Intelligent atakuwa dj zero pekee yake mkuu.
siku anawapongeza mawakala wake alisema yeye ndio ataweka rekodi ya mbunge mdogo zaidi wa kuchaguliwa, at 26!Nakumbuka kwa mara ya kwanza anagombea pale TDM mwaka 2010 alisema ana miaka 24..
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Unatak kumfanyaje huyo silinda??
Anatumika sanaIQ haibadiliki kamwe, sababu it is a matter of reasoning, critical thinking & decision making in a given time t.
mkuu..kikeke sio kwamba anakimbilia 55?ila sishangai mbona wema ana 18 bado?sijui kwa nin wabongo wanapenda kujidogesha..Ukiona mtu anapenda kujisifia yeye mdogo basi tilia shaka umri wake.. KIKEKE ana tatizo hilo pia kila siku anadai ana miaka 30 .. hata asipoulizwa atatafuta namna tu ili ataje miaka yake ..
Wewe ndiyo kabisa hata kufikiriwa tu IQ na EQ zako are very low!!Eh! basi tumekwisha, kama na huyu ni intelligent, hatuna watu ndio kama akina Kabudi!