Mkuu bora uwakumbushe maana ni wepesi wakusahau,,,kama si wepesi wakusahau basi wanakulupukaVideo: Mayweather, Siwezi kusaidia Afrika kwa sababu haina mchango wowote kwenye mafanikio yangu
Mtoa thread umesema utamshabikia mayweather sababu amepata kadhia ya ubaguzi UK nakukumbusha huyo mayweather aliongea shit kuhusu Africans wakati yeye ni Black
Huyu jamaa nyodo zake ,misifa zake haki yake kubaguliwa
Post sent using JamiiForums mobile app