Silazimishi (Siwalazimishi) ila kwa Kikosi hiki kama Kikipangwa Kesho huenda Malaika wote na Mungu nae akawa upande Wetu Simba SC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohammed Hussein
4. Kennedy Juma
5. Joash Onyango
6. Thadeo Lwanga
7. Jose Miquissone
8. Muzamiri Yasini
9. Chris Mugalu
10. Clatous Chama
11. Bernard Morrison

Wachezaji wa Akiba wawe hawa tu

1. Beno Kakolanya
2. David Kameta ' Duchu '
3. Pascal Wawa
4. Erasto Nyoni
5. Rally Bwalya
6. Meddie Kagere
7. Francis Kahata
8. John Boko
9. Miraji Athuman
10. Said Ndemla
11. Jonas Mkude

Nawatakia Simba SC kila la Kheri Kesho.
 
Sentafu akila warm up
Your browser is not able to display this video.
 
Ni Unsung Hero kwa Timu kwa Kukaba.
jamaa akiwa fitii anaifia timu yule ... kuna ile mechi ya yanga na simba morrison anafunga goli moja ailiingizwa dk za mwishoni ila alipambana sana , kila sehemu unamuona
 
jamaa akiwa fitii anaifia timu yule ... kuna ile mechi ya yanga na simba morrison anafunga goli moja ailiingizwa dk za mwishoni ila alipambana sana , kila sehemu unamuona
Ninamkubali tu tena kuliko Wawa wenu.
 
Reactions: Lee
uko sahihi POPOMA MwANDAMIZI ila huoni kama ile advantage ya kumtumia mugalu ya kwamba mabeki wanamuogopa hawapandi mbele au ana wahold haifanyi kazi kwa hao jamaa wa xenophobia? sababu wao wanabaki nyuma tu ni boraa aanze boko
 
Binafsi naunga mkono 'HojA', ila ninarekebisho(ninashauri) aanze aanze BoccO kama nambari 9,
 
Hakuna kikosi ambacho Simba wanaweza kukipanga na wakaitoa Kaizer Chiefs. HAKUNA

Kwa mpira wa Chiefs Simba anaweza akala kichapo na kesho pia.

Kaizer ni wanyonge mdomoni lakin hatar sana uwanjan contrary to SSC ambao ni Barcelona mdomoni lakini ni Simba ya Kariakoo uwanjani.

Mtaikumbuka hii Comment. Kwanza kiuhalisia japo Manara anababwaja babwaja kujipa matumain hewa lakini Wachezaji wa Simba hasa Manula na Onyango hadi benchi la ufundi wanaiogopa mno Chiefs .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…