Sikujua Malawi wana uawanja mzuri hivi!

Sikujua Malawi wana uawanja mzuri hivi!

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
images (70).jpeg
National-Stadium-Stade_nuit_amitie_2-e1430145517714.jpg

Unaitwa bingus national stadium.
Misri alikufa mbili bila hapa na Ethiopia afcon wiki kama mbili zilizopita
 
Alafu hawapigi kelele kama sie huju 😂😂😂 mm huwa nawa ambiaga baadhi ya washikaji zangu ya kuwa hizi barabara tunazo jenga bongo hamna kitu, kuna nchi hapa Africa wana jenga barabara za kisasa yaannkimya kimya husikii kelele za majigambo

Aina ya barabara hii Tz tunapaswa tuwe nazo za kutosha yaaan lkn watawala wetu wana tuchuuzaa akili zetu sijui wametupiga ramli
 
Tatizo la nchi hii wakifanya chochote ni yowe hadi dunia nzima isikie lakini ndio inaongoza kwa kuwa na barabara za viwango vya chini kabisa na ndio maana zimewekewa mizani kila mkoa.

Ili kuthibitisha kwamba barabara za Tanzania ni feki lori inayopaswa kubeba tani 40 au 50 eti inaruhusiwa kubeba tani chini ya 30 tu..!! Kisa eti wanalinda barabara wakati ukweli ni kwamba zimejengwa chini ya kiwango.

Jiji kama la Kinshasa lenye wakazi zaidi ya milioni 12 lina mabarabara za leni 8 ambazo hazipo ukanda wote wa Afrika Mashariki lakini hawasemi kabisa na wala huwezi kujua kwamba wanazo barabara kama hizo.

Tanzania tumezidi ushamba na ulimbukeni wakati tuna miundombinu feki kabisa.
 
Uzuri gani unafanana tuu na hivi vya bongo vya mikoani vinavyomilikiwa na nambari wani ambavyo vimefunikwa jukwaa kuu tuu wanakoita vip wengine mvua ikija au jua kali mtapambana na hali zenu?
 
Alafu hawapigi kelele kama sie huju 😂😂😂 mm huwa nawa ambiaga baadhi ya washikaji zangu ya kuwa hizi barabara tunazo jenga bongo hamna kitu, kuna nchi hapa Africa wana jenga barabara za kisasa yaannkimya kimya husikii kelele za majigambo

Aina ya barabara hii Tz tunapaswa tuwe nazo za kutosha yaaan lkn watawala wetu wana tuchuuzaa akili zetu sijui wametupiga ramli
Yani mi pia nashangaa hadi leo eti ile morogoro road ipo vile
 
Uzuri gani unafanana tuu na hivi vya bongo vya mikoani vinavyomilikiwa na nambari wani ambavyo vimefunikwa jukwaa kuu tuu wanakoita vip wengine mvua ikija au jua kali mtapambana na hali zenu?
Hivi jaribu kugoogle huyo UWANJA umenjengwa Kwa sh ngapi
 
Back
Top Bottom