GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wenye Yanga yetu tunaenda na Msomi Dk. Mshindo Mbwete Msolla na siyo Matapeli wengine halafu ni wana Simba SC kindakindaki.
Tutanuniana sana Mwaka huu.
Tutanuniana sana Mwaka huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msola mwenyewe anamuunga mkono injiniaWenye Yanga yetu tunaenda na Msomi Dk. Mshindo Mbwete Msolla na siyo Matapeli wengine halafu ni wana Simba SC kindakindaki.
Tutanuniana sana Mwaka huu.
We jamaa...!!Wenye Yanga yetu tunaenda na Msomi Dk. Mshindo Mbwete Msolla na siyo Matapeli wengine halafu ni wana Simba SC kindakindaki.
Tutanuniana sana Mwaka huu.
🤣🤣🤣🤣We popo kweli Mara upo Simba Mara yanga aliyekupa upopoma ametisha
Mara mzanaki ,mmakuwa ,mtusi ,MTz ,Mnyarwanda inategemea ameamka vipi na dawa gani alizotumia .We popo kweli Mara upo Simba Mara yanga aliyekupa upopoma ametisha
Tunawaiga nyie mlivyokabidhi timu kwa familia ya Dewji au kuna ubaya?Sasa kuna mtu mwenye akili atataka kuikabidhi yanga kwa Hersi??
Hapo ji kuikabidhi rasimi kwa GSM.
Mo mmakonde?TUNA IMANI NA MSOLLA TUSIKABIDHI TEAM KWA WAARABU NA WASOMALI, TUWAPE WAZAWA
Akipita watavurugwa saaaanaHaha simba wanaogopa, yule engineer anawatisha kweli.
Ya yanga waachie wenyeweWenye Yanga yetu tunaenda na Msomi Dk. Mshindo Mbwete Msolla na siyo Matapeli wengine halafu ni wana Simba SC kindakindaki.
Tutanuniana sana Mwaka huu.