Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Mbona haraka hivyo, vip kwan tena tajiri? 😂😂itakua uchagani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona haraka hivyo, vip kwan tena tajiri? 😂😂itakua uchagani
Naskia ameokoka siku hizi anampenda yesuDAh, comment zako zingekuaga fair namna hii, hakika ingekua raha sana
Nisome vizuri tu, utanielewa. Sijawahi kuwa unfair.DAh, comment zako zingekuaga fair namna hii, hakika ingekua raha sana
Hahaa wakimfukuza ww ndo unampokea unakaa nae maana km walileta tamaa acha wavune tamaa na hao hao akijifungua binti yao watakuja tu.Usukumani anafukuzwa
Hii ni kwa waislam maskini, nenda kwa GSM au Mo na hizo sahani zako tuone matokeo yakeUislamu raha sana kwenye jambo kuoa moja mahari ni ya mwanamke yeye ndio anataja anataka nini kama seti ya sahani sawa kama mkeka wa kuswalia sawa ... Jambo la kuzika na jambo la kuoa limefanywa rahisi na la haraka mno .
Pole mkuu lipa hiyo mahari mambo ya mila ya ajabu ajabu waachie wenyewe
😂😂😂😂aaah tajiri wanyakyusa hatunaga baya ndo maana nimekataa harakaMbona haraka hivyo, vip kwan tena tajiri? 😂😂
Mmmh, mkuu tuliooa uchagani tuna testimony aisee. Ile cash ya mahari inaweza isiwe kubwa sana, ila makorokoro ni mengi sana, unaweza kutajiwa cash ya 1m, ila ukiweka na mambo mengine hata 3m inafika.Wachaga hawajawahi kubwa na mahari kubwa ndio kabila moja wapo lenye mahari ndogo , ukitoa vitu kama vitenge vya bibi ,shangazi na debe la mbege unachukua msalaba wako.
Ni utamaduni wa kijima tu! Mara koti mara blanket mara pombe mambo za ajabu tukuna vitu vingine vya ajabu sana yani babu alikuwa hana koti mpaka mme wa mjukuu aje amnunulie... na mjukuu kakosa mmee kwa sababu babu anataka koti...vitu vingine vya kiwaki...
Tena wale ndio utakuta mahari ni msahafu tu! jua kutofautisha mahari na sherehe ya harusiHii ni kwa waislam maskini, nenda kwa GSM au Mo na hizo sahani zako tuone matokeo yake
Hata mimi nimeshangaa, huyu anazungumzia vitu vya nadharia ila sio ktk maisha halisi mtaani. Juzi mshikaji wangu kuna familia Mtoni Kijichi Temeke imemng'ang'ania awalipe Tshs. 4M.Jindanganye hivyo labda waislam wa mtaani kwenu ndo mahali anataja demu
na alifanikiwa kuitoa au aliweka ahadi?Hata mimi nimeshangaa, huyu anazungumzia vitu vya nadharia ila sio ktk maisha halisi mtaani. Juzi mshikaji wangu kuna familia Mtoni Kijichi Temeke imemng'ang'ania awalipe Tshs. 4M.
Inategemea na familia lakiniMmmh, mkuu tuliooa uchagani tuna testimony aisee. Ile cash ya mahari inaweza isiwe kubwa sana, ila makorokoro ni mengi sana, unaweza kutajiwa cash ya 1m, ila ukiweka na mambo mengine hata 3m inafika.
kwanza uelewe kwa tamaduni nyingi mahari inaongelewa na ndugu/ukoo na si baba wa binti tuWakuu habari za muda huu
Kijana wenu nina umri wa miaka 28
Baada ya kuona kwamba sasa yanifaa kuwa na mwenzangu wa kuishi nae basi nikachukua jukumu la kwenda kwao kujitambulisha na kufahamika rasmi ili basi niishi nae kihalali kabsa
Kipato changu sio kikubwa sana hvo nikawa nimejiwekea kias flan kama mahari (million 1) nikamwambia mwenzangu kwamba hima hima kaongee na mama kama ataweza kuongea na mzee bc mahari isizidi hapo.
Mwenzang akanifata na kunijulisha kwamba mzee amekubal lkn anaomba angalau basi iwe 1.5 ili waweze kugawana nyumban na baadhi ya ndugu kwakuwa natambua kwamba mahari huwa haiishi (baada ya kuelezwa na wakubwa wangu) bc nilikubali kulipa hyo 1.5 lkn kwa malipo ya kidogo kidogom
Jana kwa neema ya Mungu ndugu na familia yangu wakaongozana hadi kwao na mwenzang kwa ajili ya kutoa kishika uchumba na pia kulipa nusu ya mahali tuliyokubaliana
Baada ya kufika huko ndugu zangu hawakuamin walichokutana nacho huko ambacho ht mm mpk sasa siamin bado.
Mahari wamekuta ni million 4 na mahitaji kama koti la babu na vitu vingine jumla million 2 yan TOTAL ni million 6.
Kwa bahati mbaya sikuwepo ila laiti kama ningekuwepo bc ningewaomba ndugu zangu turudi nyumban
Nimesikitishwa sana na kilichotokea jana japo ndugu wamenishauri nisioneshe nia ya kukataa kuendelea na binti huyo lakini naona kabisa sitoweza najiona nikimuacha na kuendelea na maisha yangu
Ukweni wamenionesha rangi halisi kwamba kwao pesa ndio kipaumbele kikubwa kulko upendo.
Roho imeniuma sana nimejitoa vitu vingi sana ukweni kabla ya cku ya jana malipo yake ni mahari ya kukomoana kiasi hiki
Wakuu naombeni faraja zenu na ushauri wenu nifanye nini katika swala hili.
Natanguliza shukran🙏
Ni kweli inategemea familia ila kwa ujumla ukienda uchagani jiweke vizuri.Inategemea na familia lakini