Sikutegemea nilichokikuta ukweni

Nakazia 📌🔨
 
Toa pesa ule mbunye kilarahisi.

Ukihesabu ulizohonga zinazidi hapo.
 
Usimuache bila kumshirikisha binti, mwambie wazee wake wameenda nje ya alichoahidi hivyo mchongo uishie hapo.

Ila hizi mambo za mahari zinawaumiza sana watoto wa kike.
Unakuta mwanamke umri unaenda, keshapigwa na pipe za kila rangi.

Kampata kanyaboya mmoja ili walau aolewe sasa, wazazi wanaleta miyeyusho as if ni bikra. Mwisho mpaka kanyaboya anastuka anatoka nduki.

Mara paap 32 yrs hii hapa na chalii mbili kazalia home.
 
Sasa wewe ujiingize kuoa Msukuma halafu ulete mahari 1m? Utatimuliwa asubuhi na mapema! Kila mwanaume akaoe kwao, wenye tamaduni zao waachieni!
 
Duu mlikuwa wababe saba aisee
 
Kimbia fasta toka nduki we kimbia ukianguka ukiumia inuka Vumilia kimbia fasta toka nduki we kimbia ukianguka ukistuka inuka Vumilia.

Anyways. Hiyo milioni moja walirudi nayo au wameitoa?
 
Hahaaa kweli familia yenu imekulia cuba ama north korea kwa mzee wa mabwanga hammbelezi kima akizingua mnazingua 🤣🤣🤣safi sana.
 
Taja gharama za mahari na mazishi ya dino nyinginezo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…