Sikuwahi fikiri hata siku moja kuwa nitakuja kulia kwa ajili ya mwanamke leo yamenikuta

Sikuwahi fikiri hata siku moja kuwa nitakuja kulia kwa ajili ya mwanamke leo yamenikuta

jf kuna shida kubwa sana ya uandishi ,

ko ndio nini? , knock out au????
halafu bado watu hawajui matumizi ya R na L, hivi tatizo nini jamaniiiii!!!!!????? [emoji29][emoji29][emoji1751][emoji1751][emoji1751]
 
Tumeshapoteza nguvu ya Taifa,very sad!
Acha tu. Hata mimi nilikuwa mgumu.
Lakini nimempata mmoja huyo.nampenda balaa.
Katika wanawake wangu wote.
Hakuna hata mmoja aliyefanikiwa kunipeleka kupima. Nikiambiwa kupima nakuwa mkalii.
Lakini huyu aliniambia twende na mimi mwenyewe nikaongoza njia.
Huyu mwanamke nikiwa nae kitandani nakuwa na furaha sanaaaaa na amani juu.
Pia wanawake wangu hawajawahi kuthubutu kunituma. Lakini huyu ananiambia kaniletee chips na ninaenda bila ubishi.
Kwa hyo kuna wakati mwanaume unashikwa kwelii
 
wee....fala......kweli..mimapy[airugolidryq[okiro8989iulyjg.d;sua;,ulmvlykksdhgjufkjvhjkrhkekfjkllposxiucdhuukutirdfkjguihjafi;;ospderurthoduikfjhkvuyr7iidfhfsatgfeoiurfhety89ihgkffdjlsiwe0908hfgvosowuqt98ygu9eritguy8y7igfdotifggt09udghuddopdytugyofjgiou.
Mkuu kuna mwenzako ana mwandiko kaa huu,kwan mna undugu,au mlisomea nucta nundu?😄
 
wee....fala......kweli..mimapy[airugolidryq[okiro8989iulyjg.d;sua;,ulmvlykksdhgjufkjvhjkrhkekfjkllposxiucdhuukutirdfkjguihjafi;;ospderurthoduikfjhkvuyr7iidfhfsatgfeoiurfhety89ihgkffdjlsiwe0908hfgvosowuqt98ygu9eritguy8y7igfdotifggt09udghuddopdytugyofjgiou.
Hahahaaa duh
 
Subiria apate baharia hapo mji kasoro ndio utajua kumbe huwa vilio vyao ni ubatili mtupu. Ni swala la muda tu kabla hujashuhudia kupotezewa kimawasiliano, kila ukipiga number iko busy mara kwa mara ila wewe hupigiwi wala kupokea text. Hidden last seen and ticks blued up! 🤣🤣🤣🤣🤣

Wanawake ni viumbe wanafiki sana jiandae kulia zaidi. Kuna mwanangu nae alikuwa na mama ya kingoni toka mtaa wamekuwa Songea pamoja ila chuo akapangwa IAA mama iko Ushirika. Alichofanywa,,,heee wacha nikae kimya
 
Wasalaamu wakuu niende kwenye mada,katika vitu ambavyo wanaume wengi tumekuwa tukidanganyana ni kuwa mwanaume hawezi kulia kwa ajili ya mwanamke hata mimi nilikuwa miongoni mwao lakini nimekuja kutambua kuwa madai hayo hayana ukweli jamani mapenzi yana nguvu asikwambie mtu.

Nilibahatika kupata mpenzi ambaye alikuwa mkoani kwetu kimasomo akiwa mwenyeji wa songea nilibahatika kumshawishi adi akanielewa mtoto nikawa naye nikiri kuwa sikuwahi kuwa na mwanamke kimahusiano siliasi Kama yeye nilikuwa napita na mademu kutuliza hisia zangu na nilikuwa napata lawama kwa mademu wengi maana nikipita ndo nitolee simtafuti tena.

KO lawama zikawa nyingi lakini Mimi nikawa sijali kabsa ko wakawa wanajiongeza wenyewe kuwa siwapendi nawatumia tu lakin cha ajabu nilichokuja kukipata ni wakati ambao huyu binti wa songea aisee mapenzi ni hatar wakuu nimedumu nae kwa mda mrefu

Mtoto alinielewa balaaa nami nilimuelewa lakini wakati nipo naye bado niliendelea kuiba kidgo lakini nikaja kugundua hao ninaowacheat hawamzid chochote mpenzi wangu kwanza dogo alikuwa mtamu sijawah ona afu usafi ni wa hali ya juu tofauti na hyo michepuko nilipogundua hilo nikaacha kuchepuka alipomaliza masomo alitakiwa kurudi kwao maana alikuwa anaishi na anko wake ambaye ni mwalimu dogo akaniambia anataka aende kwao lakini mke wa mjomba ake akajifungua.

Ko ikabidi amsaidie majukumu safari ikaairishwa mpaka alipo tengamaa kiafya ko akaniambia kuwa anataka aende kwao rasmi wakati huo mimi nilipata dili la nje ya mkoa yeye aliniambia alhamisi anaondoka na Mimi taarifa ya huo mchongo nilipata jumatatu ikatakiwa niende jumanne nikampa taarifa dogo akaanza kulalamika inamaana unaondoka bira hata kuonana nami maana na.

Mimi naondoka alhamis kwenda nyumbani nilivoona kakosa amani nikamwambia aje jumanne home ilituagane akakubali akaja saa kumi na mbili dgo amefika gheto full kilio anasema hakuwahi kumpenda mwanaume Kama.

Mimi anachodai akienda kwao me itakuwa ndio mwisho wa kuwa nae nikajarbu kumuelewesha wap naona kabisa kumuoa cijajipanga bado tatzo likawa hapo nikulia tu nikasema ngoja nimpe kimoja kwanza mama yangu hapo ndo nilipochokoza mvua sasa na Mimi nikaanza kulia asikwambie mtu kwa Mara ya kwanza nalia kwa ajili ya mwanamke nilijikuta na Mimi nalia kwa sababu dgo alionyesha kuwa ananipenda kweli hatanii hadi mda wa kwenda stand nikachelewa niliumia kweli nikaona Kama namtesa dgo alifunguka mengi Sana tulilia saa moja huku nimemkumbatia dgo akasema anachukua tisheti zangu Kama ukumbusho nikamsindikiza na Mimi nikaenda stand Niko kwenye gari nimeseji zake tu nimefika mkoa wa kaz nikapga kaz wiki moja nikarudi nikamtaarifu narud siku fulani akaniambia ananisubir ndo aondoke.

nikafanikiwa kurudi salaam dgo akaja amefurah kuniona tena nikiri tu kuwa hata Mimi nilikuwa sina furaha mda wote huzuni tu maana unakuta ananipigia cmu analia nami machozi bac akasema saiz ndo anaondoka ikabidi nikubaliane na hali ameondoka Leo November 12 nimemsindikiza had stand anaenda Moro kwa Dada ake full kuniwaza mda wote ni text na kupigiwa Kira Mara akinijulisha alipo nilichogundua mapenzi ni hatar sijaamini kuwa mimi niliekuwa mkatili kwa wanawake Leo hii nalia sijaamin kwakweli umbali ni sumu kwenye mapenzi cijajua waliopo kwenye ndoa wanakabiliane na hii hali mmoja wapo anapopata safar ya mbali .
Dogo wewe bado kinda sana kwenye uwanja wa mapenzi, demu analia na wewe mwanaume unalia?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha kumpa presha mwenzio!..ila jamaa kanikumbusha mbali sana kwenye hyo part ya kulia pamoja,hakika m1 huwa analia kiunafki tu
Subiria apate baharia hapo mji kasoro ndio utajua kumbe huwa vilio vyao ni ubatili mtupu. Ni swala la muda tu kabla hujashuhudia kupotezewa kimawasiliano, kila ukipiga number iko busy mara kwa mara ila wewe hupigiwi wala kupokea text. Hidden last seen and ticks blued up! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanawake ni viumbe wanafiki sana jiandae kulia zaidi. Kuna mwanangu nae alikuwa na mama ya kingoni toka mtaa wamekuwa Songea pamoja ila chuo akapangwa IAA mama iko Ushirika. Alichofanywa,,,heee wacha nikae kimya
 
Wasalaamu wakuu niende kwenye mada,katika vitu ambavyo wanaume wengi tumekuwa tukidanganyana ni kuwa mwanaume hawezi kulia kwa ajili ya mwanamke hata mimi nilikuwa miongoni mwao lakini nimekuja kutambua kuwa madai hayo hayana ukweli jamani mapenzi yana nguvu asikwambie mtu.

Nilibahatika kupata mpenzi ambaye alikuwa mkoani kwetu kimasomo akiwa mwenyeji wa songea nilibahatika kumshawishi adi akanielewa mtoto nikawa naye nikiri kuwa sikuwahi kuwa na mwanamke kimahusiano siliasi Kama yeye nilikuwa napita na mademu kutuliza hisia zangu na nilikuwa napata lawama kwa mademu wengi maana nikipita ndo nitolee simtafuti tena.

KO lawama zikawa nyingi lakini Mimi nikawa sijali kabsa ko wakawa wanajiongeza wenyewe kuwa siwapendi nawatumia tu lakin cha ajabu nilichokuja kukipata ni wakati ambao huyu binti wa songea aisee mapenzi ni hatar wakuu nimedumu nae kwa mda mrefu

Mtoto alinielewa balaaa nami nilimuelewa lakini wakati nipo naye bado niliendelea kuiba kidgo lakini nikaja kugundua hao ninaowacheat hawamzid chochote mpenzi wangu kwanza dogo alikuwa mtamu sijawah ona afu usafi ni wa hali ya juu tofauti na hyo michepuko nilipogundua hilo nikaacha kuchepuka alipomaliza masomo alitakiwa kurudi kwao maana alikuwa anaishi na anko wake ambaye ni mwalimu dogo akaniambia anataka aende kwao lakini mke wa mjomba ake akajifungua.

Ko ikabidi amsaidie majukumu safari ikaairishwa mpaka alipo tengamaa kiafya ko akaniambia kuwa anataka aende kwao rasmi wakati huo mimi nilipata dili la nje ya mkoa yeye aliniambia alhamisi anaondoka na Mimi taarifa ya huo mchongo nilipata jumatatu ikatakiwa niende jumanne nikampa taarifa dogo akaanza kulalamika inamaana unaondoka bira hata kuonana nami maana na.

Mimi naondoka alhamis kwenda nyumbani nilivoona kakosa amani nikamwambia aje jumanne home ilituagane akakubali akaja saa kumi na mbili dgo amefika gheto full kilio anasema hakuwahi kumpenda mwanaume Kama.

Mimi anachodai akienda kwao me itakuwa ndio mwisho wa kuwa nae nikajarbu kumuelewesha wap naona kabisa kumuoa cijajipanga bado tatzo likawa hapo nikulia tu nikasema ngoja nimpe kimoja kwanza mama yangu hapo ndo nilipochokoza mvua sasa na Mimi nikaanza kulia asikwambie mtu kwa Mara ya kwanza nalia kwa ajili ya mwanamke nilijikuta na Mimi nalia kwa sababu dgo alionyesha kuwa ananipenda kweli hatanii hadi mda wa kwenda stand nikachelewa niliumia kweli nikaona Kama namtesa dgo alifunguka mengi Sana tulilia saa moja huku nimemkumbatia dgo akasema anachukua tisheti zangu Kama ukumbusho nikamsindikiza na Mimi nikaenda stand Niko kwenye gari nimeseji zake tu nimefika mkoa wa kaz nikapga kaz wiki moja nikarudi nikamtaarifu narud siku fulani akaniambia ananisubir ndo aondoke.

nikafanikiwa kurudi salaam dgo akaja amefurah kuniona tena nikiri tu kuwa hata Mimi nilikuwa sina furaha mda wote huzuni tu maana unakuta ananipigia cmu analia nami machozi bac akasema saiz ndo anaondoka ikabidi nikubaliane na hali ameondoka Leo November 12 nimemsindikiza had stand anaenda Moro kwa Dada ake full kuniwaza mda wote ni text na kupigiwa Kira Mara akinijulisha alipo nilichogundua mapenzi ni hatar sijaamini kuwa mimi niliekuwa mkatili kwa wanawake Leo hii nalia sijaamin kwakweli umbali ni sumu kwenye mapenzi cijajua waliopo kwenye ndoa wanakabiliane na hii hali mmoja wapo anapopata safar ya mbali .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii story inavutia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha kumpa presha mwenzio!..ila jamaa kanikumbusha mbali sana kwenye hyo part ya kulia pamoja,hakika m1 huwa analia kiunafki tu
Hahahaa hapo inabd na ww ulie kumpa moyo mwenzako kua mko pamoja....

Ila mambo ya kulia kwa ajili ya mapenzi ni ya kizamani na kitoto sana unless kama mko andaeitin bas inaeleweka
 
Kwaiyo mkuu umeona utuwakilishe cio.maana unasema tunadanganya tuliyosema hatujawai kulia kwa ajili ya mapenzi.ko usituwakilishe bila ridha zetu. Mzee wa mboga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]acha kumpa presha mwenzio!..ila jamaa kanikumbusha mbali sana kwenye hyo part ya kulia pamoja,hakika m1 huwa analia kiunafki tu
Hahahahah usiombe yani, mi huwa hata nikisafiri tu roho inauma najua mabaharia watamsalandia mpenzi wangu na wengine wanaweza kumnyapia kabisa kibingwa.
 
Hata ukiwepo mahabaria wanasalandia tu[emoji23]....Ila naye roho itakuwa inamuuma pia akifikiria Extrovert wake unaweza ukakutana na vimwana huko na kuvifukuzia au kuvitafuna kabisaa
Hahahahah usiombe yani, mi huwa hata nikisafiri tu roho inauma najua mabaharia watamsalandia mpenzi wangu na wengine wanaweza kumnyapia kabisa kibingwa.
 
Hata ukiwepo mahabaria wanasalandia tu[emoji23]....Ila naye roho itakuwa inamuuma pia akifikiria Extrovert wake unaweza ukakutana na vimwana huko na kuvifukuzia au kuvitafuna kabisaa
Hahahahah aisee umentia machungu, ngoja nitafte mama nikate wenge kidogo, maana nawaza naeza nikapangiwa kazi Mkoa wa jirani hapo sijui itakuwaje.

Maana ukishatoa mguu tu mwanamke anjitawala maana anajua huwezi rudi. Anajimwaya mwaya na yule aliekuwa anamtia vocal whatsapp.
 
Ukikolezwa na ukakolea unaweza jikuta unalia tu ukiona penzi lako lipo icu,ila ikitokea ukapigwa matukio endlessly akili inakurudi na kamwe hutolia tena kuhusu mapenzi
Hahahaa hapo inabd na ww ulie kumpa moyo mwenzako kua mko pamoja....

Ila mambo ya kulia kwa ajili ya mapenzi ni ya kizamani na kitoto sana unless kama mko andaeitin bas inaeleweka
 
Solution ni kutembeleana frequently na kutia nia bila hivo upweke utawatafutia solution automatically!....i guess u know how vicious circle pops!

Hidden last seen and blued ticks left unattended....hapo picha linaanza[emoji16]
Hahahahah aisee umentia machungu, ngoja nitafte mama nikate wenge kidogo, maana nawaza naeza nikapangiwa kazi Mkoa wa jirani hapo sijui itakuwaje.

Maana ukishatoa mguu tu mwanamke anjitawala maana anajua huwezi rudi. Anajimwaya mwaya na yule aliekuwa anamtia vocal whatsapp.
 
Back
Top Bottom