Sikutegemea nilichokikuta ukweni

Hii ni nzuri sana.
 
Waislamu hawana huo ujinga
 
Dogo wala usipanic ww na mkeo si mnaelewana na mnapendana mwambie dem akae kifo cha mende tarehe zake za hatari piga show za maana l.Huyo akienda kwao huko ni full kulamba ndimu na kula udongo wakimuuliza anasema mimba ya mtu mlie mletea zogo.Hakika nakuambia watakutafuta na tena hata ukiwaambia una ef tatu na mia mbilii wananchukua.Yaan unamwacha umpendae kisa wazee wapigeni tukio hao watakaa sawa km lenu ni moja lakini.
 
Ufukara ukichanganywa na tamaa unaweza jikuta kila kitu unakifanya fursa.

Hiyo familia itakuwa ni makapuku wenye tamaa. Wanaona ndoa ya binti yao kama ukombozi wa ufukara wao.

Kaa nao mbali hao, ukioa hapo utanyonywa mpaka ubongo kwa hodi hodi za kulia shida.
 

Nani alikwambia ujitolee ukweni?
 
Naam naam hata Mimi 7M nilikabidhiwa mkononi na mume wangu mtarajiwa halafu mm nikatoa 1M ilobaki nikawabless wazazi.
 
Sasa wewe ujiingize kuoa Msukuma halafu ulete mahari 1m? Utatimuliwa asubuhi na mapema! Kila mwanaume akaoe kwao, wenye tamaduni zao waachieni!
Msukuma wa wapi acha kuogopesja,hao hadi laki 3 unapata mke,achana na story za vijiweni,juzi nimemtafutia jamaa yangu mke ambaye binti huyo ni mwanafunzi wangu,tulilipa mahari ya laki 7 tu
 
Si umesema utalipa kidogo kidogo??
6M hiyo ukikomaa ndani ya miaka 2.
Umemaliza.
Hiyo ni zawadi tu, isikuumize kichwa mdau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…