Bushmaster
JF-Expert Member
- Jan 18, 2022
- 583
- 1,265
Binafsi sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri atolee ufafanuzi kuhusu TRAT na TRAB ndani ya sekunde Moja, (Aelezee kitabu chenye kurasa 500 ndani ya sekunde moja)
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB