Sikumbuki ni lini Tundu Lissu aliwahi kudanganya kwa kudhamiria, huyu ni Mwanasiasa wa Kipekee sana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimejaribu kupitia kumbukumbu zake mbalimbali mitandaoni na magazetini tangu akiwa mwanasheria wa Mazingira hadi Siasani NCCR na sasa Chadema kiukweli sijakuta Uwongo wa huyu Mwamba

Ni nadra sana kuwapata wanasiasa wa aina hii Katika Dunia ya Leo

Nimekuwa nikiwafuatilia sana Tundu Antipas Lisu na Julius Malema lakini kwa kipengele cha " Mtu Mkweli" Lisu yuko vizuri

Mlale Unono πŸ˜„
 
Huyu jamaa yenu tangu akiwa bungeni sijawahi ona mchango wake kwa taifa. Kuna watu walikuwa wapinzani mpaka leo ni mashujaa kweli wa kukumbukwa mfano akina kafulila, zito, silaa n.k . Lakini huyu jamaa yenu zaidi ya kuongea mnooo hakuna chakumkumbuka
 
Ni CCM pekee ndiyo kumejaa matapeli tupu
 
Ukitaka kujua kuwa Lissu ni mkweli, amechangiwa pesa ya kununua gari, lakini hatoi figure za uongo Ili kuhadaa umma. Ingekuwa ni wale wa chama chakavu, wangeweka figure kubwa Ili kuhadaa umma kuwa wanakubalika sana.
 
Huyu jamaa yenu tangu akiwa bungeni sijawahi ona mchango wake kwa taifa. Kuna watu walikuwa wapinzani mpaka leo ni mashujaa kweli wa kukumbukwa mfano akina kafulila, zito, silaa n.k . Lakini huyu jamaa yenu zaidi ya kuongea mnooo hakuna chakumkumbuka
Tuambie exactly kwenye hii nchi wewe umechangia nini significantly zaidi ya Tundu Lisu?!
 
Tundu Lissu alidanganga kuwa mlinzi wa Magufuli naye alikufa kwa korona.
 
Ndio maana Mzee kikwete alisema "Ni heri Dr. Slaa kuwa Rais kuliko Lisu kuwa Mbunge!

The man is genius!
 
Kati ya jambo lililonisikitisha sana ni Lisu kupigwa risasi!

Kifupi Lisu aliligawa taifa kijasusi !yaani pande mbili za usalama zilikinzana kuhusu uhai wa lisu ndio maana hatawalioexecute mission walifeli coz walifelishwa na wanausalama wenzao!

Hakukua na mapatano ya pamoja juu ya hatma ya uhai wa Lisu kwenye hili taifa!!!

Ni Moja ya jambo lililonisikitisha sana coz inaonekana Kuna ushindani ndani ya TISS juu ya mstakabali was baadhi ya mambo ndani ya system kuhusu mission fulani fulani!!

Ipo siku kitanuka aiseh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…