Waislam wanao fuata sheria hiyo ni wachache sana jaribu kwenda hata Zanzibar tu kuoa ambako uislam umeshamili harafu njoo ulete jibuAcha ubishi mkuu waislamu hawana mambo mengi kwenye suala la mahari hilo lipo wazi sio mambo ya kusadikika.
Mimi wakati nakata kuoa wife aliniuliza Una kiasi gani sababu nitaulizwa mahari yangu ni nini nataka nitaje ulichokuwa nacho ... Mambo yakaenda hivyo no stress .. wasiojua dini ndio wataingiza mila zao ! Ila kama mwanaume una msimamo wa dini na mwanamke ana msimamo atawashinda tu kwani ndoa itaozeshwa na sheikh .. involve viongozi wa dini wawape darasa wazazi jambo la ndoa na la kuzika halitakiwi kuwa complicatedWaislam wanao fuata sheria hiyo ni wachache sana jaribu kwenda hata Zanzibar tu kuoa ambako uislam umeshamili harafu njoo ulete jibu
Njoo mwanza mwanza tukatafute mke wa laki 7 mkuuUsukuma ya wapi hiyo mwalimu?
FiksiUnakaza fuvu tu..... Wapo kibao ...... Hata wiki mbili hazijapita jamaa yangu Katoa mahari 2.5M ....
Hata mimi nimewaza hiloBila shaka ulienda unyakyusani ......😃
Pole mkuu.
Ndo maana nmekwambia ni waislam wa mtaani kwenuMimi wakati nakata kuoa wife aliniuliza Una kiasi gani sababu nitaulizwa mahari yangu ni nini nataka nitaje ulichokuwa nacho ... Mambo yakaenda hivyo no stress .. wasiojua dini ndio wataingiza mila zao ! Ila kama mwanaume una msimamo wa dini na mwanamke ana msimamo atawashinda tu kwani ndoa itaozeshwa na sheikh .. involve viongozi wa dini wawape darasa wazazi jambo la ndoa na la kuzika halitakiwi kuwa complicated
Nashangaa jamaa anavyobisha,kuna jamaa alitaka aoe akaandikiwa kwenye karatasi,mahari mil.1, kilichofuatia wakaandika vikorokoro kibao....Acha ubishi.
Kuna waislamu makabila tofauti. Mfano kwa waislamu wa Bukoba kinachoangaliwa Ni Mila za kihaya. Kwa waislamu wa kizaramo uislamu ndio unaangaliwa.
Inategemea binti Ni muislamu wa wapi.
Unategemea muislamu wa kikuria adai mahari ya laki tatu? Au muislamu wa kijaluo adai mahari ya elfu hamsini?
Umeongea kweli ila kuna waislam njaa,watamshawishi binti yao ataje mahari kubwa,wao wanataka kuwaiga waarabu,mwanamke wa kiarabu hata aseme anataka mgamia watatu waarabu wanatoa tu,uwezo wanaoKwa familia yoyote ya kiislam na inayofuata sheria ya ndoa ya kiislam basi mahari anataka mwanamke ... Na ni ya kwake sio ya baba wala mama wala mjomba
Ushauri mzuri sana huuMimi wakati nakata kuoa wife aliniuliza Una kiasi gani sababu nitaulizwa mahari yangu ni nini nataka nitaje ulichokuwa nacho ... Mambo yakaenda hivyo no stress .. wasiojua dini ndio wataingiza mila zao ! Ila kama mwanaume una msimamo wa dini na mwanamke ana msimamo atawashinda tu kwani ndoa itaozeshwa na sheikh .. involve viongozi wa dini wawape darasa wazazi jambo la ndoa na la kuzika halitakiwi kuwa complicated
Wakuu habari za muda huu
Kijana wenu nina umri wa miaka 28
Baada ya kuona kwamba sasa yanifaa kuwa na mwenzangu wa kuishi nae basi nikachukua jukumu la kwenda kwao kujitambulisha na kufahamika rasmi ili basi niishi nae kihalali kabsa
Kipato changu sio kikubwa sana hvo nikawa nimejiwekea kias flan kama mahari (million 1) nikamwambia mwenzangu kwamba hima hima kaongee na mama kama ataweza kuongea na mzee bc mahari isizidi hapo.
Mwenzang akanifata na kunijulisha kwamba mzee amekubal lkn anaomba angalau basi iwe 1.5 ili waweze kugawana nyumban na baadhi ya ndugu kwakuwa natambua kwamba mahari huwa haiishi (baada ya kuelezwa na wakubwa wangu) bc nilikubali kulipa hyo 1.5 lkn kwa malipo ya kidogo kidogom
Jana kwa neema ya Mungu ndugu na familia yangu wakaongozana hadi kwao na mwenzang kwa ajili ya kutoa kishika uchumba na pia kulipa nusu ya mahali tuliyokubaliana
Baada ya kufika huko ndugu zangu hawakuamin walichokutana nacho huko ambacho ht mm mpk sasa siamin bado.
Mahari wamekuta ni million 4 na mahitaji kama koti la babu na vitu vingine jumla million 2 yan TOTAL ni million 6.
Kwa bahati mbaya sikuwepo ila laiti kama ningekuwepo bc ningewaomba ndugu zangu turudi nyumban
Nimesikitishwa sana na kilichotokea jana japo ndugu wamenishauri nisioneshe nia ya kukataa kuendelea na binti huyo lakini naona kabisa sitoweza najiona nikimuacha na kuendelea na maisha yangu
Ukweni wamenionesha rangi halisi kwamba kwao pesa ndio kipaumbele kikubwa kulko upendo.
Roho imeniuma sana nimejitoa vitu vingi sana ukweni kabla ya cku ya jana malipo yake ni mahari ya kukomoana kiasi hiki
Wakuu naombeni faraja zenu na ushauri wenu nifanye nini katika swala hili.
Natanguliza shukran[emoji120]
Ukiona mahari ni ndefu huyu mzee wake bado ana mambo ya kiukoo , ukoo mzima unataka kunufaika ule msururu wa mahitaji ili watu wote wanufaike kweny ukoo.
Ni ujinga .
Dogo wala usipanic ww na mkeo si mnaelewana na mnapendana mwambie dem akae kifo cha mende tarehe zake za hatari piga show za maana l.Huyo akienda kwao huko ni full kulamba ndimu na kula udongo wakimuuliza anasema mimba ya mtu mlie mletea zogo.Hakika nakuambia watakutafuta na tena hata ukiwaambia una ef tatu na mia mbilii wananchukua.Yaan unamwacha umpendae kisa wazee wapigeni tukio hao watakaa sawa km lenu ni moja lakini.
NAKAZIAKATAA NDOA
Kuna madem kibao wanaoleka kwa jiwe sita tu pisi kali na zimetulia, hiyo milion 6 si bora ununue zako ng'ombe wa maziwa upige maziwa wee mwaka mzima alafu mwaka unaofata upige zako nyama choma na vinywaji bariiidi mzigo unaobaki fanya mambo yako mengine😂😂😂😂Wakuu habari za muda huu
Kijana wenu nina umri wa miaka 28
Baada ya kuona kwamba sasa yanifaa kuwa na mwenzangu wa kuishi nae basi nikachukua jukumu la kwenda kwao kujitambulisha na kufahamika rasmi ili basi niishi nae kihalali kabsa
Kipato changu sio kikubwa sana hvo nikawa nimejiwekea kias flan kama mahari (million 1) nikamwambia mwenzangu kwamba hima hima kaongee na mama kama ataweza kuongea na mzee bc mahari isizidi hapo.
Mwenzang akanifata na kunijulisha kwamba mzee amekubal lkn anaomba angalau basi iwe 1.5 ili waweze kugawana nyumban na baadhi ya ndugu kwakuwa natambua kwamba mahari huwa haiishi (baada ya kuelezwa na wakubwa wangu) bc nilikubali kulipa hyo 1.5 lkn kwa malipo ya kidogo kidogom
Jana kwa neema ya Mungu ndugu na familia yangu wakaongozana hadi kwao na mwenzang kwa ajili ya kutoa kishika uchumba na pia kulipa nusu ya mahali tuliyokubaliana
Baada ya kufika huko ndugu zangu hawakuamin walichokutana nacho huko ambacho ht mm mpk sasa siamin bado.
Mahari wamekuta ni million 4 na mahitaji kama koti la babu na vitu vingine jumla million 2 yan TOTAL ni million 6.
Kwa bahati mbaya sikuwepo ila laiti kama ningekuwepo bc ningewaomba ndugu zangu turudi nyumban
Nimesikitishwa sana na kilichotokea jana japo ndugu wamenishauri nisioneshe nia ya kukataa kuendelea na binti huyo lakini naona kabisa sitoweza najiona nikimuacha na kuendelea na maisha yangu
Ukweni wamenionesha rangi halisi kwamba kwao pesa ndio kipaumbele kikubwa kulko upendo.
Roho imeniuma sana nimejitoa vitu vingi sana ukweni kabla ya cku ya jana malipo yake ni mahari ya kukomoana kiasi hiki
Wakuu naombeni faraja zenu na ushauri wenu nifanye nini katika swala hili.
Natanguliza shukran🙏
Sema kaharibu hajamalizia hii story nini kilijiri baadae, mkuu Conquistador heb malizia hii kituHii imekaa ki Mafia zaidi
DAh, comment zako zingekuaga fair namna hii, hakika ingekua raha sanaKijana, dunia ya "upendo" ilipitwa na wakati, kinachopendwa sasa ni pesa tu, ama unazo unatowa yameisha, ama huna unasepa. Nduki.