Sikukuu za Krismasi za zamani ni tofauti na za sasa hivi


 
Shangazi yangu alikuwa mnoko nuyo tena ukichanganya na usabato ndo maweeee! mie x mass bana kwa mdingi na maza ndo raha isiyo kifani lkn huko kwingine ilikuw inapita hivi pyuuuuu! hata nilikuwag siijui...mie nimekuja furahia wkt niko chuo!! x mass mnachinjiwa mbuzi weeengi!...pilau yaani hata nilikuwa sitamani kwenda nyumbani!! bora likizo nikapange mjini tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…