Sikutegemea kama ingetokea siku na mimi nijihisi nimeambukizwa UKIMWI...


Whether ni hiv au aids sisi tunachojua ni ukimwi tu...!!! 'N then unyanyapaa au carantine ni nyenzo muhimu sana wayahudi wa zamani za Musa na Haruni waliagizwa kuwanyanyapaa watu wenye UKOMA na kuwatenga nje ya kambi/kijiji au mji.
 
Naomba kuuliza Kwani unavo enda Ulaya si unapima UKIMWI??
Nchi gani uliingia bila kupima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…