Kuwa kocha wewe na uifunge simba.Kocha uyu kwa miaka yote aliyokaa coastal union ajawai kupata ata sare mbele ya Simba, lakini akikutana na timu nyingine unaona anapata matokeo!
Uyu jamaa uwa ni mwanachama mwaminifu wa Simba anawasaidia sana kupata point kwenye timu yoyote anayoifundisha, aiwezekani Kila mechi ukose mbinu yoyote ya kiufundi kupata matokeo ata ya sare tu kwenye Kila mechi zako dhidi ya Simba!
Nilipoona anatangazwa mgunda kuwa kocha mkuu wa Namungo nilijua Moja kwa Moja tiyali point 3 Simba keshazipata bila jasho🤣🤣
Mbinu zake yeye uwa zinaonekana akicheza na timu nyingine sio Simba!
Simba nimeifunga mara 4 mfululizo kwaiyo leta hoja nyingine inayomuhusu mgunda sio iyo!Kuwa kocha wewe na uifunge simba.
Kwa hiyo ni lazima apate matokeo?Kocha uyu kwa miaka yote aliyokaa coastal union ajawai kupata ata sare mbele ya Simba,
Ngoja hao Namungo washuke akili ziwakae.Kocha uyu kwa miaka yote aliyokaa coastal union ajawai kupata ata sare mbele ya Simba, lakini akikutana na timu nyingine unaona anapata matokeo!
Uyu jamaa uwa ni mwanachama mwaminifu wa Simba anawasaidia sana kupata point kwenye timu yoyote anayoifundisha, aiwezekani Kila mechi ukose mbinu yoyote ya kiufundi kupata matokeo ata ya sare tu kwenye Kila mechi zako dhidi ya Simba!
Nilipoona anatangazwa mgunda kuwa kocha mkuu wa Namungo nilijua Moja kwa Moja tiyali point 3 Simba keshazipata bila jasho🤣🤣
Mbinu zake yeye uwa zinaonekana akicheza na timu nyingine sio Simba!
Mechi nyingine mbona anapata inakuwaje anakosa matokeo anapokutana na Simba Kila mechi ata kama timu yake ni Bora lazima ipoteze tu iwe isiwe kulikoni?Kwa hiyo ni lazima apate matokeo?
Kama ilivyo kwa MINZIROKocha uyu kwa miaka yote aliyokaa coastal union ajawai kupata ata sare mbele ya Simba, lakini akikutana na timu nyingine unaona anapata matokeo!
Uyu jamaa uwa ni mwanachama mwaminifu wa Simba anawasaidia sana kupata point kwenye timu yoyote anayoifundisha, aiwezekani Kila mechi ukose mbinu yoyote ya kiufundi kupata matokeo ata ya sare tu kwenye Kila mechi zako dhidi ya Simba!
Nilipoona anatangazwa mgunda kuwa kocha mkuu wa Namungo nilijua Moja kwa Moja tiyali point 3 Simba keshazipata bila jasho🤣🤣
Mbinu zake yeye uwa zinaonekana akicheza na timu nyingine sio Simba!
Ulishaangalia mechi za minziro akikutana na yanga wewe? Akunaga ushindi rahisi minziro akikutana na yanga na yanga akishindaga uwa ni kwa mbinde kigoli kimoja sio kama uyo kocha wenu!Kama ilivyo kwa MINZIRO
Kumbe mnaheshimu ushindi wa mbinde wa kigoli kimoja?Ulishaangalia mechi za minziro akikutana na yanga wewe? Akunaga ushindi rahisi minziro akikutana na yanga na yanga akishindaga uwa ni kwa mbinde kigoli kimoja sio kama uyo kocha wenu!
Sisi ndiyo Simba SC AKA;Kocha uyu kwa miaka yote aliyokaa coastal union ajawai kupata ata sare mbele ya Simba, lakini akikutana na timu nyingine unaona anapata matokeo!
Uyu jamaa uwa ni mwanachama mwaminifu wa Simba anawasaidia sana kupata point kwenye timu yoyote anayoifundisha, aiwezekani Kila mechi ukose mbinu yoyote ya kiufundi kupata matokeo ata ya sare tu kwenye Kila mechi zako dhidi ya Simba!
Nilipoona anatangazwa mgunda kuwa kocha mkuu wa Namungo nilijua Moja kwa Moja tiyali point 3 Simba keshazipata bila jasho🤣🤣
Mbinu zake yeye uwa zinaonekana akicheza na timu nyingine sio Simba!