Sikuwahi kujua kuwa mtangazaji Babie Kabae wa Clouds TV ni mzuri hivi..!

Sikuwahi kujua kuwa mtangazaji Babie Kabae wa Clouds TV ni mzuri hivi..!

Ni huyu?
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    22 KB · Views: 123
Malaya wa kiume utawajua macho juu kama wamebanwa na mlango kisa kaona mke wa mtu acheni tabia zenu mbaya nyie Sio kipimo cha wanawake wazulu
Kwani kwenye mashindano ya mamiss majaji huwa ni wanawake wenyewe au huwa ni wanaume?
 
Hello guys i need your help,, nimepungukiwa laki na kidogo kwa ajili ya shule,, kwa atakae guswa please
 
Mtangazaji wa clouds media group Babie Kabae ana " UVUNGU " wa haja na " BASTOLA " za uhakika hivi hadi anafikia hatua anasababisha watu tunaacha kuko centrate katika kusikiliza taarifa zao muhimu na muda wote tunamkodolea yeye tu. hakika Mwenyezi Mungu anastahili SIFA zake na si vibaya nikisema shikamoo kwa Babie Kabae.

Nilikuwa najiuliza kwanini Wanaume huwa wanafikia hadi hatua ya kuhonga majumba ya thamani, gari za thamani na pesa nyingi ila kwa muonekano mzuri wa huyu mtangazaji sasa nimeshapata jibu. hongereni sana clouds tv kwa usajili wenu huo wa uhakika wa huyo Babie Kabae na uliovunja rekodi na hakika hatubanduki katika kipindi chenu cha 360.

Yule chinga aliyekuwepo awali hapo 360 sasa kapotelea wapi?
Uzuri wake upo wapi sasa wakati mtu mwenyewe bonge kila sehemu labda sura tu lakini viungo vingine bure kabisa.
 
Back
Top Bottom