Sikumbuki ni lini Rais Mstaafu Kikwete alionyesha nia ya Ikulu ya Dodoma Kujengwa, bali Hayati Magufuli ndiyo alisema na kuianza

Sikumbuki ni lini Rais Mstaafu Kikwete alionyesha nia ya Ikulu ya Dodoma Kujengwa, bali Hayati Magufuli ndiyo alisema na kuianza

kikwete Kama Obama anajua kuongea vizuri anakupamba Ila afanyi kazi yoyote . Ana poor productivity . Sema all in all he is okay has a person . And he did what he did .
....Ana Poor Productivity lakini all in all he is Ok ???
...ndio Unafiki Wa Watanzania Sasa huo !
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Mtamaliza maneno yote, matusi yote dhidi ya watu wa pwani na huyo kikwete mumchukiaye lakini kamwe washamba a.k.a waporipori na wajinga nyie hamtowafikia. Wana namna yao kufikiri (dots) na kutenda mambo ambayo nyie wanyama hamtokaa kamwe muielewe mtaishia kutukana tu na matusi ni faraja ya wapumbavu. Endeleeni na ushupavu wa kulima ekari 20 kwa jembe la mkono; endeleeni na ushupavu wenu wa kuua simba kwa mikuki na mapanga. Endelezeni na nguvukazi yenu ya kumiliki na kuswaga ng'ombe 1000.........

Baada ya yote hayo msubirie msaada wa mahindi ya kula kutokana na njaa (siku ukisikia watu wa pwani wanaomba msaada wa mahindi uje hapa kuanzisha uzi)

Mtafuata vilivyoanzishwa pwani hata milele........iwe michezo (zileteni zenu zije kuzipiku Yanga na Simba), lugha ( leteni kisukuma chenu kipiku kiswahili) au chochote kile (hata vipaji). Wakati mnaendelea kukeketana huko, watu wa pwani waliachana na huo ujinga zamani tu. Wakati mnauana huko sababu ya uchawi (macho mekundu), watu wa pwani wana karne kadha wa kadha tangu wastaarabike kutoka katika mambo hayo.....na mengine meeengi.

Watu wa pwani hawawashangai na wala hawawastuki kwa matusi na kashfa zenu; wanajua nyie ni warugaruga fulani mnaojihisi mnachipukia.....mnatoka gizani basi ni kawaida kujihisi ni wa kwanza kuona mwanga. Ni kama usumbufu wa vijana wa miaka 15-18 (teenagers); huwa wanajihisi wababe wao, wazuri wao n.k. Ukikua (kifikra....yaani ukitokwa na ujinga), utakuja kuyaelewa meeengi siku za usoni. Itoshe tu kukwambia kamwe hutowaweza na hutowafikia watu wa pwani mrugaruga wewe.....utaishia kutukana na kupatwa na hasira wewe mwenyewe mtukanaji.

Ngoja tu niishie hapo maana si muandishi mzuri mimi.
Umewapalilia sana hao watu wa Pwani. Kuna kitu cha maana M-bara anaweza kijifunza kutoka kwa Wakwere, Wazaramo, wamwera,au wamakonde kweli?
 
Kikwete is very bright. Yule jamaa Ni kichwa. Aliona hakuna umuhimu wa kukurupuka na kwenda kujenga majengo mengine wakati majengo tunayo Dar. Yeye akaona Bora tujenge shule za kata kwanza na world standard University yaani UDOM.
Sasa wengine wakakurupuka ohh tuhamie dodoma.hii imeongeza Sana matumizi ya serikali maana in actual fact kila siku watumishi wakubwa wako on the move between Dar and Dom.
Hakuna waziri asiye na makazi Dar, Wala wakurugenzi, Wala makamishna Wala wabunge.
Kuhamia Dodoma Ni Kama Ile operation vijiji ya 1974. Madhara take yalikua makubwa Sana.
Mpaka Sasa hakuna anayeweza kutaja faida za kuhamia Dodoma from an economic point of view.
 
Kikwete is very bright. Yule jamaa Ni kichwa. Aliona hakuna umuhimu wa kukurupuka na kwenda kujenga majengo mengine wakati majengo tunayo Dar. Yeye akaona Bora tujenge shule za kata kwanza na world standard University yaani UDOM.
Sasa wengine wakakurupuka ohh tuhamie dodoma.hii imeongeza Sana matumizi ya serikali maana in actual fact kila siku watumishi wakubwa wako on the move between Dar and Dom.
Hakuna waziri asiye na makazi Dar, Wala wakurugenzi, Wala makamishna Wala wabunge.
Kuhamia Dodoma Ni Kama Ile operation vijiji ya 1974. Madhara take yalikua makubwa Sana.
Mpaka Sasa hakuna anayeweza kutaja faida za kuhamia Dodoma from an economic point of view.
Ilitumika nguvu kubwa kuwabrainwash wajinga na kwa bahati mbaya ilifanikiwa kwakuwa, kama kawaida, mamburura hayakosekani.

Uzuri wa jk, na ndo maana anabarikiwa, hana kinyongo wala hasira na mtu. Anatabasamu tu kila anavyowaona hawa mamburura wanavyopayuka hovyohovyo. Unatakiwa uwe na viwango vya chuo kikuu cha Havard uweze kumuelewa jk......na hao ni wachache sana kwa bahati mbaya. Hongera mtoa mada.
 
Umewapalilia sana hao watu wa Pwani. Kuna kitu cha maana M-bara anaweza kijifunza kutoka kwa Wakwere, Wazaramo, wamwera,au wamakonde kweli?
Inawezekana hakuna, kama ambavyo wao pia hawana kutoka bara! Kila mtu na maisha yake na utaratibu wake. Lakini pwani 9taongoza tu, upende usipende!! Tulia, kusanya kumbukumbu utaliona hilo.
 
Ilitumika nguvu kubwa kuwabrainwash wajinga na kwa bahati mbaya ilifanikiwa kwakuwa, kama kawaida, mamburura hayakosekani.

Uzuri wa jk, na ndo maana anabarikiwa, hana kinyongo wala hasira na mtu. Anatabasamu tu kila anavyowaona hawa mamburura wanavyopayuka hovyohovyo. Unatakiwa uwe na viwango vya chuo kikuu cha Havard uweze kumuelewa jk......na hao ni wachache sana kwa bahati mbaya. Hongera mtoa mada.
Politicians wote wanao support mabebelu wanaishi poa in modern times . Wanapewa deals sio Baraka . Kikwete will be among the worst presidents in his country he did nothig significant . Najua hata kama anasoma hapa . He regrets he should have done more for his country . Shida people have seen the true colors . Not a single legacy left behind . His son is Also doing nothing for his people in bagamoyo tragic . Ila ndo siasa 🫡
 
Politicians wote wanao support mabebelu wanaishi poa in modern times . Wanapewa deals sio Baraka . Kikwete will be among the worst presidents in his country he did nothig significant . Najua hata kama anasoma hapa . He regrets he should have done more for his country . Shida people have seen the true colors . Not a single legacy left behind . His son is Also doing nothing for his people in bagamoyo tragic . Ila ndo siasa 🫡
Sawa, hongereni nyie mlioacha legacy!
 
Watanzania wote tunajua Serikali ilihamishwa Dodoma Awamu ya Tano na hayati JPM.

Kikwete na co. kupitia upinzani walimkwamisha sana. Ushahidi upo wazi mitandaoni.

Uzuri siku hizi kila kitu kipo wazi.

Awamu hii moja inamtosha na tumshamchoka. doctor silaa tafuta chama uingie nchi unachukua mapema tu
 
Wadanganyeni Wapuuzi na Wanafiki wenzenu au Wengine ila siyo Mimi GENTAMYCINE.

Nimemfuatilia Rais Mstaafu Kikwete tokea akiwa Rais hadi anastaafu sikuwahi hata Siku moja kumsikia akisema Serikali yake na Awamu yake itajenga Ikulu ya Dodoma.

Mtu pekee na Mwanamume wa Kweli na Jembe hasa aliyethubutu kuhakikisha Ikulu ya Dodoma inajengwa na Serikali yote kuhamia huko alikuwa ni Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli pekee ukiachana na Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere aliyeanzisha hilo Wazo kipindi cha Utawala / Uongozi wake.

Haya haraka sana niwaombe wale walioandaa Hotuba ya Kinafiki wakati wa Uzinduzi wa Ikulu Mpya ya Dodoma wabadili ile sehemu waliyomtaja Rais Mstaafu Kikwete kuwa na Yeye alichochea Ujenzi huo wa Ikulu hiyo ya Dodoma.

Kwa Wengine mkisema kuwa katika Uongozi wao Jambo Kubwa walilofanya na Kufanikiwa nalo ipasavyo lilikuwa ni Rushwa, Uwizi, Uhalifu mkubwa, Uuzwaji wa Dawa za Kulevya, Kuongezeka kwa Idadi ya Wapumbavu na Wanafiki wengi nchini GENTAMYCINE nitakubaliana nanyi kwa 100%.

R.I.P Hayati John Pombe Magufuli.
Nani alikudanganyabkuwa Kijwete alitaka kujenga Ukulu mpya Dodoma?


Kikwete aliitumia Ikulu iliyokuwepo tayari Chamwini kila alipokuwa Dodoma.

Kikwete alijenga miundo mbinu yenye maana Dodoma. Ajenge Ikulu kabla ya mengine ya muhimu kukamilika? Si ujuha huo.

Unatafuta cha kumzulia Kikwete?


Miradi ya Kikwete inajulikana, hakuwa na jipaumbele cha kujenga Ikulu mpya Dodoma wakati kulikuwa na Ikulu tayari.


Mwendazimu mmoja alienda kuanzisha hifadhi mpya ya wanyama kwao wakati zilizopo bado zina migogoro lukuki.
 
Narudia kusema waliyosema wenzangu awali......Kikwete si rais wa maana na si wa kumchukulia serious. Tanzania haijawahi kuwa na rais mpuuzi kama yeye, alishindwa kuongoza nchi akawa anazunguka dunia nzima kudai anaitangaza nchi yetu kumbe alikuwa na yake binafsi. Huyu Mama kwa kiasi kikubwa anashauriwa sana na Kikwete pamoja n Mze mnafiki (Makamba), asipoangalia kwa keli atajijengea a bad legacy kwani watu washaanza kumchoka sasa kasoro waliliao vyeo ndiyo wanamsifia kutaka ajira za upendeleo waibe mapema na kutunza familia zao.
we ni mbwaaa . acha kumzarau rais mstaafu. kafanya makubwa mengi tu.ila kwa upopoma wako huwezi yasema
 
Yule mzee ni wa ajabu sana.

Juzi Dodoma ameongea vitu vya hovyo eti anamshukuru Samia kwamba alipokea miradi mikubwa lakini ameamua kuiendeleza angeweza kuamua kuiacha na kuanzisha ya kwake.

Kuna mtu aliwahi kusema katika kiongozi tulipata Tanzania wa hovyo ni huyo mzee.
Hii kauli na Mimi ilinishtusha Sana......
 
Hakuna kiongozi ambaye kafanya mema bila kua na makosa,..tena huyo unayemsifu ndiye aliyetuletea mpasuko mkubwa kuliko hata JK....
Mazuri ya JK
1.Uhuru wa vyombo vya habari...ndio maana hata makosa ktk utawala wake yaliweza julikana
2.Ujenzi wa miundo mbinu..barabara,UDOM,shule za kata n.k
3.Nyongeza za mishahara kwa watumishi kila mwaka+kupanda kwa madaraja
4.Ajira ,hasa Afya na Elimu kila mwaka
5.Aman na Upendo vilitawala,hakuna hofu ya kutekwa,hatukusikia wasijulikana...tunamshukuru mama kwa kutuleta pamoja kama Taifa,mama amefanya kazi kubwa,Mungu azidi kumbariki Rais wetu wa awamu ya 6....hayo ya awamu ya 5 hatutaki yajirudie.
 
Hakuna kiongozi ambaye kafanya mema bila kua na makosa,..tena huyo unayemsifu ndiye aliyetuletea mpasuko mkubwa kuliko hata JK....
Mazuri ya JK
1.Uhuru wa vyombo vya habari...ndio maana hata makosa ktk utawala wake yaliweza julikana
2.Ujenzi wa miundo mbinu..barabara,UDOM,shule za kata n.k
3.Nyongeza za mishahara kwa watumishi kila mwaka+kupanda kwa madaraja
4.Ajira ,hasa Afya na Elimu kila mwaka
5.Aman na Upendo vilitawala,hakuna hofu ya kutekwa,hatukusikia wasijulikana...tunamshukuru mama kwa kutuleta pamoja kama Taifa,mama amefanya kazi kubwa,Mungu azidi kumbariki Rais wetu wa awamu ya 6....hayo ya awamu ya 5 hatutaki yajirudie.
1. Hivi yule dokta aliyeng'olewa meno bila ganzi, kupigwa na kutupwa mabwepande ilikuwa awamu ya ngapi vile?
2. Yule mwandishi aliyemwagiwa tindikali naye?
3. Je na yule mwandishi aliyeng'olewa jicho kwa kutumia umma?
4. Mwandishi aliyesambaratishwa kwa bomu la machozi kule Iringa naye?
5. Aliyepiga bomu wananchi kwenye mkutano kule Olasiti ilikuwa ni awamu ya ngapi tena?
6. Mimi nimechoka bwana Nitaendelea kesho
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtamaliza maneno yote, matusi yote dhidi ya watu wa pwani na huyo kikwete mumchukiaye lakini kamwe washamba a.k.a waporipori na wajinga nyie hamtowafikia. Wana namna yao kufikiri (dots) na kutenda mambo ambayo nyie wanyama hamtokaa kamwe muielewe mtaishia kutukana tu na matusi ni faraja ya wapumbavu. Endeleeni na ushupavu wa kulima ekari 20 kwa jembe la mkono; endeleeni na ushupavu wenu wa kuua simba kwa mikuki na mapanga. Endelezeni na nguvukazi yenu ya kumiliki na kuswaga ng'ombe 1000.........

Baada ya yote hayo msubirie msaada wa mahindi ya kula kutokana na njaa (siku ukisikia watu wa pwani wanaomba msaada wa mahindi uje hapa kuanzisha uzi)

Mtafuata vilivyoanzishwa pwani hata milele........iwe michezo (zileteni zenu zije kuzipiku Yanga na Simba), lugha ( leteni kisukuma chenu kipiku kiswahili) au chochote kile (hata vipaji). Wakati mnaendelea kukeketana huko, watu wa pwani waliachana na huo ujinga zamani tu. Wakati mnauana huko sababu ya uchawi (macho mekundu), watu wa pwani wana karne kadha wa kadha tangu wastaarabike kutoka katika mambo hayo.....na mengine meeengi.

Watu wa pwani hawawashangai na wala hawawastuki kwa matusi na kashfa zenu; wanajua nyie ni warugaruga fulani mnaojihisi mnachipukia.....mnatoka gizani basi ni kawaida kujihisi ni wa kwanza kuona mwanga. Ni kama usumbufu wa vijana wa miaka 15-18 (teenagers); huwa wanajihisi wababe wao, wazuri wao n.k. Ukikua (kifikra....yaani ukitokwa na ujinga), utakuja kuyaelewa meeengi siku za usoni. Itoshe tu kukwambia kamwe hutowaweza na hutowafikia watu wa pwani mrugaruga wewe.....utaishia kutukana na kupatwa na hasira wewe mwenyewe mtukanaji.

Ngoja tu niishie hapo maana si muandishi mzuri mimi.
Pambee, waambie wachambia viguzi, tumewafundisha kutumia maji, waabara watani zetu Ila washamba mno, wacheza ngoma tusiosoma tumetia saini ikulu,.mjini mipango hati, hatujui kununa tunatabasamu tu, karibuni jandoni na unyago mwakani kwetu msata.
 
Hakuna mtu mkamilifu hapa duniani. Kwa hiyo JK, JPM , Mama Tozo wote wana mazuri na mabaya. Tusifocus kwenye mabaya yao tu.
Ila Kikwete was useless jamani, hata yeye mwenyewe anajijuwa kwa hili na Bunge letu useless walishasema kuwa jamaa alikuwa useless na wakataka rais mkali wakampata JPM wakamuogopa. Kikwete akamatwe tu arudishwe kwao China, hatumtaki hata kumuona mitandaoni.
 
Back
Top Bottom