VinJoe
Member
- Dec 18, 2017
- 31
- 171
Nakumbuka zamani Christmas ilikua sikukuu kubwa kuliko hata mwaka mpya kwa familia yangu.. ilikua inasherehekewa kwa namna ya kipekee sana kwanza Christmas ilikua ni lazima siku hio mvua inyeshe so inakua na theme ya ubaridi mvua na matope. Lakini sidhani kama hio kitu bado ipo.
Zamani Christmas ilikua ni birthday ya Yesu ila ilikua kama ndio birthday yangu maana na nguo tutanunuliwa na midoli na vizawadi vyakitoto vyakutosha hapo kuna Uncle mmoja humkosi na vimfuko viwili vitatu vya pipi anatoa tu kila siku😂😂 ndugu mnakutana mnadherekea pamoja na hapo unakua na mizuka January ifike mfungue shule.
ILA SASA HIVI NATAMANI XMAS 🎄 IPITE HARAKA MAANA NI MIMI SASA ZAMU YANGU KUNUNUA ZILE ZAWADI NA KU SPOIL WATOTO NA VITU VIZURI VIZURI.
NA MASWALA YAKUKUTANA TENA SIO MUHIMU TENA KWA DUNIA HII YA LEO MAISHA YAKO SPEED KILA MTU ANAHISI AMEBANWA.. MAMBO YAMEKUA TOFAUTI SANA.
IBADA YA MKESHA WA XMAS ILIKUA MUHIMU SANA KWETU ILA KWASASA HATA SIJUI KAMA BADO HIZO IBADA ZINAFANYIKA ZAIDI NAJUA WAPI BATA ZURI LEO LIPO.
Zamani Christmas ilikua ni birthday ya Yesu ila ilikua kama ndio birthday yangu maana na nguo tutanunuliwa na midoli na vizawadi vyakitoto vyakutosha hapo kuna Uncle mmoja humkosi na vimfuko viwili vitatu vya pipi anatoa tu kila siku😂😂 ndugu mnakutana mnadherekea pamoja na hapo unakua na mizuka January ifike mfungue shule.
ILA SASA HIVI NATAMANI XMAS 🎄 IPITE HARAKA MAANA NI MIMI SASA ZAMU YANGU KUNUNUA ZILE ZAWADI NA KU SPOIL WATOTO NA VITU VIZURI VIZURI.
NA MASWALA YAKUKUTANA TENA SIO MUHIMU TENA KWA DUNIA HII YA LEO MAISHA YAKO SPEED KILA MTU ANAHISI AMEBANWA.. MAMBO YAMEKUA TOFAUTI SANA.
IBADA YA MKESHA WA XMAS ILIKUA MUHIMU SANA KWETU ILA KWASASA HATA SIJUI KAMA BADO HIZO IBADA ZINAFANYIKA ZAIDI NAJUA WAPI BATA ZURI LEO LIPO.