Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Mwenyewe kachemka hata hajui kirefu cha TRAT afu anamcheka daktari msomi mwenye first class degreeKwa hiyo wewe umeeleza ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe kachemka hata hajui kirefu cha TRAT afu anamcheka daktari msomi mwenye first class degreeKwa hiyo wewe umeeleza ni nini?
Sio kweli SPIKA hajuiBinafsi sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri atolee ufafanuzi kuhusu TRAT na TRAB ndani ya sekunde Moja, (Aelezee kitabu chenye kurasa 500 ndani ya sekunde moja)
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB
Wewe ndio mbwiga kabisaBinafsi sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri atolee ufafanuzi kuhusu TRAT na TRAB ndani ya sekunde Moja, (Aelezee kitabu chenye kurasa 500 ndani ya sekunde moja)
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB
Kwa suala hili Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, Madam Spika alikuwa sahihi kabisa.Kwa nilivyoelewa Mheshimiwa spika alimtaka mheshimiwa Waziri afafanue hayo maneno na siyo kuelezea kitabu chote chenye kurasa 500 kama wewe ulivyofafanua hapa maana TRAB na TRAT ni vifupisho vya maneno ambavyo vilikua havieleweki kwa waheshimiwa wabunge alikusudia nini
Ahahaha, kwahiyo hata waziri hakujua kirefu chake hayo maneno!Speaker alikuwa sahihi na siyo kwamba haelewi. Alitaka Mwigulu atamke kwa urefu wake ili watu waelewe na Hansad ziwe na maneno sahihi siyo kifupi. Na kwa taarifa yako hata Mwigulu hakujua kirefu cha hayo maneno na ndiyo maana alichemka.
Kitendo cha Mwigulu kushindwa kutoa kirefu chake ameonesha udhaifu mkubwa sana na ni aibu. Nafikiri atakuwa anajisikiaje vibaya sana... Anyway, so far hauna Waziri wa Fedha... Huyu ni Waziri wa Pesa.Speaker alikuwa sahihi na siyo kwamba haelewi. Alitaka Mwigulu atamke kwa urefu wake ili watu waelewe na Hansad ziwe na maneno sahihi siyo kifupi. Na kwa taarifa yako hata Mwigulu hakujua kirefu cha hayo maneno na ndiyo maana alichemka.
HahaaaaaaTRAT.................naam
TRAB...............abeee
Nilikuwa nimekaa mahali, jamaa mmoja pembeni akawa anaiplay. Nkajua tayari Eric Omondi ashatutafutia ubaya Watanzania.kifupi ni rufani za kodi[emoji1545][emoji1752]
Wee mburula kweli kweli! Spika alitaka aeleze maana au afafanue ni nini TRAT na TRAB na siyo kuanza kufundisha!Binafsi sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri atolee ufafanuzi kuhusu TRAT na TRAB ndani ya sekunde Moja, (Aelezee kitabu chenye kurasa 500 ndani ya sekunde moja)
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB
Mbona wewe umejieleza ndani ya sekunde moja, Mwigulu aishindwa nini?Binafsi sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri atolee ufafanuzi kuhusu TRAT na TRAB ndani ya sekunde Moja, (Aelezee kitabu chenye kurasa 500 ndani ya sekunde moja)
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB
Ulimfanyia speaker assessment kujua anajua?Sio kweli SPIKA hajui
Yule ni mwanasheria nguli ,tena alikuwa lectural pale Udism
Longo ni kufafanua kwa Wabunge wa CCM mbumbu
Mtu kama sijui TELATELA Anajua nini huyo.
Soo uwe n hakika na unachoongea acha uongoo
Umefafanua vyema, ahsante kwa maboreshoNina mashaka hata wewe umechemka....
Hakuna neno Tanzania kwenye kirefu cha huo ufupisho
TRAT = Tax Revenue Appeal Tribunal
TRAB = Tax Revenue Appeal Board
Yani u.emwingiza chaka mpaka mtani wangu mchawi Mshana Jr
Kwa kiwango kikubwa upo sahihi ila ningependa kukukosoa hapo kwenye TRAT'-Tanzania Revenue Appeal Tribunal ambayo ni Baraza/Mahakama ya mashauri ya kikodi na Rufaa zake zinaenda TRAB. Na sio kitabu kama uLivyo eleza hapo japo ni kweli kuna rules na regulation zinazo ongoza uendeshwaji wa mashauri ya kikodi ambazo wewe ndo umezielezea kama TRAT.Binafsi sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri atolee ufafanuzi kuhusu TRAT na TRAB ndani ya sekunde Moja, (Aelezee kitabu chenye kurasa 500 ndani ya sekunde moja)
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB
Ona sasa unaonekana mpumbavu kwa kiherehere chako mwenyeweBinafsi sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri atolee ufafanuzi kuhusu TRAT na TRAB ndani ya sekunde Moja, (Aelezee kitabu chenye kurasa 500 ndani ya sekunde moja)
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB
Ya.. ya ya ya ya yaaa..... yaa... yaaa.....Binafsi sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri atolee ufafanuzi kuhusu TRAT na TRAB ndani ya sekunde Moja, (Aelezee kitabu chenye kurasa 500 ndani ya sekunde moja)
Kwanini sikushangaa? Sababu ni jambo lipo nje ya profession yake
Kifupi TRAT (Tanzania Revenue Appeals Tribunal Rules or Act hizi ni sheria zinazoongoza mashauri mbalimbali ya kikodi
Soma Hapa TRAT
Na TRAB (Tanzania Revenue Appeal Board hii ni bodi inayoongoza au kusikiliza mashauri hayo
Soma Hapa TRAB