Sikukuu ndio siku ya kurudisha furaha ya Mtanzania iliyotoweka

Sikukuu ndio siku ya kurudisha furaha ya Mtanzania iliyotoweka

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau..!
Kiukweli waTanzania tunahitaji furaha sababu maisha yamekuwa magumu sana huku mtaani ,japo tunafikiri sana nje ya box mpaka mabichwa yanaongezeka upana lakini bila bila kama mithiani ya maisha wengi tunapata zero.

Tuwakumbushe tu viongozi maamuzi wanayoyafanya yasiwe ambayo yatazidi kumnyima furaha mtanzania.

Iwapo mtanzania atafanya jambo lolote pasipo kuvunja sheria basi hasizuiliwe kipindi kama hiki cha sikukuu hususa mwaka mpya,maana makatazo yalekuwa mengi sana hususa hawa mawaziri waangali jinsi gani wataimarisha ulinzi ila sio kutuibia furaha yetu.

Kuna vitu vingi mwaka mpya tulikuwa tunafanya kama sehemu ya kujifurahisha na kumtukuza mungu lakini viongozi wetu wamekuja na makatazo mengi sana mpk sikukuu kma mwaka mpya watu tunakuwa km tupo msibani.

Wanyonge tusiokuwa na hela ya kwenda Kidimbwi,40 40,liquid au Micasa ndio tunateseka ,ss starehe yetu kuchoma matahiri,fataki,baruti,kigoma ,mkesha ,mziki mkubwa n.k lakini makatazo mengi km tupo nchi yenye vita.

Nchi hii ni yetu sote tusijisahau jamani,tuimarishe ulinzi ila sio kukatana stimu maana unakuta mtu yupo bar mara defender imeingia wakati ndio kwanza upo bia ya kwanza daah hii inauma sana .Utasikia Meneja yupo wapi?haya funga bar,Wakati bia zenyewe za mafungu nimetoa buku 10 yangu nikapewa tano yaani unaanza ya kwanza wazee nao wanakukatisha stimu ss sijuhi uzibebe au uache mezani wakati umejichanga toka November umeweka hela kwa kibubu mwaka mpya utoke na pisi kali noma sana
😂😂😂😂😂
 
Habari wadau..!
Kiukweli waTanzania tunahitaji furaha sababu maisha yamekuwa magumu sana huku mtaani ,japo tunafikiri sana nje ya box mpaka mabichwa yanaongezeka upana lakini bila bila kama mithiani ya maisha wengi tunapata zero.

Tuwakumbushe tu viongozi maamuzi wanayoyafanya yasiwe ambayo yatazidi kumnyima furaha mtanzania.

Iwapo mtanzania atafanya jambo lolote pasipo kuvunja sheria basi hasizuiliwe kipindi kama hiki cha sikukuu hususa mwaka mpya,maana makatazo yalekuwa mengi sana hususa hawa mawaziri waangali jinsi gani wataimarisha ulinzi ila sio kutuibia furaha yetu.

Kuna vitu vingi mwaka mpya tulikuwa tunafanya kama sehemu ya kujifurahisha na kumtukuza mungu lakini viongozi wetu wamekuja na makatazo mengi sana mpk sikukuu kma mwaka mpya watu tunakuwa km tupo msibani.

Wanyonge tusiokuwa na hela ya kwenda Kidimbwi,40 40,liquid au Micasa ndio tunateseka ,ss starehe yetu kuchoma matahiri,fataki,baruti,kigoma ,mkesha ,mziki mkubwa n.k lakini makatazo mengi km tupo nchi yenye vita.

Nchi hii ni yetu sote tusijisahau jamani,tuimarishe ulinzi ila sio kukatana stimu maana unakuta mtu yupo bar mara defender imeingia wakati ndio kwanza upo bia ya kwanza daah hii inauma sana .Utasikia Meneja yupo wapi?haya funga bar,Wakati bia zenyewe za mafungu nimetoa buku 10 yangu nikapewa tano yaani unaanza ya kwanza wazee nao wanakukatisha stimu ss sijuhi uzibebe au uache mezani wakati umejichanga toka November umeseka hela kwa kibubu mwaka mpya utoke na pisi kali noma sana
😂😂😂😂😂
KWANZA wakuu kabla ya yote naomba mwenye wimbo wa remmy ongala akiwa na matimila bendi wa one one world,mle Kuna maneno ya sema others are prisoners please naomba wimbo huo ,please na uwe dadicated for all member for jf as 2021 jift
Habari wadau..!
Kiukweli waTanzania tunahitaji furaha sababu maisha yamekuwa magumu sana huku mtaani ,japo tunafikiri sana nje ya box mpaka mabichwa yanaongezeka upana lakini bila bila kama mithiani ya maisha wengi tunapata zero.

Tuwakumbushe tu viongozi maamuzi wanayoyafanya yasiwe ambayo yatazidi kumnyima furaha mtanzania.

Iwapo mtanzania atafanya jambo lolote pasipo kuvunja sheria basi hasizuiliwe kipindi kama hiki cha sikukuu hususa mwaka mpya,maana makatazo yalekuwa mengi sana hususa hawa mawaziri waangali jinsi gani wataimarisha ulinzi ila sio kutuibia furaha yetu.

Kuna vitu vingi mwaka mpya tulikuwa tunafanya kama sehemu ya kujifurahisha na kumtukuza mungu lakini viongozi wetu wamekuja na makatazo mengi sana mpk sikukuu kma mwaka mpya watu tunakuwa km tupo msibani.

Wanyonge tusiokuwa na hela ya kwenda Kidimbwi,40 40,liquid au Micasa ndio tunateseka ,ss starehe yetu kuchoma matahiri,fataki,baruti,kigoma ,mkesha ,mziki mkubwa n.k lakini makatazo mengi km tupo nchi yenye vita.

Nchi hii ni yetu sote tusijisahau jamani,tuimarishe ulinzi ila sio kukatana stimu maana unakuta mtu yupo bar mara defender imeingia wakati ndio kwanza upo bia ya kwanza daah hii inauma sana .Utasikia Meneja yupo wapi?haya funga bar,Wakati bia zenyewe za mafungu nimetoa buku 10 yangu nikapewa tano yaani unaanza ya kwanza wazee nao wanakukatisha stimu ss sijuhi uzibebe au uache mezani wakati umejichanga toka November umeseka hela kwa kibubu mwaka mpya utoke na pisi kali noma sana
😂😂😂😂😂
 
Kwa kweli mimi nimesikitika sana mkesha wa mwaka mpya nilikua napendelea sana kwenda kwenye mkesha pale emaus ubungo lakini matamko ya kusitisha mikesha hata ya ibada nimejiuliza hii nchi tunaelekea wapi.
 
Kifupi tupo kwenye nchi ya ajabu sana...Nilikutana na Police wakaniambia natembea usiku muda wa wao kulinda kwamba sijui kama ni makosa?..nikawauliza kwani nchi hii kutembea mwisho saa ngapi kwa mujibu wa sheria?...badala ya kunijibu wakasema nawatukana.

Utendaji kazi usiwe kigezo cha kunyima haki za watu.
 
Kifupi tupo kwenye nchi ya ajabu sana...Nilikutana na Police wakaniambia natembea usiku muda wa wao kulinda kwamba sijui kama ni makosa?..nikawauliza kwani nchi hii kutembea mwisho saa ngapi kwa mujibu wa sheria?...badala ya kunijibu wakasema nawatukana.

Utendaji kazi usiwe kigezo cha kunyima haki za watu.
Hauogopi unawatukana wajomba,ulipaswa kuchezea virungu .
 
Habari wadau..!
Kiukweli waTanzania tunahitaji furaha sababu maisha yamekuwa magumu sana huku mtaani ,japo tunafikiri sana nje ya box mpaka mabichwa yanaongezeka upana lakini bila bila kama mithiani ya maisha wengi tunapata zero.

Tuwakumbushe tu viongozi maamuzi wanayoyafanya yasiwe ambayo yatazidi kumnyima furaha mtanzania.

Iwapo mtanzania atafanya jambo lolote pasipo kuvunja sheria basi hasizuiliwe kipindi kama hiki cha sikukuu hususa mwaka mpya,maana makatazo yalekuwa mengi sana hususa hawa mawaziri waangali jinsi gani wataimarisha ulinzi ila sio kutuibia furaha yetu.

Kuna vitu vingi mwaka mpya tulikuwa tunafanya kama sehemu ya kujifurahisha na kumtukuza mungu lakini viongozi wetu wamekuja na makatazo mengi sana mpk sikukuu kma mwaka mpya watu tunakuwa km tupo msibani.

Wanyonge tusiokuwa na hela ya kwenda Kidimbwi,40 40,liquid au Micasa ndio tunateseka ,ss starehe yetu kuchoma matahiri,fataki,baruti,kigoma ,mkesha ,mziki mkubwa n.k lakini makatazo mengi km tupo nchi yenye vita.

Nchi hii ni yetu sote tusijisahau jamani,tuimarishe ulinzi ila sio kukatana stimu maana unakuta mtu yupo bar mara defender imeingia wakati ndio kwanza upo bia ya kwanza daah hii inauma sana .Utasikia Meneja yupo wapi?haya funga bar,Wakati bia zenyewe za mafungu nimetoa buku 10 yangu nikapewa tano yaani unaanza ya kwanza wazee nao wanakukatisha stimu ss sijuhi uzibebe au uache mezani wakati umejichanga toka November umeweka hela kwa kibubu mwaka mpya utoke na pisi kali noma sana
😂😂😂😂😂
Wapo wafanyabiashara wamefungiwa biashara zao wamebambikiwa kodi kubwa hewa wamefungiwa Account zao hawana pesa kabsa, sikukuu yote wanautumia kuwalaani maofisa wa TRA wenye Roho mbaya vinara wa uonevu huo
 
Kifupi tupo kwenye nchi ya ajabu sana...Nilikutana na Police wakaniambia natembea usiku muda wa wao kulinda kwamba sijui kama ni makosa?..nikawauliza kwani nchi hii kutembea mwisho saa ngapi kwa mujibu wa sheria?...badala ya kunijibu wakasema nawatukana.

Utendaji kazi usiwe kigezo cha kunyima haki za watu.
Polisiccm wengi wakikosa Sheria ya kumtengenezea mtu kesi huja na Sheria kuwa umewazuia kutekeleza majukumu yao, husema umezea Polisi kufanya kazi yao
 
Back
Top Bottom