,ni uchungu ule ule wa kuwapoteza wazazi ndo umenirudia tena,nilijua kupata mkopo basi wadogo zangu tungegawana boom na maisha yasonge,niliwaahidi mambo mengi na hamna siku imepita hatujapiga goti kumuomba Mungu akafanikishe maisha yetu,LEO NAONA GIZA NA WADOGO ZANGU WANAONESHA KUKATA TAMAA KABISA NA ELIMU. Nimekuwa nikiuza mbogamboga na matunda na pesa niliyonayo ni sh 200,000/= nilipanga kama ningepata mkopo basi hela hii ningewaachia wadogo zangu nusu nami niondoke na nusu nikijipanga kusubiri boom,lakini mambo yamekuja kivingine kabisa..Leo nimeamini Ng'ombe wa masikini hazai.. Yatima hana rafiki..maskini atabaki kuwa maskini tu.Ndg zangu nilijua serikali ndo ingekuja kuifuta chozi familia yangu lakini kumbe nilijidanganya..ndugu ndo hawajui hata mlango wa nyumba yetu.maisha yamegeuka kuwa mbogo na najuta kuzaliwa(MUNGU ANISAMEHE). Ndugu zangu vijana wenzangu sasa narudi kundiki,mimi na ccm tena basi. Niko tayari kufa kwa kupinga udhandiki wa ccm na serikali yake..niko tayari kuungana na wanyonge wenzangu kupigania taifa langu..na vijana mliopata mkopo msifurahi wakati kuna vijana wenzenu wenye sifa hata pengine zaidi yako wemechinjiwa baharini na serikali hii ya maccm,itakuwa ni dhambi kubwa kufurahi kupata mkopo wakati wenzako wengi wakiwa hawajapewa. Napenda niwahakikishieni kuwa mwaka huu niko tayari kupambana na mashetani hawa wa ccm mpaka kieleweke. Najua kuwa nacte kama wote wamekosa mkopo,2nd year na fresherers, ntarudi na mpango naomba ushirikiano wenu wadau wenzangu kwani sasa niko tayari kung'olewa kucha,bora nife kuliko kubembeleza kupata haki yangu..nukuu ya mh John Mnyika,godbless lema,mbowe,nk(HAKI HAIOMBWI HAKI INATAFUTWA) nimeamua kuitafuta haki yangu na watanzania wenzangu kama mimi waliotupwa kwenye dustbin majina yao..ntarudi tena hapa hapa.

Ndio maana waliweka nafasi ya rufaa. Kata rufaa na ambatanisha nukuhuu za vipengele katika vigezo vya kupewa mkopo kama vilivyoainishwa kwenye sheria ya vigezo vya kupewa mkopo. Usiandike malalamiko, bali toa hoja inayopinga wewe kutopewa mkopo ingawa, unavyodai, ulikuwa na vigezo. Usiwe kama mtu asiye na elimu, kukesha kulaumulaumu huku wengine wanafurahia nafasi yako. Kata rufaa mapema
 
Dah pole sana, nakumbuka mwaka jana skufanya application nilikuwa na machungu sana nimekaa mtaani spend sana kukumbuka ila namshukuru Mungu nimeanza mwaka wa 1 usijal ndugu yangu utafanikiwa nawe pia.
 
no usihairishe mwaka.nenda ka apeal coz una vigezo vyote vya kupata mkopo

sijui ata jinsi ya kuapeal..alafu pia tcu walimilazimisha kuchagua faculty moja tu ambayo ni non-priority naona ata nikiapeal siwezi kupata,japokua nmesoma goverment schools,nilifaulu vzur na pia nna single parent,.
 
Ndg zangu nilidhani ni hulka ya vijana tena wa elimu za juu kuichukia ccm,kumbe wengi wanahoja binafsi juu ya hatima ya maisha yao..nimesoma shule ya msingi nansio,secondary nsumba,high school minaki..chuo nilichopangiwa ni UDOM progrm ya Mining engeenering, Pia MIMI SINA WAZAZI WOTE WAWILI,Maisha ya nyumbani ni magumu sana,mimi ndo baba na mama wa wadogo zangu wanne ambao leo tumekesha nao tukilia na kukumbuka wazazi wetu,ni uchungu ule ule wa kuwapoteza wazazi ndo umenirudia tena,nilijua kupata mkopo basi wadogo zangu tungegawana boom na maisha yasonge,niliwaahidi mambo mengi na hamna siku imepita hatujapiga goti kumuomba Mungu akafanikishe maisha yetu,LEO NAONA GIZA NA WADOGO ZANGU WANAONESHA KUKATA TAMAA KABISA NA ELIMU. Nimekuwa nikiuza mbogamboga na matunda na pesa niliyonayo ni sh 200,000/= nilipanga kama ningepata mkopo basi hela hii ningewaachia wadogo zangu nusu nami niondoke na nusu nikijipanga kusubiri boom,lakini mambo yamekuja kivingine kabisa..Leo nimeamini Ng'ombe wa masikini hazai.. Yatima hana rafiki..maskini atabaki kuwa maskini tu.Ndg zangu nilijua serikali ndo ingekuja kuifuta chozi familia yangu lakini kumbe nilijidanganya..ndugu ndo hawajui hata mlango wa nyumba yetu.maisha yamegeuka kuwa mbogo na najuta kuzaliwa(MUNGU ANISAMEHE). Ndugu zangu vijana wenzangu sasa narudi kundiki,mimi na ccm tena basi. Niko tayari kufa kwa kupinga udhandiki wa ccm na serikali yake..niko tayari kuungana na wanyonge wenzangu kupigania taifa langu..na vijana mliopata mkopo msifurahi wakati kuna vijana wenzenu wenye sifa hata pengine zaidi yako wemechinjiwa baharini na serikali hii ya maccm,itakuwa ni dhambi kubwa kufurahi kupata mkopo wakati wenzako wengi wakiwa hawajapewa. Napenda niwahakikishieni kuwa mwaka huu niko tayari kupambana na mashetani hawa wa ccm mpaka kieleweke. Najua kuwa nacte kama wote wamekosa mkopo,2nd year na fresherers, ntarudi na mpango naomba ushirikiano wenu wadau wenzangu kwani sasa niko tayari kung'olewa kucha,bora nife kuliko kubembeleza kupata haki yangu..nukuu ya mh John Mnyika,godbless lema,mbowe,nk(HAKI HAIOMBWI HAKI INATAFUTWA) nimeamua kuitafuta haki yangu na watanzania wenzangu kama mimi waliotupwa kwenye dustbin majina yao..ntarudi tena hapa hapa.

jemsi upo wapiii? Nataka nikuulize swali ju ya huyu classmate wako
 
Wewe Ndugu hujui
shida na hujaelimika pia mtoa mada kasema amefanya mpaka uchuuzi katunza
kiasi cha 200000tsh wewe unachotaka kusema hahitaji kupewa haki yake???
GAMBA KUBWA WEE...

nimeamini hapa duniani kuna watu hawajui kabisa kitu kinachoitwa shida
 
1: Ulitegemea fedha ya boom ndio iwalee wadogo zako? Masikini wa fikra. ungeishije udom?
2: Watanzania tunasaidiana, Ukerewe fursa kibao. samaki(kibao), ardhi rutuba safi( machungwa, maembe, ndizi, nanasi) mnauza kenya mnapata fedha. Huo umaskini umejitakia kwa kubweteka.
3:Ndugu wa baba au mama wanapaswa kuwasaidia ninyi mayatima na sio CCM kama unavyotaka watu waamini.
4:
Wazazi wako wamefariki wakiwa na umri wa kati miaka 40s wote. Kama walikuwa watumishi je mafao yao hamkupewa mjikimu? kama ni wakulima hicho kipande cha shamba mkitumie kuishi. Wageni wanahamia hapo nansio wanatajirika ninyi mnacheza pool. niishie hapa nikuache na riwaya yako. Fursa kijana zitumie.

hv ww una akili kwl?mwnzko analeta thread yny uzuni unamletea maneno ya taarabu.au mwnz2 unakaa xana uwani!!mwnangu ww choko xana.co cri umeniboa xana.
 
UKijua udhaifu wa adui yako ndio utamshinda vinginevyo na wewe utakua unaimba taarabu tu.
Wapinzani tumien udhaifu huo kung'oa hii mizizi ya chama cha madawa.
 
jemsi upo wapiii? Nataka nikuulize swali ju ya huyu classmate wako

(nakuomba uni pm kwa hilo swal lako) we wacha tu,aliniambia eti serikali ya sasa ni sikivu kwa upande wa elimu,
na kwel ameona usikivu wake.
KAMA HAWATAKI KUCHUKUA KADI YA CHAMA NA WANYIMWE TU.
 
Mkuu nimekuelewa sana kwa sababu hata mi napitia katika wakat mgum sana,kwa wale wenzetu wasiojua hali halisi ya shida wanaandika tu wanavyojisikia,tuendelee kumwomba Mungu kamanda wangu,.sio siri nimejisikia kulia kwasababu najua uhalisia wa hali uliyonayo..!! Mungu akusaidie kijana mwenzangu
 
Back
Top Bottom