SIKUMBUKI NI LINI TIMU YOYOTE IKIFUNDISHWA NA JUMA MGUNDA ILIWAI KUMFUNGA SIMBA!

SIKUMBUKI NI LINI TIMU YOYOTE IKIFUNDISHWA NA JUMA MGUNDA ILIWAI KUMFUNGA SIMBA!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Kocha uyu kwa miaka yote aliyokaa coastal union ajawai kupata ata sare mbele ya Simba, lakini akikutana na timu nyingine unaona anapata matokeo!
Uyu jamaa uwa ni mwanachama mwaminifu wa Simba anawasaidia sana kupata point kwenye timu yoyote anayoifundisha, aiwezekani Kila mechi ukose mbinu yoyote ya kiufundi kupata matokeo ata ya sare tu kwenye Kila mechi zako dhidi ya Simba!
Nilipoona anatangazwa mgunda kuwa kocha mkuu wa Namungo nilijua Moja kwa Moja tiyali point 3 Simba keshazipata bila jasho🤣🤣
Mbinu zake yeye uwa zinaonekana akicheza na timu nyingine sio Simba!
 
Kocha uyu kwa miaka yote aliyokaa coastal union ajawai kupata ata sare mbele ya Simba, lakini akikutana na timu nyingine unaona anapata matokeo!
Uyu jamaa uwa ni mwanachama mwaminifu wa Simba anawasaidia sana kupata point kwenye timu yoyote anayoifundisha, aiwezekani Kila mechi ukose mbinu yoyote ya kiufundi kupata matokeo ata ya sare tu kwenye Kila mechi zako dhidi ya Simba!
Nilipoona anatangazwa mgunda kuwa kocha mkuu wa Namungo nilijua Moja kwa Moja tiyali point 3 Simba keshazipata bila jasho🤣🤣
Mbinu zake yeye uwa zinaonekana akicheza na timu nyingine sio Simba!
Kuwa kocha wewe na uifunge simba.
 
Kocha uyu kwa miaka yote aliyokaa coastal union ajawai kupata ata sare mbele ya Simba, lakini akikutana na timu nyingine unaona anapata matokeo!
Uyu jamaa uwa ni mwanachama mwaminifu wa Simba anawasaidia sana kupata point kwenye timu yoyote anayoifundisha, aiwezekani Kila mechi ukose mbinu yoyote ya kiufundi kupata matokeo ata ya sare tu kwenye Kila mechi zako dhidi ya Simba!
Nilipoona anatangazwa mgunda kuwa kocha mkuu wa Namungo nilijua Moja kwa Moja tiyali point 3 Simba keshazipata bila jasho🤣🤣
Mbinu zake yeye uwa zinaonekana akicheza na timu nyingine sio Simba!
Ngoja hao Namungo washuke akili ziwakae.
 
Kwa hiyo ni lazima apate matokeo?
Mechi nyingine mbona anapata inakuwaje anakosa matokeo anapokutana na Simba Kila mechi ata kama timu yake ni Bora lazima ipoteze tu iwe isiwe kulikoni?
 
Mgunda hakuwepo hata benchi jana. Mna matatizo gani nyie viumbe?
 
Kocha uyu kwa miaka yote aliyokaa coastal union ajawai kupata ata sare mbele ya Simba, lakini akikutana na timu nyingine unaona anapata matokeo!
Uyu jamaa uwa ni mwanachama mwaminifu wa Simba anawasaidia sana kupata point kwenye timu yoyote anayoifundisha, aiwezekani Kila mechi ukose mbinu yoyote ya kiufundi kupata matokeo ata ya sare tu kwenye Kila mechi zako dhidi ya Simba!
Nilipoona anatangazwa mgunda kuwa kocha mkuu wa Namungo nilijua Moja kwa Moja tiyali point 3 Simba keshazipata bila jasho🤣🤣
Mbinu zake yeye uwa zinaonekana akicheza na timu nyingine sio Simba!
Kama ilivyo kwa MINZIRO
 
Kama ilivyo kwa MINZIRO
Ulishaangalia mechi za minziro akikutana na yanga wewe? Akunaga ushindi rahisi minziro akikutana na yanga na yanga akishindaga uwa ni kwa mbinde kigoli kimoja sio kama uyo kocha wenu!
 
Ulishaangalia mechi za minziro akikutana na yanga wewe? Akunaga ushindi rahisi minziro akikutana na yanga na yanga akishindaga uwa ni kwa mbinde kigoli kimoja sio kama uyo kocha wenu!
Kumbe mnaheshimu ushindi wa mbinde wa kigoli kimoja?
 
Unamaanisha tusishangae Mgunda akakimbilia mashujaa gafla.
 
Kocha uyu kwa miaka yote aliyokaa coastal union ajawai kupata ata sare mbele ya Simba, lakini akikutana na timu nyingine unaona anapata matokeo!
Uyu jamaa uwa ni mwanachama mwaminifu wa Simba anawasaidia sana kupata point kwenye timu yoyote anayoifundisha, aiwezekani Kila mechi ukose mbinu yoyote ya kiufundi kupata matokeo ata ya sare tu kwenye Kila mechi zako dhidi ya Simba!
Nilipoona anatangazwa mgunda kuwa kocha mkuu wa Namungo nilijua Moja kwa Moja tiyali point 3 Simba keshazipata bila jasho🤣🤣
Mbinu zake yeye uwa zinaonekana akicheza na timu nyingine sio Simba!
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Back
Top Bottom