johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Huyu jamaa yenu tangu akiwa bungeni sijawahi ona mchango wake kwa taifa. Kuna watu walikuwa wapinzani mpaka leo ni mashujaa kweli wa kukumbukwa mfano akina kafulila, zito, silaa n.k . Lakini huyu jamaa yenu zaidi ya kuongea mnooo hakuna chakumkumbukaNimejaribu kupitia kumbukumbu zake mbalimbali mitandaoni na magazetini tangu akiwa mwanasheria wa Mazingira hadi Siasani NCCR na sasa Chadema kiukweli sijakuta Uwongo wa huyu Mwamba
Ni nadra sana kuwapata wanasiasa wa aina hii Katika Dunia ya Leo
Nimekuwa nikiwafuatilia sana Tundu Antipas Lisu na Julius Malema lakini kwa kipengele cha " Mtu Mkweli" Lisu yuko vizuri
Mlale Unono π
Sijajua umri wakoHuyu jamaa yenu tangu akiwa bungeni sijawahi ona mchango wake kwa taifa. Kuna watu walikuwa wapinzani mpaka leo ni mashujaa kweli wa kukumbukwa mfano akina kafulila, zito, silaa n.k . Lakini huyu jamaa yenu zaidi ya kuongea mnooo hakuna chakumkumbuka
Ni CCM pekee ndiyo kumejaa matapeli tupuNimejaribu kupitia kumbukumbu zake mbalimbali mitandaoni na magazetini tangu akiwa mwanasheria wa Mazingira hadi Siasani NCCR na sasa Chadema kiukweli sijakuta Uwongo wa huyu Mwamba
Ni nadra sana kuwapata wanasiasa wa aina hii Katika Dunia ya Leo
Nimekuwa nikiwafuatilia sana Tundu Antipas Lisu na Julius Malema lakini kwa kipengele cha " Mtu Mkweli" Lisu yuko vizuri
Mlale Unono π
Jamaa ni mkweli snUkitaka kujua kuwa Lisu ni mkweli, amechangiwa pesa ya kununua gari, lakini hatoi figure za uongo Ili kuhadaa umma. Ingekuwa ni wale wa chama chakavu, wangeweka figure kubwa Ili kuhadaa umma kuwa wanakubalika sana.
Wa nini. Jamaa yenu nje na porojo taja jambo lolote alilowahi kuibua kwa manufaa ya taifaSijajua umri wako
Mwigulu ni kama Nalaila Kiula katumwa kuzitafuna Kodi zetu.Kawaida watu wa Singida sisi si waongo ila yule Mwigulu sijui vipi!!
Tuambie exactly kwenye hii nchi wewe umechangia nini significantly zaidi ya Tundu Lisu?!Huyu jamaa yenu tangu akiwa bungeni sijawahi ona mchango wake kwa taifa. Kuna watu walikuwa wapinzani mpaka leo ni mashujaa kweli wa kukumbukwa mfano akina kafulila, zito, silaa n.k . Lakini huyu jamaa yenu zaidi ya kuongea mnooo hakuna chakumkumbuka
Hivi yule bado yupo hai?Mwigulu ni kama Nalaila Kiula katumwa kuzitafuna Kodi zetu.
Nadhani kavuta yule Mzee.Hivi yule bado yupo hai?
Mungu atusameheNadhani kavuta yule Mzee.
Tundu Lissu alidanganga kuwa mlinzi wa Magufuli naye alikufa kwa korona.Nimejaribu kupitia kumbukumbu zake mbalimbali mitandaoni na magazetini tangu akiwa mwanasheria wa Mazingira hadi Siasani NCCR na sasa Chadema kiukweli sijakuta Uwongo wa huyu Mwamba
Ni nadra sana kuwapata wanasiasa wa aina hii Katika Dunia ya Leo
Nimekuwa nikiwafuatilia sana Tundu Antipas Lisu na Julius Malema lakini kwa kipengele cha " Mtu Mkweli" Lisu yuko vizuri
Mlale Unono π
Ndio maana Mzee kikwete alisema "Ni heri Dr. Slaa kuwa Rais kuliko Lisu kuwa Mbunge!Nimejaribu kupitia kumbukumbu zake mbalimbali mitandaoni na magazetini tangu akiwa mwanasheria wa Mazingira hadi Siasani NCCR na sasa Chadema kiukweli sijakuta Uwongo wa huyu Mwamba
Ni nadra sana kuwapata wanasiasa wa aina hii Katika Dunia ya Leo
Nimekuwa nikiwafuatilia sana Tundu Antipas Lisu na Julius Malema lakini kwa kipengele cha " Mtu Mkweli" Lisu yuko vizuri
Mlale Unono π
Mbona mimi na yeye hatunamchango wowote kabisa. Zaidi ni mbwembwe na kiki na majigambo, ndivo vimetujaa.Tuambie exactly kwenye hii nchi wewe umechangia nini significantly zaidi ya Tundu Lisu?!
Kweli wewe ni mgeni hapa nchini.Wa nini. Jamaa yenu nje na porojo taja jambo lolote alilowahi kuibua kwa manufaa ya taifa