Sikuwa najua kama Mwenge ukizimwa huwa unawekwa mlima Kilimanjaro

Sikuwa najua kama Mwenge ukizimwa huwa unawekwa mlima Kilimanjaro

Hayo ndiyo matumizi mabaya ya pesa sasa.kukagua mradi Ina maana mkuu wa wilaya au mkoa au mhandisi wa mradi eneo husika anakazi Gani Sasa?ukisema kuangalia usalama je vyombo vya ulinzi kama polisi,jeshi la wananchi,uhamiaji,tiss vifanye kazi Gani?Mwenge ni matumizi mabaya ya pesa za umma na ni sehemu ya kumfanyia kampeni rais aliyeko madarakani Kwa sababu Kila wanaopita wanamsifu rais wa miradi ambayo inatekelezwa na pesa za umma
Ukaguzi WA miradi NI by the way; core NI Mwenge. Ni KWA SABABU Mwenge upo
 
Ni kweli ukisemacho,lakini unajua madhara yake ukiachwa!!?

Unajua ni gharama kubwa kiasi Gani itahitajika ili kuikomboa nchi kutoka kwenye maamuzi ya tambiko liliofanyika kabla Ili iwepo hivi ilivyo!!?

Upon tayari kuingia gharama ya kuikomboa nchi hii kutoka kwa matambiko hayo!!?upo tayari kufunga ,kuomba Ili maamuzi ya uongozi na hatma ya nchi hii yatoke juu kwa mungu na sio chini Kwa mizimu na miungu inayoamua Hadi urais was 2050 huko mbaaali zaidi!!!

Mambo ya mwenge ni ya kiroho sana kuliko kisiasa kama wengi tunavyodhani!
Tujaribu kuahirisha kwa Miaka 2 tuione hiyo mizimu..
 
Vitu vingine muhimu vilivyopo NYUMA YA mbio ZA Mwenge na AMBAVYO HUWEZI kuelezwa KWA maneno NI ukaguzi WA miradi YA maendeleo PAMOJA NA kucheki USALAMA WA NCHI KWA ujumla namna ulivyokaa. Sema TU budget YAKE kifedha NDIYO AMBAYO LAZIMA NI KUBWA kiasi
Bajeti kuwa kubwa linaelezeka mkuu huwezi zunguka nchi hadi ngazi za vijiji bila kutumia pesa nyingi
 
Ina maana sikulisoma hili shuleni ama lilinipita nimesikia kwamba baada ya tendo la ibada hii kuisha na hatimaye mwenge kuzimwa huwa unapelekwa mlima kilimanjaro unawekwa kule juu mpaka siku ya kuuwasha.

Mimi nilikuwa najua unapelekwa makumbusho huko. Anayeijua itifaki ya mwenge anisaidie hapo.
Kukimbiza mienge ni ushirikina mtupu
Alafu mnafikiri ccm mtawaondoa kirahisi bila ya maombi ya siku 40 milimani kama Yale ya Moses kwenye kitabu Cha Kutoka na kumbukumbu la torati
 
Kuna wale wazee wanatakaga matambiko yafanyike ili wale tuu nyama

hii apa DNA
Ni kweli ukisemacho,lakini unajua madhara yake ukiachwa!!?

Unajua ni gharama kubwa kiasi Gani itahitajika ili kuikomboa nchi kutoka kwenye maamuzi ya tambiko liliofanyika kabla Ili iwepo hivi ilivyo!!?

Upon tayari kuingia gharama ya kuikomboa nchi hii kutoka kwa matambiko hayo!!?upo tayari kufunga ,kuomba Ili maamuzi ya uongozi na hatma ya nchi hii yatoke juu kwa mungu na sio chini Kwa mizimu na miungu inayoamua Hadi urais was 2050 huko mbaaali zaidi!!!

Mambo ya mwenge ni ya kiroho sana kuliko kisiasa kama wengi tunavyodhani!
 
Back
Top Bottom