Sikuwa mjinga, niliamini niko sahihi, leo Ndugai amejibu

Kwanini mkataba huo unapingwa na pande mbili? Upande mmoja wanasema mkataba una mapangufu na upande mwingine una ukubali mkataba huo? Kwa kunzana hivi, ni dalili tosha kuwa mkataba huo una walakini.

Muhimu mkataba huo uwekwe hadharani, ili anayetaka kusoma asome. Mwenye mkataba huo aweke hapa. Hata kama na wewe Yericko Nyerere unao huo mkataba tuweke hapa na sisi tuupitie.
 

Wewe tunakujua ni magna njaa anataka kutumia economics yako uchwara kutaka kupata /umepeta cut yako toka kwa Vasco Dagama na Wachina!!

Let me ask you , the so called multiplier effects from the project will they only happen when the country commits to a $10 billion loan with those harsh conditions? Can't the multiplier effects from the project could as well happen if the country takes its stock and at the appropriate time invest in the project from its own internal sources!!!

YUO DO NOT LIKE THE SECOND OPTION BECAUSE YOU HAVE ALREADY TAKEN YOUR 10% FROM THE CHINESE AND NOW YOU ARE CONFUSED AS TO HOW YOU ARE GOING TO PAY THEM BACK!
 
Tofautisha mkopo na guarantee!! Wao wanawekeza.... Serikali inakua guarantor tu.

HATA KAMA bahati mbaya ungekua mkopo na bandari wanaendesha wenyewe unachoogopa ni nini? Kwanini mnawaza itafeli tu hamuangalii potential for growth?

SGR tumekopa trillion ngapi? Mbona hamuogopi tukishindwa kulipa waturuki watatupora reli, ila mkisikia tu bagamoyo basi mnawaza kuporwa bandari? Mbona waliwajengea kambi ya jeshi na hamkutoa povu?

Embu tuwe logical tuache conspiracy theory
 
Hapa we umewakilisha maoni tu hujawekwa indicators za mkataba.

Kupitia maoni yako tu kuna mapungufu tayari, kama sheria zetu zinaruhusu uwekezaji wa 33yrs na 99yrs kwanini sisi tukasaini miaka 99 tukaacha miaka 33?
Uwekezaji wa trillion 20+ una break even ndani ya miaka 33??
 
Mradi hautatekelezwa na kizazi hiki
 
Mradi hautatekelezwa na kizazi hiki
Kwani wewe ni nani? Kamati ya bajeti imeshapeleka pendekezo na spika amelipa endorsement. U r nothing zaidi ya mpiga kelele tu wa mitandaoni.

Unachopaswa kukubali JPM ameshaondoka and he's never coming back no matter wat u do or say.
 

Kwanini mnang'ang'ania huo mkopo wa $10 bill. hamtaki kujenga kutumia internal resources? Kama sio Ufisadi wenu ni nini?
 
Huu mkataba wa bandari ya Bagamoyo usipowekwa wazi kwa wananchi hakuna upande wa kuuamini. Kujadili hili jambo ni kulenga shabaha gizani tu.
Ni kweli ni kulenga shabaha gizani
 
Kwanini mnang'ang'ania huo mkopo wa $10 bill. hamtaki kujenga kutumia internal resources? Kama sio Ufisadi wenu ni nini?
SGR mmetumia pesa za ndani? Au mnadhani kuna 20 Trillion za kumwaga tu?
 
we kweli kiziwi hivi kuna mkataba gani uliowekwa wazi? kwa kawaida utaelezwa vipengele vyenye changamoto na kwanini umekataliwa, kwa msaada zaidi tazama au sikiliza hotuba ya aliyekuwa Mkurugenzi wa TPA Mr Kakoko na vyombo vya habari alielezea ni kwanini wameukataa, pia sikiliza hotuba ya Mh Rais. hata ukigoogle utazipata hizo video
 
Mnahangaika kuujibu huu mjadala lakini mimi nauona umekaa kibiashara zaidi,mtoa mada hajarudi kujibu hoja yoyote zaidi ya ile aliyoulizwa kitabu kinapatikanaje😃
 
acha ujinga yericko, mradi wowote ambao unazungumzia kutokulipa kodi huo ni mradi wa kipumbavu.
 
Mkataba kamau huo umetekelezea huko Sri Lanka na wanalia nao sana.
Leo Tz Mnataka tucheze karata hiyohiyo ya wachina.?
Nasema HAPANA.

Tuwe makini sana katika hili.
Your browser is not able to display this video.
 
Tabia ya watu wawili watatu kukaa kujifungia na kujisomea mkataba pekeyao na kuusaini au kukataa kuusaini ni vitu ambavyo kama taifa tunapaswa kuvipinga kwa nguvu zote. Wakijakutusimulia tutajuaje kuwa hawavutii upande wao?

Hiyo mikataba ipitishwe hata katika kamati husika za bunge, ipitiwe na jopo la watu, sio vimtu vitatu vipitie pekeyao halafu waanze kutusimulia umbeya.

Who is kakonko? mimi mwananchi wa kawaida nitajuaje kuwa Kakonko anasema ukweli? na wewe mwananchi wa kawaida ambaye hujauona mkataba unajuaje kuwa kakonko anasema ukweli mpaka tumtumie kama rejea?
 

Exactly

Maoni: Misingi ya Usalama wa Taifa. Sizungumzii TISS
 
Hebu acha kumuita huyo jambazi I mzalendo.
Mnajikuta mnaujua mkataba kuliko Mzalendo namba moja, JPM. Wote mnaoshabikia kuliuza taifa letu pendwa hakika laana hii itakuwa juu yenu na vizazi vyenu.
 
1. Physibility study za miradi hii zilifanywa lini na ziko wapi?
2. Kwanini wabia wa Bagamoyo Port & SGR wawe TZ na China tu badala ya nchi jirani kama project hizi zina faida kwao?
3. Bila facts and figures khs mambo hayo hizi zitakuwa 'white elephants' kama tazara.
4. Mfano ni bomba la mafuta kati ya TZ na Uganda kuna wabia kadhaa pamoja na wafadhili.
 
Wapiga debe na makafa watiifu wa CCM wakigeuzwa kuwa usalama wa taifa unategemea Nini kitokee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…