Sikushangaa Spika alivyomtaka Waziri aelezee TRAT na TRAB ndani ya sekunde moja

Nini mshana mini nimempa mwigulu likes 4 kwa kutetema bungeni
 
Bwana Mwigulu kubali tu ulichemka sababu wewe ni kilaza. Usije hapa ni vi ID fake kuhalalisha ukilaza wako.
ya ya ya ya ya na tozo ndio vitu pekee uvijuavyo.
 
Yani wewe ni kilaza kweli kweli, katika hizo page 500 Hakuna definition of terms? Au maelezo Mafupi?

Sasa Mbona wewe umetoa definition kwa ufupi? Ivi, does it have to be your profession to understand?
Huyo ni Mwigulu kaja kivingine[emoji23][emoji23]
 
Kingine Waziri wa fedha huchagua Chairman na wajumbe wa TRAB na hushiriki pia kuchagua wajumbe wa TRAT, how comes ana power nzito hivyo lakini hajui kuzielezea rufani zake za kikodi?

..kwa maoni yangu mbunge anapaswa kufahamu trab na trat ni nini.
 
..kwa maoni yangu mbunge anapaswa kufahamu trab na trat ni nini.
Ni kweli lakini hasa anayezisimamia hizo organ anapaswa kujua anavyovisimamia. Mimi nikiwa na nafasi ya uongozi ni lazima niwe na list ya kila idara ama taasisi iliyochini yangu na at least nijue 10% ya activity wanazozifanya.
 
Si angeelezea kama hivi ulivyosema hapa.?
 
Daaaaaa
aelezee kitabu au aliulizwa TRAT na TRAB ni niniiiii?, we mbona umeziandika hapo, hata hayo uliyo yaandika alishindwa kuyasema.
Angesema ayo maneno ni manini ndo sasa atuambie kuwa ni kitabu chenye kuras 500 hawezi kukielezea.
 
Mtoa mada acha kutetea INCOMPETENCE. Mwigulu ni mtupu na hiyo kazi hana uwezo nayo. Hata kujiita PhD anakiabisha chuo cha UDSM kilichompa hiyo cheti feki.

Sikuona ugumu wa kushindwa kusema TRAB na TRAT ni nini ndani ya sekunde Moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…