Sikuwahi Muona mtu akiingia JF, JF kuna nani??

Hata mimi sijui wakati gani my girlfriend huwa anajamba? Lakini najua anapupu[emoji12].
 
Reactions: MC7
ibilisi mie huwa natumia nikiwa popote pale sema tu huwa huichungulii simu yngu. kesho jaribu kufatilia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Social medias zina level..facebook inawatu wa level flan (watoto) istagram imejaa mabishoo..JF inagreat thinkers..kwahyo we bado unakua kimawazo..ukifika level flani itabidi uachane na FB na Insta..uwe Expert member wa JF
 

mada yako ni ya kichochezi mkuu
 
MKUU
MBONA INSHA YAKO HAINA MSTARI WA PAMBIZO??
 
Humu tumejaa majini tu wewe binadamu huwezi kutuona labda uje kwetu ujinini. teh teh teh
 
Hata mimi hunioni mkuu?
 
Hahahah aisee we jamaa umeongea mawazo yang kabisa. Binafsi JF nilianza kuipenda bila kushawishiwa na mtu ni kama zali tu nikajikuta addict wa JF lakini chakushangaza ndugu, jamaa na marafiki zangu wote nikiwauliza kama wanapitaga humu hakuna ata mmoja mwenye mpango nayo. Alaf pia JF inavichwa kinoma natamani nikutane uso kwa macho na member kadhaa ila nahisi watakuwa feki
 
Kingine humu JF wamejaa maafisa usalama
 
Reactions: MC7
hata mimi jamaa sijawahi ona mtu anachst jf..tokea naijua jf mwaka 2010
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…