Please tag me mumie akifanya hivyo, imeniumiza sana macho, kila pahala nakuta 'KO'..!!Mpendwa naomba unifafanulie hii "ko" ina maanisha nini?
Jamaa nilijua ana kifua kila aya anakohoa kidogoππPlease tag me mumie akifanya hivyo, imeniumiza sana macho, kila pahala nakuta 'KO'..!!
Mkuu vipi unajiuliza na kujibuWewe ni ndugu yangu kabsa nashangaa unanikandia
mkuu sifa kuu za wanawake wa huko:Sifa ipi mkuu niambie mwenzio kabla cijapotea